MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Huyu askofu wa Musiba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ni shirika Holy Ghost father's la zamani na kubwa sanaCRDB wamechukua maji kisimani, wakenda kumwaga baharini. Marian wanao uwezo wa kujenga shule vizuri kabisa bila shida. Hii michango ilitakiwa kwenda "Mwembe kiuno" sekondari, au shule ya msingi "sogea tukae".
By the way, sioni kama lengo la kuzianzisha hizi shule za Marian linatimizwa kwa sasa. Imekua kinyume chake!
Bayo anaendesha kama mali zake yeye. Na Bayo ni mwakilishi wa Holy Ghost Father's ( spiritans) ambalo ni shirika la mapadre,masister na watawa kutoka kanisa katoliki.Nilifanya kazi Marian boys kwa miaka miwili nikishirili kuianzisha na Hata uwanja wa mpira niliuchora Mimi na wanafunzi na tukasimika magoli Yale,wanasoma hapo ni wenye pesa .Watu wa Pwani wanaosomesha hapo ni wahamiaji na wenye pesa.Watoto wa wenyeji wapo Kayumba hapo Kerege,Zinga etc.Hivi hizi shule za Marian zinamilikiwa na huyo Fr. Bayo kupitia mgongo wa kanisa au ni kanisa kweli kwa 100%? Isijekuwa kuna umafia kwenye suala la umiliki.
Kuna mkubwa Fulani hapo Katia mkono.Kama siyo Mfalme wa Msoga a k a JK wa pili sjui.Duh,
Hizi ya Bank kama bank sio sawa. Kuna shule nyingi zenye uhitaji. Wale wenye hisa CRDB watajisikiaje? Yeye binafsi atajijua mwenyewe kwa mapenzi yake.
Sidhani km za kanisa 100%maana Kwa Sasa Yale maadili ya ukanisa kama Kifungilo ,St.Fransic hayapoHivi hizi shule za Marian zinamilikiwa na huyo Fr. Bayo kupitia mgongo wa kanisa au ni kanisa kweli kwa 100%? Isijekuwa kuna umafia kwenye suala la umiliki.
Ni matajiri sana hawa jamaa. Hata huko kukusanya michango ni geresha tu waonekane hawana uwezo. Kuna kitu wanaficha.Bayo anaendesha kambmal zake yeye. Na Bayo ni mwakilishi wa Holy Ghost Father's ( spiritans) ambalo ni shirika la mapadre,masister na watawa kutoka kanisa katoliki.
Mmmhhh!!!Nnaowajua Mimi waliosoma na wanaosoma pale wengi Wana vipato na tena Sio kutoka Pwani hao wa Pwanj Ht 1% hawafiki"Sekondari ya Wasichana Marian ilijengwa Februari 1997 ili kuwapa fursa wasichana wa Mkoa wa Pwani na maeneo jirani kupata elimu bora"
Hivi hata viongozi wa dini siku hizi ni matapeli,hii shule lini ililenga kusaidia wasichana wa mkoa wa pwani?? Hata tukifanya sensa ndogo hapo sidhani kama wasichan wa pwani watafika hata 1%,
Mamilioni ya ada za Marian yanapitia CRDB, so ni win-win situationKampuni mara nyingi hazitoi misaada kwenye hamna, vigumu kuwaona shule yenye majengo mabovu na sare zimechafuka na kuchanika, vyoo havitoshi. Positive effect itakayotokea hapo ni ndogo kibiashara kuliko wakienda shule inayojulikana. Kwanza mazingira mazuri yanaendana na hadhi ya kampuni, taarifa itafikika zaidi kama hapa kila mmoja anaijua Marian, pia matokeo chanya yataonekana kwa wazazi, watoto na watumishi. Mjue kuna shule hakuna mwanafunzi hata mmoja mwenye kadi ya benki yoyote.
Kingine ni dini, waumini wa dini zote hupenda kwenda kwa mkumbo na upendeleo kwa taasisi zinazowaunga mkono ndio maana Abdulmajid kahudhuria kwa Wakristo na kuchangia. Image inayotokea hapo ni kubwa kwa benki, mwaka mwingine wataenda shule ya Kiislamu au walishaenda, mwingine ya Lutheran.
Makampuni hayatoi misaada kwamba yanawapenda sana Watanzania. Corporate Social Responsibility ni strategic hutoi hela bila calculations. Hata wanasiasa hutomuona mbunge anahudhuria mahafali shule ya kata madirisha hayana vioo, mpaka iwe shule nzuri nzuri. Last year NMB walitoa msaada CCBRT wakati wangeenda hospitali za ndani ndani uko ambako madawa tu ni tatizo
Askofu wa Magu na MUSIBAHuyu askofu wa Musiba?