Tetesi: NSSF iko hoi?

Tetesi: NSSF iko hoi?

Ni kauli ya kibaguzi..ni kauli yenye mwelekeo wa itikadi ya ufashisti...Inaelekea hujafanya utafiti.CCM ina vijana wengi mashabiki...CCM ina wanawake wengi mashabiki..CCM ina mashabiki kutoka makundi yote ya jamii...Kauli za aina hiyo kama yako ndio anbazo hukosesha kura upinzani..Kauli nyingine ambazo hukosesha kura kwa upinzani ni kama zile za kusema mikoa ya Dodoma, Singida na kadhalika haijitambui na ikonyuma kimaendeleo na ndiyo maana inaipigia kura CCM na kwamba eti mikoa inayoitwa ya 'kaskazini' ina watu wanaojitambua na ndiyo maana inawapakura wapinzani....wapinzani lazima mjifunze....muwe na lugha nzuri na staha...
mkuu, wewe ndie unaonekana ni jitu la hovyo na lisilojitambua! ulitakiwa kumuelemisha na sio kuja na hoja za kijinga namna hii. tena wewe ndie huna lugha za staha. suala la ccm au upinzani ni suala binafsi la mtu na sio ukabila au ukanda.
 
mkuu, wewe ndie unaonekana ni jitu la hovyo na lisilojitambua! ulitakiwa kumuelemisha na sio kuja na hoja za kijinga namna hii. tena wewe ndie huna lugha za staha. suala la ccm au upinzani ni suala binafsi la mtu na sio ukabila au ukanda.

Jitu la hovyo...hoja za kijinga....unadhani uko sahihi kwa kutumia lugha ya aina hii? Unajua madhara ya matusi mitandaoni???!!
 
kwani yeye ndio alijenga migorofa isiyo na wapangaji?
Angetengeneza solution na sio ku create more problems kwa kuwambia wajenge viwanda ambavyo havikuwa kwa plan.Yeye angewaambia wafanye analysis ya project portfolio zao na kuona kama zina faida au la na what is the wayward. hii ya kuongeza mzigo juu ya mizigo ndio maana wanafilisika
 
Pesa za 'kuwalipa wanaotoka upinzani kuunga mkono....zipo.
Za kufanya uchaguzi ndogo harakaharaka zipo!
Za wastaafu waliokatwa kwa miaka kibao hazipo wasubirie! Ni aibu aibu aibu!
 
Ni kauli ya kibaguzi..ni kauli yenye mwelekeo wa itikadi ya ufashisti...Inaelekea hujafanya utafiti.CCM ina vijana wengi mashabiki...CCM ina wanawake wengi mashabiki..CCM ina mashabiki kutoka makundi yote ya jamii...Kauli za aina hiyo kama yako ndio anbazo hukosesha kura upinzani..Kauli nyingine ambazo hukosesha kura kwa upinzani ni kama zile za kusema mikoa ya Dodoma, Singida na kadhalika haijitambui na ikonyuma kimaendeleo na ndiyo maana inaipigia kura CCM na kwamba eti mikoa inayoitwa ya 'kaskazini' ina watu wanaojitambua na ndiyo maana inawapakura wapinzani....wapinzani lazima mjifunze....muwe na lugha nzuri na staha...
Kwa hiyo ccm yenye lugha ya "nitaanza kupiga shangazi zenu" ndio lugha nzuri eeh! Wana Lumumba ni wa kuwapeleka kwa manabii mkatolewe mapepo
 
Back
Top Bottom