Tetesi: NSSF iko hoi?

Tetesi: NSSF iko hoi?

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linaonekana kuwa hoi kifedha, kwa miezi kadhaa sasa limekuwa likishindwa kuwalipa wastaafu malipo ya pensheni kwa wakati ambapo malipo hayo hufanyika tarehe 24.

Mwanzo ucheleweshaji huo shirika lilikuwa likidai kuwa unafanywa na shirika la Posta hata hivyo hakuna hatua zilizowahi kuchukuliwa.

Kutokuwepo uhakika wa tarehe ya malipo kumewafanya wastaafu washinde kwenye ofisi za Posta kwa kati ya siku mbili mpaka sita! Mimi nikiwa mmoja wa wahanga ambao tungelipwa tarehe 24 mpaka leo tarehe 28 malipo yameshindikana na hakuna taarifa yoyote kuhusu hali hii.

Kinachoonekana ni kuwa malipo yatafanyika baada makusanyo ya michango toka kwenye makampuni.
Ni vizuri shirika lijitokeze na kuwaeleza wateja kuhusu kadhia hii badala ya kujificha na kuwaacha wastaafu wakihangaika.
 
Miaka 7 bado yupo madarakani Mungu atusaidie tu miujiza itokee kea kweli .Tushukuru kwankila Jambo enzi za JK tulilalamika wee mpaka Basi Sasa tumepata size yetu
 
Kwa hiyo sasa hawa NSSF katika hali hii, watajenga viwanda vingapi? maana Jiwe anataka mashirika haya yajenge viwanda...
 
Kwa hiyo sasa hawa NSSF katika hali hii, watajenga viwanda vingapi? maana Jiwe anataka mashirika haya yajenge viwanda...
NSSF haikuanzishwa kwa ajili ya kujenga viwanda, huu ni mfuko wa jamii na pesa zilizomo ni za wanachama si za serikali hivyo zinahitaji udhibiti wa kibenki. Kwa bahati mbaya zipo dalili zinazoleta mashaka juu ya mwenendo wake na hasa kutokuwepo wastaafu kwenye bodi yake pia kutokuwa na mawasiliano ya aina yoyote na wastaafu.
 
Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linaonekana kuwa hoi kifedha, kwa miezi kadhaa sasa limekuwa likishindwa kuwalipa wastaafu malipo ya pensheni kwa wakati ambapo malipo hayo hufanyika tarehe 24. Mwanzo ucheleweshaji huo shirika lilikuwa likidai kuwa unafanywa na shirika la Posta hata hivyo hakuna hatua zilizowahi kuchukuliwa. Kutokuwepo uhakika wa tarehe ya malipo kumewafanya wastaafu washinde kwenye ofisi za Posta kwa kati ya siku mbili mpaka sita! Mimi nikiwa mmoja wa wahanga ambao tungelipwa tarehe 24 mpaka leo tarehe 28 malipo yameshindikana na hakuna taarifa yoyote kuhusu hali hii. Kinachoonekana ni kuwa malipo yatafanyika baada makusanyo ya michango toka kwenye makampuni.
Ni vizuri shirika lijitokeze na kuwaeleza wateja kuhusu kadhia hii badala ya kujificha na kuwaacha wastaafu wakihangaika.

Ni kwa sababu za kiutawala tu maana ndani ya miaka miwili mabadiliko mara mbili, sasa kila anaekuja lazma ajiridhishe na malipo yanayofanywa,hata rais JPM alipoingia madarakani alianza kuhakiki uhalali wa madai ya makandarasi,wengine hadi sasa hawajalipwa.Kubadilisha mara kwa mara uongozi ni shiiiiiiiiiiiida
 
Hizi laana za hawa wazee tatazipeleka wapi?
Mishahara yao ilikatwa fedha kwa miaka yote ambazo leo hii serikali wanaziona kama zao!
Fedha hizi ni serikali inazichukua kutoka ktk mifuko hii na kuzitumia wapendavyo!
Ni aibu mno mno na laana kuu, hebu wabunge wetu amkeni ktk usingizi na muache ubinafsi wenu, hawa ni wapiga kura wenu, baba zenu, wajomba zenu, ndugu zenu na shangazi zenu.
 
Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linaonekana kuwa hoi kifedha, kwa miezi kadhaa sasa limekuwa likishindwa kuwalipa wastaafu malipo ya pensheni kwa wakati ambapo malipo hayo hufanyika tarehe 24. Mwanzo ucheleweshaji huo shirika lilikuwa likidai kuwa unafanywa na shirika la Posta hata hivyo hakuna hatua zilizowahi kuchukuliwa. Kutokuwepo uhakika wa tarehe ya malipo kumewafanya wastaafu washinde kwenye ofisi za Posta kwa kati ya siku mbili mpaka sita! Mimi nikiwa mmoja wa wahanga ambao tungelipwa tarehe 24 mpaka leo tarehe 28 malipo yameshindikana na hakuna taarifa yoyote kuhusu hali hii. Kinachoonekana ni kuwa malipo yatafanyika baada makusanyo ya michango toka kwenye makampuni.
Ni vizuri shirika lijitokeze na kuwaeleza wateja kuhusu kadhia hii badala ya kujificha na kuwaacha wastaafu wakihangaika.

Inawezekana ni kweli, lakini inawezekana ni urasimu tu..
 
Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linaonekana kuwa hoi kifedha, kwa miezi kadhaa sasa limekuwa likishindwa kuwalipa wastaafu malipo ya pensheni kwa wakati ambapo malipo hayo hufanyika tarehe 24. Mwanzo ucheleweshaji huo shirika lilikuwa likidai kuwa unafanywa na shirika la Posta hata hivyo hakuna hatua zilizowahi kuchukuliwa. Kutokuwepo uhakika wa tarehe ya malipo kumewafanya wastaafu washinde kwenye ofisi za Posta kwa kati ya siku mbili mpaka sita! Mimi nikiwa mmoja wa wahanga ambao tungelipwa tarehe 24 mpaka leo tarehe 28 malipo yameshindikana na hakuna taarifa yoyote kuhusu hali hii. Kinachoonekana ni kuwa malipo yatafanyika baada makusanyo ya michango toka kwenye makampuni.
Ni vizuri shirika lijitokeze na kuwaeleza wateja kuhusu kadhia hii badala ya kujificha na kuwaacha wastaafu wakihangaika.
PESA ZETU ITAKUWA ZIMEENDA KWENYE UNUNUZI WA MADIWANI NA WABUNGE,IPO SIKU TU NYIE FANYENI KWA KUTII MAAGIZO KUTOKA JUU,YAN HELA YA MTU MLIYOMKATA KUIPATA HADI AHANGAIKE YAAN NYIE NI WADHULUMAJI SAAANA NA HII DHAMBI ILIBIDI ISIWE NA MSAMAHA.
 
Ramandhani Dau alienda na dau lake

Tutaambiwa Dau alikomba hazina yote ya NSSF Kama tulivyoambiwa Jakaya alikomba hazina yote alipostaafu!

Prof Kahyarahara viatu vya Dau vimempwaya ngoja tuone Huyu Mpwa wake Mzee Mstaafu Mwingine
 
Ila siku hizi yataka moyo kuwahurumia the aged/wazee, maana ndio washabiki wakubwa wa ccm

Ni kauli ya kibaguzi..ni kauli yenye mwelekeo wa itikadi ya ufashisti...Inaelekea hujafanya utafiti.CCM ina vijana wengi mashabiki...CCM ina wanawake wengi mashabiki..CCM ina mashabiki kutoka makundi yote ya jamii...Kauli za aina hiyo kama yako ndio anbazo hukosesha kura upinzani..Kauli nyingine ambazo hukosesha kura kwa upinzani ni kama zile za kusema mikoa ya Dodoma, Singida na kadhalika haijitambui na ikonyuma kimaendeleo na ndiyo maana inaipigia kura CCM na kwamba eti mikoa inayoitwa ya 'kaskazini' ina watu wanaojitambua na ndiyo maana inawapakura wapinzani....wapinzani lazima mjifunze....muwe na lugha nzuri na staha...
 
Kwakweli mtu anastaafu anasota zaidi ya mwaka bila malipo.. Na hata hizi za monthly zinapiga chenga kutoka, ni udhalimu sana waliotumia pesa za wazee wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kwa sababu za kiutawala tu maana ndani ya miaka miwili mabadiliko mara mbili, sasa kila anaekuja lazma ajiridhishe na malipo yanayofanywa,hata rais JPM alipoingia madarakani alianza kuhakiki uhalali wa madai ya makandarasi,wengine hadi sasa hawajalipwa.Kubadilisha mara kwa mara uongozi ni shiiiiiiiiiiiida
Mkuu futa hii kauli ya kubadilisha mara kwa mara uongozi ni shiiiida, nadhani nimeeleweka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana ni kweli, lakini inawezekana ni urasimu tu..
Hakuna urasimu hapo hali ni mbaya huko. Baada ya kupata malipo yangu ndio nimeanza kutafakari nilichokuwa naambiwa japo walikuwa wananifokea ila sasa nimewaelewa lile shirika tuliombee ili hawa ndugu zetu wapate mafao yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom