Tetesi: NSSF iko hoi?

Tetesi: NSSF iko hoi?

Mzee kwanza shikamoo , halafu pole sana kwa yaliyokukuta , hii nchi kwa sasa inaenda kama gari lililokatika senta bolti , vumilia tu mzee wangu Mungu atakuokoa
We si tajiri mchangie sasa acha maneno ya kwenye kanga
 
Jamani Mungu huwa hazihakiwi kamwe, Sijui kama hili linaeleweka vizuri kweli kwa watu wengi. Katika moja ya agenda za ilani ya uchaguzi ccm 2015/20. Walituahidi na hili ni moja ya mambo mgombea wao ambaye ni Rais sasa JPM aliyasemaa sana, ni lile la kuanzishwa kwa mahakama ya Mafisadi/Wezi wa mali ya umma.

Tunampongeza Rais JPM kweli mahakama imeanzishwa. Na Mungu alivyo mwema kamfunulia mafisadi wako wazi kabisa kwa matendo yao waliyo ya fanya huko nyuma bila soni wala haya. Sasa tuone uthubutu wake yeye Mh Rais maana kazi hii ama kwa hakika si lelema.
 
Miaka 7 bado yupo madarakani Mungu atusaidie tu miujiza itokee kea kweli .Tushukuru kwankila Jambo enzi za JK tulilalamika wee mpaka Basi Sasa tumepata size yetu

kwani yeye ndio alijenga migorofa isiyo na wapangaji?
 
Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linaonekana kuwa hoi kifedha, kwa miezi kadhaa sasa limekuwa likishindwa kuwalipa wastaafu malipo ya pensheni kwa wakati ambapo malipo hayo hufanyika tarehe 24.

Mwanzo ucheleweshaji huo shirika lilikuwa likidai kuwa unafanywa na shirika la Posta hata hivyo hakuna hatua zilizowahi kuchukuliwa.

Kutokuwepo uhakika wa tarehe ya malipo kumewafanya wastaafu washinde kwenye ofisi za Posta kwa kati ya siku mbili mpaka sita! Mimi nikiwa mmoja wa wahanga ambao tungelipwa tarehe 24 mpaka leo tarehe 28 malipo yameshindikana na hakuna taarifa yoyote kuhusu hali hii.

Kinachoonekana ni kuwa malipo yatafanyika baada makusanyo ya michango toka kwenye makampuni.
Ni vizuri shirika lijitokeze na kuwaeleza wateja kuhusu kadhia hii badala ya kujificha na kuwaacha wastaafu wakihangaika.
Hii ndiyo sababu ya kuyaunganisha mashirika haya kwa nguvu za kisheria ili kuficha ukweli huu. Si NSSF tu PSPF nayo ilikuwa/ipo ICU.
 
Ni kauli ya kibaguzi..ni kauli yenye mwelekeo wa itikadi ya ufashisti...Inaelekea hujafanya utafiti.CCM ina vijana wengi mashabiki...CCM ina wanawake wengi mashabiki..CCM ina mashabiki kutoka makundi yote ya jamii...Kauli za aina hiyo kama yako ndio anbazo hukosesha kura upinzani..Kauli nyingine ambazo hukosesha kura kwa upinzani ni kama zile za kusema mikoa ya Dodoma, Singida na kadhalika haijitambui na ikonyuma kimaendeleo na ndiyo maana inaipigia kura CCM na kwamba eti mikoa inayoitwa ya 'kaskazini' ina watu wanaojitambua na ndiyo maana inawapakura wapinzani....wapinzani lazima mjifunze....muwe na lugha nzuri na staha...
Wewe unapingana na tafiti? TWAWEZA walisemaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NSSF ilishachoka miaka 4 iliyopita sasa hivi inaelekea kaburini,
1.Ina miradi hewa mingi iliyowekeza hela zake
2.Serikali imekopa sana katika huo mfuko
 
Ni kwa sababu za kiutawala tu maana ndani ya miaka miwili mabadiliko mara mbili, sasa kila anaekuja lazma ajiridhishe na malipo yanayofanywa,hata rais JPM alipoingia madarakani alianza kuhakiki uhalali wa madai ya makandarasi,wengine hadi sasa hawajalipwa.Kubadilisha mara kwa mara uongozi ni shiiiiiiiiiiiida
Serikali inapokopa toka mifuko ya jamii inatumia kigezo gani? Yaliyotokea NPF ya watu binafsi kukopa yanaweza kutokea sasa. Mbona wenyefedha zao hawakopeshwi? Mwisho kwanini NSSF hawakutani na wastaafu ambao tumekuwa tukienda kwenye ofisi zao na kupewa majibu ya dharau?
 
NSSF haikuanzishwa kwa ajili ya kujenga viwanda, huu ni mfuko wa jamii na pesa zilizomo ni za wanachama si za serikali hivyo zinahitaji udhibiti wa kibenki. Kwa bahati mbaya zipo dalili zinazoleta mashaka juu ya mwenendo wake na hasa kutokuwepo wastaafu kwenye bodi yake pia kutokuwa na mawasiliano ya aina yoyote na wastaafu.
Ni kweli, ila ajabu hata sisi wanachama wanatutreat kama mijusi yaani mwaka sasa nadai michango yangu na sijaambulia kitu. Wanalaana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linaonekana kuwa hoi kifedha, kwa miezi kadhaa sasa limekuwa likishindwa kuwalipa wastaafu malipo ya pensheni kwa wakati ambapo malipo hayo hufanyika tarehe 24.

Mwanzo ucheleweshaji huo shirika lilikuwa likidai kuwa unafanywa na shirika la Posta hata hivyo hakuna hatua zilizowahi kuchukuliwa.

Kutokuwepo uhakika wa tarehe ya malipo kumewafanya wastaafu washinde kwenye ofisi za Posta kwa kati ya siku mbili mpaka sita! Mimi nikiwa mmoja wa wahanga ambao tungelipwa tarehe 24 mpaka leo tarehe 28 malipo yameshindikana na hakuna taarifa yoyote kuhusu hali hii.

Kinachoonekana ni kuwa malipo yatafanyika baada makusanyo ya michango toka kwenye makampuni.
Ni vizuri shirika lijitokeze na kuwaeleza wateja kuhusu kadhia hii badala ya kujificha na kuwaacha wastaafu wakihangaika.
Hivi huwa si wanachukua pesa zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndio maana wamezuia fao la kujitoa na just merge mashirika kama ppf kwenda nssf.
mwaka huu nastaafu hapo ndio kwanza nina miaka 34,nikitegemea mkataba wangu ukiisha nikazivute pesa zangu maskini sijui kama ntambulia kitu?
 
Kwani makinikia hatujalipwa??[emoji23][emoji23][emoji23] magufuri kwa kiki za pikipiki na usukuma wake!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom