November 25 yagombaniwa, Efm/TvE vs Clouds Media

November 25 yagombaniwa, Efm/TvE vs Clouds Media

OK, Sikumbuki hiyo ila hata hivyo ningekua mimi Ruge Soko la Dar ningeachana nalo kwa sasa..too much politics involved!
Kuacha soko la dar ngumu sana aseee waulize wakwambie kwa dar tu hua wanapiga shilling ngap ndo utajua umuhimu wa dar
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kama mnafuatilia zamani clouds walishawafanyiaga hivi hivi times FM au magic (mtanirekebisha kidogo) walimleta Joe Thomas na wasanii wengine kutoka nje (venue leaders club ) na wao walikuwa wakwanza kutangaza siku ya tukio na clouds baada ya muda wakatangaza kumleta eve na fat Joe (venue viwanja vya posta) ,kusema kweli leaders kulipwaya yaani ile nafasi mnaweza mkaweka magori mkacheza mipira ya miguu ,alafu asubuhi take Gerald hando aliwaponda sana kwenye PB Leo yupo E FM.Clouds watu wafitina huwezi jua waliwafanya nini E FM.
 
Hata kama ni Competition hicho wanachotaka kufanya Efm/TVE ni utoto sasa... Kwa style hii maendeleo nchi hii ngumu sana

Inajulikana Fiesta ni brand ya clouds kwa nini usipange ratiba zako tarehe nyingine kama unahamu ya kutupa tamasha la bure? To me that is so low and pathetic! Kama wao ndio walianza kutangaza tarehe basi clouds wasogeze mbele
Hawa clouds unaowatetea wanaafiki haswaaaaaa
Acha yawakute
 
Hawana cha kupoteza, watafanikiwa sana kama lengo lao ni nyomi.

Tv za wapemba tu mitaani wabongo wanajaa nje ya maduka kuangalia movie za bure ndio sembuse show za bure?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kuacha soko la dar ngumu sana aseee waulize wakwambie kwa dar tu hua wanapiga shilling ngap ndo utajua umuhimu wa dar
Ngoja nimsaidie kujuwa, kumleta Rick Ross tu peke yake kwenye Fiesta clouds walitumia zaidi ya shilling million 100.

Nimekupa figure za shilling kumuunga mkono Rais ameshapiga marufuku biashara in Usd currency.
 
Hata kama ni Competition hicho wanachotaka kufanya Efm/TVE ni utoto sasa... Kwa style hii maendeleo nchi hii ngumu sana

Inajulikana Fiesta ni brand ya clouds kwa nini usipange ratiba zako tarehe nyingine kama unahamu ya kutupa tamasha la bure? To me that is so low and pathetic! Kama wao ndio walianza kutangaza tarehe basi clouds wasogeze mbele
Capitalism haina mambo ya kulia lia hivyo,clouds wapambane tu.
 
Hata kama ni Competition hicho wanachotaka kufanya Efm/TVE ni utoto sasa... Kwa style hii maendeleo nchi hii ngumu sana

Inajulikana Fiesta ni brand ya clouds kwa nini usipange ratiba zako tarehe nyingine kama unahamu ya kutupa tamasha la bure? To me that is so low and pathetic! Kama wao ndio walianza kutangaza tarehe basi clouds wasogeze mbele
Unakumbuka zile tuzo za EATV award clouds waliandaa tamasha la bure ufukweni au ndo Mkuki kwa nguruwe..??
 
Kama mnafuatilia zamani clouds walishawafanyiaga hivi hivi times FM au magic (mtanirekebisha kidogo) walimleta Joe Thomas na wasanii wengine kutoka nje (venue leaders club ) na wao walikuwa wakwanza kutangaza siku ya tukio na clouds baada ya muda wakatangaza kumleta eve na fat Joe (venue viwanja vya posta) ,kusema kweli leaders kulipwaya yaani ile nafasi mnaweza mkaweka magori mkacheza mipira ya miguu ,alafu asubuhi take Gerald hando aliwaponda sana kwenye PB Leo yupo E FM.Clouds watu wafitina huwezi jua waliwafanya nini E FM.
Kwaiyo muosha huoshwa mkuu?
 
Usisahau na shows za fiesta watu huvuliwaga nguo pale kino makaburini kila linapofanyika mabint hudhalilishwa sana na wahuni
Usinikumbushe, ilikua show ya fiesta kati ya 2012/2013 nilichokishuhudia nilisema sitokanyaga tena FIESTA

Wadada waliporwa ...walibakwa.... yaani watu ambao hawakuguswa walio kwenye magari...uwe kwenye bajaj..uwe kwenye boda unavutwaaa...

Kuna dada alivutwa akaangukia chini ya gari huku analia wamuachie, nilimuonea huruma ila unaanzaje kushuka kwenye gari umsaidie??

Nakubaliana na wewe hata FIESTA ina mambo ya kihuni.
 
Back
Top Bottom