Gamechanger
Member
- Aug 28, 2018
- 13
- 34
Dau was the right person kwa NSSF.
Mastermind
Mastermind
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu, wewe ndie unaonekana ni jitu la hovyo na lisilojitambua! ulitakiwa kumuelemisha na sio kuja na hoja za kijinga namna hii. tena wewe ndie huna lugha za staha. suala la ccm au upinzani ni suala binafsi la mtu na sio ukabila au ukanda.Ni kauli ya kibaguzi..ni kauli yenye mwelekeo wa itikadi ya ufashisti...Inaelekea hujafanya utafiti.CCM ina vijana wengi mashabiki...CCM ina wanawake wengi mashabiki..CCM ina mashabiki kutoka makundi yote ya jamii...Kauli za aina hiyo kama yako ndio anbazo hukosesha kura upinzani..Kauli nyingine ambazo hukosesha kura kwa upinzani ni kama zile za kusema mikoa ya Dodoma, Singida na kadhalika haijitambui na ikonyuma kimaendeleo na ndiyo maana inaipigia kura CCM na kwamba eti mikoa inayoitwa ya 'kaskazini' ina watu wanaojitambua na ndiyo maana inawapakura wapinzani....wapinzani lazima mjifunze....muwe na lugha nzuri na staha...
mkuu, wewe ndie unaonekana ni jitu la hovyo na lisilojitambua! ulitakiwa kumuelemisha na sio kuja na hoja za kijinga namna hii. tena wewe ndie huna lugha za staha. suala la ccm au upinzani ni suala binafsi la mtu na sio ukabila au ukanda.
Angetengeneza solution na sio ku create more problems kwa kuwambia wajenge viwanda ambavyo havikuwa kwa plan.Yeye angewaambia wafanye analysis ya project portfolio zao na kuona kama zina faida au la na what is the wayward. hii ya kuongeza mzigo juu ya mizigo ndio maana wanafilisikakwani yeye ndio alijenga migorofa isiyo na wapangaji?
Mkuu umeandika kwa hisia kali sanaMzee kwanza shikamoo , halafu pole sana kwa yaliyokukuta , hii nchi kwa sasa inaenda kama gari lililokatika senta bolti , vumilia tu mzee wangu Mungu atakuokoa
Kwa hiyo ccm yenye lugha ya "nitaanza kupiga shangazi zenu" ndio lugha nzuri eeh! Wana Lumumba ni wa kuwapeleka kwa manabii mkatolewe mapepoNi kauli ya kibaguzi..ni kauli yenye mwelekeo wa itikadi ya ufashisti...Inaelekea hujafanya utafiti.CCM ina vijana wengi mashabiki...CCM ina wanawake wengi mashabiki..CCM ina mashabiki kutoka makundi yote ya jamii...Kauli za aina hiyo kama yako ndio anbazo hukosesha kura upinzani..Kauli nyingine ambazo hukosesha kura kwa upinzani ni kama zile za kusema mikoa ya Dodoma, Singida na kadhalika haijitambui na ikonyuma kimaendeleo na ndiyo maana inaipigia kura CCM na kwamba eti mikoa inayoitwa ya 'kaskazini' ina watu wanaojitambua na ndiyo maana inawapakura wapinzani....wapinzani lazima mjifunze....muwe na lugha nzuri na staha...