Nsekela aongoza harambee shule za Marian, Bagamoyo

Na ni shirika Holy Ghost father's la zamani na kubwa sana
 
Hivi hizi shule za Marian zinamilikiwa na huyo Fr. Bayo kupitia mgongo wa kanisa au ni kanisa kweli kwa 100%? Isijekuwa kuna umafia kwenye suala la umiliki.
Bayo anaendesha kama mali zake yeye. Na Bayo ni mwakilishi wa Holy Ghost Father's ( spiritans) ambalo ni shirika la mapadre,masister na watawa kutoka kanisa katoliki.Nilifanya kazi Marian boys kwa miaka miwili nikishirili kuianzisha na Hata uwanja wa mpira niliuchora Mimi na wanafunzi na tukasimika magoli Yale,wanasoma hapo ni wenye pesa .Watu wa Pwani wanaosomesha hapo ni wahamiaji na wenye pesa.Watoto wa wenyeji wapo Kayumba hapo Kerege,Zinga etc.
 
Hivi hizi shule za Marian zinamilikiwa na huyo Fr. Bayo kupitia mgongo wa kanisa au ni kanisa kweli kwa 100%? Isijekuwa kuna umafia kwenye suala la umiliki.
Sidhani km za kanisa 100%maana Kwa Sasa Yale maadili ya ukanisa kama Kifungilo ,St.Fransic hayapo
Kwanza ada kubwa Sasa hivi
Pili watoto wanapewa pesa wako huru kwenye matumizi mnoo pale shuleni

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Bayo anaendesha kambmal zake yeye. Na Bayo ni mwakilishi wa Holy Ghost Father's ( spiritans) ambalo ni shirika la mapadre,masister na watawa kutoka kanisa katoliki.
Ni matajiri sana hawa jamaa. Hata huko kukusanya michango ni geresha tu waonekane hawana uwezo. Kuna kitu wanaficha.
 
Nimekumbuka kuna kanisa linamiliki shule ya msingi iliyojengwa kwa michango ya waumini, wakatakiwa kuweka paving na kununua bus la shule. Waumini wakawa wanalalamika kuwa wanatoa michango wakati shule inaendeshwa kwa ada kubwa na bado hata wao walio wengi hawawezi somesha watoto wao hapo!! Sasa sijui pesa zinakwenda wapi🤷

Hii nchi ufisadi kila kona.
 
Mmmhhh!!!Nnaowajua Mimi waliosoma na wanaosoma pale wengi Wana vipato na tena Sio kutoka Pwani hao wa Pwanj Ht 1% hawafiki
Kuna St.Mary's Mazinde na Marian hizi Sio shule jamani km Sio za Kanisa ukipeleka mtoto ht km kafaulu intavyuu utaambiwa utoe pesa ya kushika nafasi ilikua 500k sijuii imeongezeka hyo apart from ada ya shule


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mamilioni ya ada za Marian yanapitia CRDB, so ni win-win situation
 
Fr. Bayo anaaminika sana hapa Kerege kwa mchango wake mkubwa wa kuwainua vijana wa hapa. Kwa maendeleo hajambo. Parokia ya Kerege na shule ya sekondari wavulana ni juhudi zake. Big up Bayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…