Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Umejuaje kama kila jukwaa nipo km sio umbea...wadini wanaogeuza taasisi za umma kuwa taasisi zao za kidini kwa kuwabagua wengine....narudia tena ukiingia NSSF ni km umeingia kwny ofisi za BAKWATA!
Vp ushawai ingia PPF au kama kigango cha kanisa. Nakupa homework nitajie hata mkuu wa idara mmoja PPF ambae ni muislam ukitaka gugo humu majina yapo