November 25 yagombaniwa, Efm/TvE vs Clouds Media

November 25 yagombaniwa, Efm/TvE vs Clouds Media

7F8C5D23-58F4-4E3B-B3A7-2BD42EF21D6B.png
Haaaa haaaaa. ! Wangekuwa na mapafu wangefuata na huko mikoani.! Wawaulize eatv ! Chaliiii..... Tuende mbele turudi nyuma Mawingu in jeshi lililoshiba, mapungufu kila MTU anayo na utofauti. In my life toka 2000 mi ni clouds FM, Habari Radio One.
EFM wanajitangaza...Mikoani wamefanya matamasha ambako redio yao inasikika..Wamefanya matamasha Pwani, Tanga, Mwanza, Mtwara na Mbeya...Na matamasha haya yamerushwa live na EFM/TVE...Na yote yamehudhuriwa na umati mkubwa...

Tamasha lilifanyika tar 11/11/2017 uwanja wa Sokoine Mbeya ndio limevunja rekodi....

Uwepo wa Majay, Scolla Mazula, Maulid Kitenge, Ibrahim Masoud, Omary Katanga Hermy B, Dickson Ponera, Gerald Hando, Ssebo, Mussa Kipanya , Abel Onesmo na wengine waliopitia redio kubwa ni turufu pale Entertainment Masters
 
Umebadili swali tena?..Swali la msingi lilikuwa msanii kuwa na beef na Clouds na kuendelea kutamba...Hao waliotajwa pamoja na kwamba walikuwa na beef waliendelea kutamba (jibu la swali lako la msingi)..Pamoja na beef kuisha mpaka sasa Clouds hawachezi nyimbo za Jide na bado anatamba...

Asante kuna watu wanaamini bila clouds huwezi kuwika na bila kuwa Wasafi vilevile huwezi kutusua kimataifa.Mawazo mgando
 
Kwanza kbla ya yote leo wametaja list ya wasanii watakaoimb fiesta,mr blue,vanesa mdee,jux,weusi,be pol,stamina,rma,ali kiba,maua sama, aslay,na bdo list inaendlea sasa swali show ya efm uend kumwangalia msanii gani mda mwngne tjiulize au ndo kna dula makabila,ishu so bure ishu unaenda kumwngalia nani wa maana

Kuna mdau amejibu kule juu kwamba madukani tu watu wanajazana kuangalia TV tena wanasukumana ,ndo ije kuwa show ya bure ? Hata kama anaimba Gigymoney ,Jumanature burudani ni burudani tu ,pamoja na wasanii pia kuna madj wanatwanga mziki.

Pia hali ngumu saivi we iyo 10,000 sijui 20000 watakayopanga yakiingilio unaiona ndogo lakini wengine ni kubwa sana tena wanalia kodi ya chumba ,sasa watu kama hao plus wanafunzi wakiletewa show ya bure hawawezi kulinga.

Mwisho kabisa wao efm radio/tv wapo kujitangaza ndo pengo kuu na kuitangaza Biko ,kwa hiyo hawana hasara .Wameshafanya show Kigamboni, Tabata, Kawe ,Dar live ,Kimara kote zilijaa watu na tuliona live kwa tv
 
Mpambano gani unaweka tamasha bure kama wanajiamini na wao waweke kiingilio hapo ndio tutaita Mpambano, Uo ndio umasikini waafrika wengi tumejaliwa..! Kufanikiwa kwa MTU , uwa inatuuma sana...! Wao wanaumia Sana'a wakiona jamaa anavyopiga hela na fiesta yake.!! MSIWE NA AKILI ZA KAA
Sawa B 12,wamekusikia
 
Badaam batamwagikaaa...[emoji75][emoji75] Patam hapo
 
Ratiba ya tar 25 Nov.. Zote zitakuwa ni Breaking News

-Mage Kimambi kurudi bongo na kuongea na vyombo vya habari

-Rais wa Jamhuri ya Tanzania kumtumbua Paul Makonda

-Tundu Lissu kuwasili uwanja wa kimataifa wa KIA. Na kupokelewa na maelfu ya wananchi.

-Zito Kabwe kutangaza rasmi kujiunga na chama tawala Ccm.....

-Robert Mugabe angwatuka madarakani





























































































































































































(jokes)
 
alikiba alitoa nyimbo siku hiyo hiyo wcb na wakatoa nyimbo ila mkasema ndio biashara ilivyo(competition) .

Leo anafanyiwa clouds mnasema akili za kimaskini/roho mbaya/ na majina yote mliyowaita TVE/EFM

Povu ruksa
 
Nawengine tunaweka tamasha la nyimbo za injili( Gospel music Concert ) siku hiyo hiyo, nimesikia kuwa wasambaa watakuwa na ngoma ya mdumange na kiingilio bure kwa wasambaa wote, kama sio msambaa unaingia kwa buku jero
Yetate-nanee, Mghoshi ijo dumange wajidumuia hi? Tiin'ke venue!!
 
Mpambano gani unaweka tamasha bure kama wanajiamini na wao waweke kiingilio hapo ndio tutaita Mpambano, Uo ndio umasikini waafrika wengi tumejaliwa..! Kufanikiwa kwa MTU , uwa inatuuma sana...! Wao wanaumia Sana'a wakiona jamaa anavyopiga hela na fiesta yake.!! MSIWE NA AKILI ZA KAA
Mkuu mie ni mhenga nimepita umri wa kurukaruka kwenye matamasha lakini kabla ya kuwapa tuhuma hao jamaa WAZEE BURE ningependa uangalie uwezo wa leaders club kuchukua mashabiki pia na uwezo wa venue ya WAZEE WA BURE kisha kuangalia idadi ya vijana waliopo Dar na maeneo ya jirani. Utagundua kwamba wateja ni wengi kikubwa kila upande kufanya matangazo ya uhamasishaji tu ili wahusika waelewe
 
Hata kama ni Competition hicho wanachotaka kufanya Efm/TVE ni utoto sasa... Kwa style hii maendeleo nchi hii ngumu sana

Inajulikana Fiesta ni brand ya clouds kwa nini usipange ratiba zako tarehe nyingine kama unahamu ya kutupa tamasha la bure? To me that is so low and pathetic! Kama wao ndio walianza kutangaza tarehe basi clouds wasogeze mbele
Mlikua mnalaumu clouds kubania wanamuziki wasioukubali kupiga show zao,njia mojawapo kuweka tamasha pingani.
Acheni panzi wapambane tu,kwanza ndio kukua kwenyewe kwa tasnia ya burudani
Clouds hawatapungukiwa chochote hata wakikosa watu,wameshachota mpunga wao kutoka kwa wadhamini,ila wajifunze kiburi si maungwana
 
Nawengine tunaweka tamasha la nyimbo za injili( Gospel music Concert ) siku hiyo hiyo, nimesikia kuwa wasambaa watakuwa na ngoma ya mdumange na kiingilio bure kwa wasambaa wote, kama sio msambaa unaingia kwa buku jero
Mkuu naomba location ya kwa wasambaa wenzangu nikacheze mdumange
 
Mpambano gani unaweka tamasha bure kama wanajiamini na wao waweke kiingilio hapo ndio tutaita Mpambano, Uo ndio umasikini waafrika wengi tumejaliwa..! Kufanikiwa kwa MTU , uwa inatuuma sana...! Wao wanaumia Sana'a wakiona jamaa anavyopiga hela na fiesta yake.!! MSIWE NA AKILI ZA KAA
Hiyo ni fursa kwa e-fm kuweza kujibrand. Tumia pesa upate pesa...Thatc marketing
 
Haaaa haaaaa. ! Wangekuwa na mapafu wangefuata na huko mikoani.! Wawaulize eatv ! Chaliiii..... Tuende mbele turudi nyuma Mawingu in jeshi lililoshiba, mapungufu kila MTU anayo na utofauti. In my life toka 2000 mi ni clouds FM, Habari Radio One.
Kila mkoa wanaosikika wamefanya muziki mnene hiyo mengine hawakwenda sababu bado hawajaanza kusikika.
 
Back
Top Bottom