NSSF ITURUHUSU TULIOAJIRIWA SERIKALINI KUCHUKUA MAFAO YETU NSSF TULIOJIWEKEA WAKATI TUKIFANYA KAZI PRIVATE

NSSF ITURUHUSU TULIOAJIRIWA SERIKALINI KUCHUKUA MAFAO YETU NSSF TULIOJIWEKEA WAKATI TUKIFANYA KAZI PRIVATE

Midabanu

Member
Joined
Jun 17, 2023
Posts
11
Reaction score
15
Mwanzo ilikua ukimaliza mkataba wako secta binafsi unaruhusiwa kuchukua mafao yako yote. Lakini sasa upo utaratibu ambao nashindwa kujua kwa nini umeletwa. Mimi nilifanikiwa kuweka michango yangu kwa miaka kadhaa nssf wakati nafanya kazi secta binafsi. Baada ya kupata ajira ya serikali nilikua tayari nina salio la kama mil 10. Sasa nimetaka kuzichukua ili zinisaidie kwenye ujenzi ambao nimeuanzisha. Nimeenda nssf nikaambiwa kua hela yangu siruhusiwi kuichukua na kwamba itaunganishwa kwenye mafao ya mfuko wa serikali psssf pindi nitakapostaafu. Mimi binafsi naona hii si sawa maana mkataba wa kazi ulishaisha. Wadau wa jamii forum mnalionaje hili
 
Mwanzo ilikua ukimaliza mkataba wako secta binafsi unaruhusiwa kuchukua mafao yako yote. Lakini sasa upo utaratibu ambao nashindwa kujua kwa nini umeletwa. Mimi nilifanikiwa kuweka michango yangu kwa miaka kadhaa nssf wakati nafanya kazi secta binafsi. Baada ya kupata ajira ya serikali nilikua tayari nina salio la kama mil 10. Sasa nimetaka kuzichukua ili zinisaidie kwenye ujenzi ambao nimeuanzisha. Nimeenda nssf nikaambiwa kua hela yangu siruhusiwi kuichukua na kwamba itaunganishwa kwenye mafao ya mfuko wa serikali psssf pindi nitakapostaafu. Mimi binafsi naona hii si sawa maana mkataba wa kazi ulishaisha. Wadau wa jamii forum mnalionaje hili
Hujui faida yake hasa wakati wa kustaafu. Bakiza huko utanufaika maana utakuwa umechangia mifuko miwili
 
Mwanzo ilikua ukimaliza mkataba wako secta binafsi unaruhusiwa kuchukua mafao yako yote. Lakini sasa upo utaratibu ambao nashindwa kujua kwa nini umeletwa. Mimi nilifanikiwa kuweka michango yangu kwa miaka kadhaa nssf wakati nafanya kazi secta binafsi. Baada ya kupata ajira ya serikali nilikua tayari nina salio la kama mil 10. Sasa nimetaka kuzichukua ili zinisaidie kwenye ujenzi ambao nimeuanzisha. Nimeenda nssf nikaambiwa kua hela yangu siruhusiwi kuichukua na kwamba itaunganishwa kwenye mafao ya mfuko wa serikali psssf pindi nitakapostaafu. Mimi binafsi naona hii si sawa maana mkataba wa kazi ulishaisha. Wadau wa jamii forum mnalionaje hili
Iache huko huko itakupa hitimisho zuri na pia tija endelevu kwa kuzingatia zile calculations za mfuko.
 
Makosa yalifanyika hapa katikatika na hio ikapelekea watu kutokujua dhima ya Mifuko ya Jamii..., Dhima ya Mifuko hii haikuwa mitaji bali insuarance ya wazee wa kesho wasiwe Omba Omba na kuwa Mzigo wa Jamii....

Na kwa Muktadha huo Kimbembe kitaonekana vijana hawa wa sasa (bora wewe ni penshionable) ambao ni wabangaizaji na kesho yao watakuwa hata hizo laki, laki za kila mwezi hawazipati....

 
Nani alikwabia uwaambie kua umeajiriwa serikaln?

By the way hao jamaa huwa wanambambo ya kis*ng, nilienda kudai mafao yangu nikawaonesha na termination, wakaanza et kunibembeleza nitafte kaz pengine
 
Nani alikwabia uwaambie kua umeajiriwa serikaln?

By the way hao jamaa huwa wanambambo ya kis*ng, nilienda kudai mafao yangu nikawaonesha na termination, wakaanza et kunibembeleza nitafte kaz pengine
Sikua najua. .kiuhalisia sio hawapaswi kuzuai pesa ya mtu aliweka. Utaratibu huu ni kandamizi kea sisi raia
 
Mwanzo ilikua ukimaliza mkataba wako secta binafsi unaruhusiwa kuchukua mafao yako yote. Lakini sasa upo utaratibu ambao nashindwa kujua kwa nini umeletwa. Mimi nilifanikiwa kuweka michango yangu kwa miaka kadhaa nssf wakati nafanya kazi secta binafsi. Baada ya kupata ajira ya serikali nilikua tayari nina salio la kama mil 10. Sasa nimetaka kuzichukua ili zinisaidie kwenye ujenzi ambao nimeuanzisha. Nimeenda nssf nikaambiwa kua hela yangu siruhusiwi kuichukua na kwamba itaunganishwa kwenye mafao ya mfuko wa serikali psssf pindi nitakapostaafu. Mimi binafsi naona hii si sawa maana mkataba wa kazi ulishaisha. Wadau wa jamii forum mnalionaje hili
Safi hii
 
Mkiambiwa hii nchi tuna ongozwa na wangese mna kataa ..while mafao yao na mishahara yao haikatwi kodi
 
Back
Top Bottom