Nsajigwa: Mamelodi Sundowns hakuna wanachoizidi Yanga

Huyu huyu bacca aliyekuwa akilipwa 1.5m kwa mwezi?
 
Na ndio maana mkasajili wazinzi na walevi?

[emoji196][emoji196] mruke kichura [emoji196]tu huko NBCPL mambo ya soka la kimataifa waachieni wana lunyasi, [emoji196][emoji196]bado sana.
Imagine kolo fc yupo champions league...Kwa mgongo wa Yanga....
 
Huyu huyu bacca aliyekuwa akilipwa 1.5m kwa mwezi?
Yaaah mkuu

Ngoja nikupe shule kwanza .... vijana wengi humu .... mlikimbia shule na umande

According to herzberg two factor theory .....state that ....there two things that motivate a person

Intrinsic motivation.....( Motivation within an individual....mfano wa bacca ....japo analipwa kidg....ila yupo willingly kuendelea kucheza

Extrinsic motivation....out of an individual
 
CAFCL ni nyumbani kwa wana lunyasi, [emoji196][emoji196]mmechungulia huko kwa msaada wa mnyama, [emoji196][emoji196]bado sana kufikia viwango vya mnyama
Sahihi mkuu...bila Yanga Simba.... angekuwa shirikisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…