Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Nakumbuka enzi Niko nakamilisha stage za makuaji yashanikuta nkasema Dar ntaenda fiesta siku akija Usher Raymond,Westlife au RUsinikumbushe, ilikua show ya fiesta kati ya 2012/2013 nilichokishuhudia nilisema sitokanyaga tena FIESTA
Wadada waliporwa ...walibakwa.... yaani watu ambao hawakuguswa walio kwenye magari...uwe kwenye bajaj..uwe kwenye boda unavutwaaa...
Kuna dada alivutwa akaangukia chini ya gari huku analia wamuachie, nilimuonea huruma ila unaanzaje kushuka kwenye gari umsaidie??
Nakubaliana na wewe hata FIESTA ina mambo ya kihuni.
Kelly