Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SafiKauli inayoonyesha umwamba
Na ndio maana mkasajili wazinzi na walevi?Yanga ndio ramani ya soka
Huyu huyu bacca aliyekuwa akilipwa 1.5m kwa mwezi?#KIPENGA: ''Kwenye eneo la ulinzi ni eneo ambalo Aubrey Modiba kutokea Mamelodi anacheza na kitu ambacho Aubrey Modiba anamzidi Bacca sijakiona kwa sababu Bacca amekuwa na muendelezo mzuri wa kufanya vizuri kwenye matukio hasa hii ya Michezo mikubwa ni ngumu sana kumuona Bacca anafanya makosa yanalopelekea goli'' - @nsajigwa_senior Via Kipenga
#EastAfricaTv #EastAfricaRadio #Michezo #KipengaXtra #HainaKuchoka
Makolo mkihitajika nusu final mtaitwa[emoji23][emoji113]....by doto magali.
View attachment 2941850
Ngoja tuwaulize EATVNa mamelodi atakandwa
Imagine kolo fc yupo champions league...Kwa mgongo wa Yanga....Na ndio maana mkasajili wazinzi na walevi?
[emoji196][emoji196] mruke kichura [emoji196]tu huko NBCPL mambo ya soka la kimataifa waachieni wana lunyasi, [emoji196][emoji196]bado sana.
Yaaah mkuuHuyu huyu bacca aliyekuwa akilipwa 1.5m kwa mwezi?
CAFCL ni nyumbani kwa wana lunyasi, 🐸🐸mmechungulia huko kwa msaada wa mnyama, 🐸🐸bado sana kufikia viwango vya mnyamaImagine kolo fc yupo champions league...Kwa mgongo wa Yanga....
Bila Simba usingekuwa unashusha threads hapa 🐸🐸wahed weyeSahihi mkuu...bila Yanga Simba.... angekuwa shirikisho