November 25 yagombaniwa, Efm/TvE vs Clouds Media

November 25 yagombaniwa, Efm/TvE vs Clouds Media

Dar kuna watu zaidi ya 5M kwa hiyo hakuna atakaye kosa watu....
Halafu hakuna sheria ya kisema Mwachie huyu....sijui yule...hakuna kila mtu afanye....
 
Nawapenda tve kwa graphics zao na vipindi vyao...ila clouds bado ni best to none.

Naomba siku hiyo wote wafanye show,tuone ushindani wake.

TvE watapunguza monopoly ya Clouds kwenye entertainment industry,mambo ya kuwatesa wasanii kama Ustaadh Juma na Musoma alivyomzalilisha PNC yafike mwisho.
 
Nawawazia tu hao wasanii watakao kubali kwenda kwenye ilo tamasha la bure.
 
Mimi kamakawa ...nakula bia kibo complex Tegeta hadi saa sita then naenda kuruka majoka( strictly Old Skool) kwa John Dilinga Club Legends (zamani nyumbani lounge) ....hizo mambo zingine nilishasahau toka enzi za Summer Jam Slipway .....
kumbe una akili timamu..unanichefuaga tu unapoanza cheap politics
 
Nyinyi ndo mnaofanya Ruge asurubiwe , hawashindwi sababu miaka yote walibebwa na serikali kuliko hata redio au tv ya taifa ,sasa huo upendo wanaanza kugawana na wenzao wanalalamika.

Jide ni umri tu maana kwasasa hawezi kuanza kuimba na kucheza kama Vanessa ,Maua au Nandy .Lakini bado Jide akiandaa show pekee atajaza kuliko hao Vanessa,Maua na Nandy kwa pamoja. Ukitoa Diamond na Alikiba ,Jide anafuata popote atapofanya show kujaza inamaana bado anapendwa.
Mkuu Clouds wanabebwa kivipi?,hawalipi kodi?.Je Efm/Etv nao wanabebwa na Makonda?.Clouds wamejenga platform ambavyo hata serikali inaona itawasaidia kutekeleza mipango yao.Kwahiyo unaweza kusema wanabebana.
Swali ni je media nyingine zinafanya nini kuvutia wadau mbali mbali pamoja na serikali?.Lakini niwapongeze Efm/Etv,ukiwaangalia kwa undani wanajibanza kwa Clouds ili nao wotoke.
 
Mkuu Clouds wanabebwa kivipi?,hawalipi kodi?.Je Efm/Etv nao wanabebwa na Makonda?.Clouds wamejenga platform ambavyo hata serikali inaona itawasaidia kutekeleza mipango yao.Kwahiyo unaweza kusema wanabebana.
Swali ni je media nyingine zinafanya nini kuvutia wadau mbali mbali pamoja na serikali?.Lakini niwapongeze Efm/Etv,ukiwaangalia kwa undani wanajibanza kwa Clouds ili nao wotoke.

Sawa tupo pamoja
 
Nawapenda tve kwa graphics zao na vipindi vyao...ila clouds bado ni best to none.

Naomba siku hiyo wote wafanye show,tuone ushindani wake.

TvE watapunguza monopoly ya Clouds kwenye entertainment industry,mambo ya kuwatesa wasanii kama Ustaadh Juma na Musoma alivyomzalilisha PNC yafike mwisho.
Clouds inawatesaje wasanii?
 
yani tusiwe na tabia ya kaa,mfano

kaa ukimuweka mwenyewe kwenye ndoo hufiki mbali utamkuta ametoka nje ya ndoo ila ukimuweka na wenzake hawezi kutoka kwa sababu wenzake wanamvuta arudi kwenye ndoo

nadhani mpaka hapo utakua umemuelewa ruge
Mbona yeye Ruge alikuwa kaa kwa akina Rubby Jide Sugu n. K?
 
Ndio wapi huko jaman
ukiwa unaingia tanga mjini kuna round about ukikata kushoto waenda kisosora ukiizunguka waenda tanga mjini na ukiizunguka tena unaenda ofisi za mkuu wa mkoa sasa pembeni ya huo mzunguko hapo kuna kituo cha polisi kinaitwa kwa minchi na eneo lote ilo linaitwa ivyo........nna wasiwasi we tanga si mwenyeji
 
ukiwa unaingia tanga mjini kuna round about ukikata kushoto waenda kisosora ukiizunguka waenda tanga mjini na ukiizunguka tena unaenda ofisi za mkuu wa mkoa sasa pembeni ya huo mzunguko hapo kuna kituo cha polisi kinaitwa kwa minchi na eneo lote ilo linaitwa ivyo........nna wasiwasi we tanga si mwenyeji
Anatokea mkoa wa Tanga, ila inaweza kuwa kilindi, lushoto pangani, sasa kuijua Tanga mjini vizuri lazima uwe umeishi hapo
 
Anatokea mkoa wa Tanga, ila inaweza kuwa kilindi, lushoto pangani, sasa kuijua Tanga mjini vizuri lazima uwe umeishi hapo
hapo tanga ni wilaya mbili tu ndio sijakanyaga nazo ni handeni na lushoto muheza nimevuruga tanga mjini nimevuruga korogwe nimevuruga
 
ukiwa unaingia tanga mjini kuna round about ukikata kushoto waenda kisosora ukiizunguka waenda tanga mjini na ukiizunguka tena unaenda ofisi za mkuu wa mkoa sasa pembeni ya huo mzunguko hapo kuna kituo cha polisi kinaitwa kwa minchi na eneo lote ilo linaitwa ivyo........nna wasiwasi we tanga si mwenyeji
Ahahhaha me mwenyewe milimani huko
 
Kuna kitu kipya mjini .. Classic Fm 103.3 ni nzuri sana kwa wapenda muziki ..
 
Back
Top Bottom