Now mil 50 UTT, napambana ifike mil 65 mwaka huu

Now mil 50 UTT, napambana ifike mil 65 mwaka huu

Hamna kitu kama hicho. Wanaozungushwa ni wale wa psssf ambao walikuwa wafanyakazi wa serikali. Iko hivi, serikali inapaswa kupeleka michango ya wafanyakazi wake kila mwezi. Sasa kinachotokea ni kwamba haipeleki.

Ikifika muda mfanyakazi anastaafu ndio wanaanza kutafuta hela ziingizwe kule ndio alipwe. Hivihivi wanafanya kwa nhif. Sasa haya wala hayatokei kwa watu wanaofanya kazi sekta binafsi kwasababu michango yao inapelekwa nssf.

Serikali haiwezi kuzichukua huko labda kama nssf wenyewe waikopeshe serikali kwa kununua bonds. Hizi lazima zilipwe zikishaiva. Hakuna serikali duniani inayodefault kwenye bonds kwasababu ni sawa na kusema imefilisika.

Besides, mara nyingi mafao yanacheleweshwa kwa urasimu wa watu na sio kwamba hela hazipo. Mimi wazazi wangu wote wamestaafu kutokea serikalini na walilipwa hela zao ndani ya miezi sita.
Kwaiyo unataka kusema kununua bond za serikali ni Bora zaid ya utt
 
Mimi nataka nizitoe huko faida ndogo haitoshi hata kununua hennesy xo ya 500,000

Niliweka 50m UTT BOND gawio nalopata kwa mwezi ni hili[emoji116]
Ndugu Mteja
Umepokea kiasi cha TZS 436,160.48 katika akaunti yako nambari: 015*******00
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia 071*197700
Ungechagua mpango wa kukuza mtaji ndo nzuri Zaidi pesa ingekua inajizalisha kwa compound interest ungeset time frame may 5 or 6 or 10 years ya kukuza mtaji ungefika 100M plus
 
Habari,

Lengo sio kujitamba Bali ni kupeana chachu ya kuendelea kupambana. Leo nimefikisha 50ml lengo langu mwaka huu ni 65ml kutokana na saving zangu.

Sihitaji high return business bora nipate low return with minimal risk. Coz biashara imewahi nichakaza nikachanganyikiwa now sitaki kurudia makosa yaliopita. Kwangu UTT ni Bora zaidi! Nimewekeza Umoja, Jikimu, na Bond
Hongera sana mkuu, uko kwenye mwelekeo sahihi kabisa. 👌
 
Nakubaliana na wewe 100%. Kila mtu ana choice yake na anafanya reseach kwa namna yake. Hii UTT nilikuwa naisikia tu ila mwezi uliopita nikaona niingie kwenye website yao (ambayo nayo sikuipenda sana). Nimesoma soma sehemu ya ''about us'' lakini sikuweza kujua ni nani wamiliki/mmiliki; na hisa za ownership (kama zipo) zikoje. Nikadhani labda ni hiki kiingereza changu kibovu, hivyo ngoja niulizie.
Mmiliki wa UTT kama taasisi ni Serikali. Kazi ya UTT ni kupokea mitaji, kuiwekeza kulingana na taaluma ya uhasibu kwa faida ya mwekezaji. Huhitaji kuwa na mamilioni kuanza uwekezaji huko, unaweza kuanza na 10,000 ukajifunza taratibu masuala ya fedha na uwekezaji.
 
Mmiliki wa UTT kama taasisi ni Serikali. Kazi ya UTT ni kupokea mitaji, kuiwekeza kulingana na taaluma ya uhasibu kwa faida ya mwekezaji. Huhitaji kuwa na mamilioni kuanza uwekezaji huko, unaweza kuanza na 10,000 ukajifunza taratibu masuala ya fedha na uwekezaji.
Naomba mnisaidie kujua,UTT mbali na faida ya inayoongezeka siku za kazi,je kuna faida nyingine yoyote inayotolewa kila Mwisho wa Mwezi?

Sent from my SM-A137F using JamiiForums mobile app
 
Naomba mnisaidie kujua,UTT mbali na faida ya inayoongezeka siku za kazi,je kuna faida nyingine yoyote inayotolewa kila Mwisho wa Mwezi?

Sent from my SM-A137F using JamiiForums mobile app
UTT ina mifuko zaidi ya mitano na kila mmoja unalenga kundi lenye malengo tofauti ya uwekezaji. Iko mifuko ambayo ukiwekeza, mbali ya uwekezaji wako kuongezeka thamani, bado unaweza kuchukua gawio, iwe kwa mwezi au kila ya miezi sita. Fika ofisi za UTT, ambazo hivi sasa zimegawanywa kikanda ili upate ufahamu kwa kina.
 
UTT ina mifuko zaidi ya mitano na kila mmoja unalenga kundi lenye malengo tofauti ya uwekezaji. Iko mifuko ambayo ukiwekeza, mbali ya uwekezaji wako kuongezeka thamani, bado unaweza kuchukua gawio, iwe kwa mwezi au kila ya miezi sita. Fika ofisi za UTT, ambazo hivi sasa zimegawanywa kikanda ili upate ufahamu kwa kina.
Vip kuhusu kukopa hela bank kwa dhamana ya hela zako zilizopo UTT hii kitu inawezekana???
 
Naomba mnisaidie kujua,UTT mbali na faida ya inayoongezeka siku za kazi,je kuna faida nyingine yoyote inayotolewa kila Mwisho wa Mwezi?

Sent from my SM-A137F using JamiiForums mobile app
UTT ina mifuko zaidi ya mitano na kila mmoja unalenga kundi lenye malengo tofauti ya uwekezaji. Iko mifuko ambayo ukiwekeza, mbali ya uwekezaji wako kuongezeka thamani, bado unaweza kuchukua gawio, iwe kwa mwezi au kila ya miezi sita. Fika ofisi za UTT, ambazo hivi sasa zimegawanywa kikanda ili upate ufahamu kwa kina.
Vip kuhusu kukopa hela bank kwa dhamana ya hela zako zilizopo UTT hii kitu inawezekana???
Inawezekana kama hawakubadilisha kanuni. Kuna wakati mwekezaji aliruhusiwa kupata mkopo hadi 80% ya kiwango cha utekelezaji wake.
 
Do you know what? The prevailing syndrome within the Tanzanian education system entails the reliance on rote memorization solely for the purpose of achieving success in examinations. As it seems; you are a victim of the circumstance! Further, this extends to the direct translation of Swahili into English, as you have done, reflecting a lack of genuine understanding or mastery of the language. My inquiry was straightforward: does the longevity of the UTT's existence for over 15 years ensure prospective investors of its reliability? Consequently, why shouldn't I engage in thorough due diligence?
English teacher vs Finance Teacher
One good in English
One good in investments

Damn
 
Habari,

Lengo sio kujitamba Bali ni kupeana chachu ya kuendelea kupambana. Leo nimefikisha 50ml lengo langu mwaka huu ni 65ml kutokana na saving zangu.

Sihitaji high return business bora nipate low return with minimal risk. Coz biashara imewahi nichakaza nikachanganyikiwa now sitaki kurudia makosa yaliopita. Kwangu UTT ni Bora zaidi! Nimewekeza Umoja, Jikimu, na Bond
Mkuu mimi nina swali.
Mfano nikiweka 10M nina uwezo wa kuchukua mkopo kwa kutumia hizo Bond?
Nikichukua mkopo payment inakua kwa utaratibu gani??
 
Mkuu mimi nina swali.
Mfano nikiweka 10M nina uwezo wa kuchukua mkopo kwa kutumia hizo Bond?
Nikichukua mkopo payment inakua kwa utaratibu gani??
Unaweza chukua mkopo Hadi 80% ya pesa yako uliyoweka UTT. Ukishaweka pesa zako UTT utapewa certificate ambayo itaonyesha kiasi chako cha pesa ambzo zitastand as collateral kwenye benki yoyote
 
Unaweza chukua mkopo Hadi 80% ya pesa yako uliyoweka UTT. Ukishaweka pesa zako UTT utapewa certificate ambayo itaonyesha kiasi chako cha pesa ambzo zitastand as collateral kwenye benki yoyote
Mfano ukiweka mil 10, ukachukua 80% ambayo ni 8M , malipo ya huo mkopo yanakuaje? Unalipa mwenyewe kila mwezi ?
 
Hongera sana. Kadiri unavyo invest kwa muda mrefu zaidi, ndivyo return inavyokuwa kubwa. Mimi tangu nianze ajira yangu ya kwanza mwaka 2015, niliazimia monthly kuweka zaidi ya asilimia 70 ya mshahara wangu UTT kwa sababu sikuwa na sina muda wa kusimamia biashara actively. Nikatumikia committment yangu kwa uaminifu mkubwa.

Kuna miezi nilikuwa nje ya ajira lakini sikutoa hela yangu UTT. Mwishoni wa mwaka 2023, nilikuwa na milioni 200 kwenye account yangu ya Liquid fund.

January 2024 nikatoa milioni 70 nikanunua kiwanja cha square meter 1900 bunju B chenye foundation ya ujenzi tayari.

Malengo yangu ifikapo mwaka 2030 niwe na hela isiyopungua milioni 700 kwenye account yangu ya UTT liquid + hela yangu ya nssf nitakuwa na kama milioni 800 hivi.

Then nimepanga baada ya hapo kutoa milioni 200 nijenge kwenye hicho kiwanja na hela inayobaki nahamishia mfuko wa bond ili niweze kupata mshahara wangu wa kila mwezi from UTT bila jasho. I want to retire at age 42. Tuendelee kufukuzia malengo mkuu...
Gentleman1 hongera sana kwa huu uthubutu. Kiukweli ulifanya maamuzi magumu and few can match this. Kila lenye Heri. Mwenyezi Mungu akutangulie katika mipango yako. Naamini ukiendelea na hii approach, you will hit a billion…by 2030, na hapo sasa ndo kweli utastaafu at 42 comfortably.
Wengi tuna la kujifunza kwako. Asante kwa kushare experience yako.
 
Back
Top Bottom