Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Nimekuwa nafuatilia hii mifuko, ki ukweli naona mfuko ulio ekeza miradi kuliko yote ni NSSF ila naona ndio mfuko wenye Mafao ya mwisho kidogo kuliko mingine.
Naomba mwongozo kwa anayefahamika Remark; lkumbukwe kuwa hapo zamani wafanya kazi wote wa sector binafsi walitakiwa kujiunga NSSF ni hivi karibuni tu wafanya kazi wameruhusiwa kujiunga kwenye mifuko wanayoipenda.
Naomba mwongozo kwa anayefahamika Remark; lkumbukwe kuwa hapo zamani wafanya kazi wote wa sector binafsi walitakiwa kujiunga NSSF ni hivi karibuni tu wafanya kazi wameruhusiwa kujiunga kwenye mifuko wanayoipenda.