NSSF, mbona Mafao yenu kiduchu kuliko wenzenu?

NSSF, mbona Mafao yenu kiduchu kuliko wenzenu?

Halafu ukitembelea ofisi zao hawajali kabisa muda wako, wanakuangalia kama sio mteja. Huu mfuko kwakweli nishida kwani mimi nimeshawachangia miaka kumi sasa, nikiangalia salio langu nakta magape kama 14 na zaidi, nikiwauliza wananiambia nimwone mwajiri, nikirudi kwa mwajiri nae ananiambia analipa michango kwamujibu wa sheria za nchi kwahiyo tatizo lipo NSSF. Mbaya zaidi ukiacha au kuachishwa kazi utafuatilia michango yako mpaka soli ya kiatu iishe. Najuta kujiunga na mfuko wa NSSF.

NSSF ni majanga
 
Kila anayeandika anakuja na vitisho kuzuia watu wasijiunge na NSSF. Lakini hakuna anayekuja na abc ya matatizo yaliyopo NSSF, hamtendi haki hata kidogo kulalamika bila kueleza sababu.

Halafu ukitembelea ofisi zao hawajali kabisa muda wako, wanakuangalia kama sio mteja. Huu mfuko kwakweli nishida kwani mimi nimeshawachangia miaka kumi sasa, nikiangalia salio langu nakta magape kama 14 na zaidi, nikiwauliza wananiambia nimwone mwajiri, nikirudi kwa mwajiri nae ananiambia analipa michango kwamujibu wa sheria za nchi kwahiyo tatizo lipo NSSF. Mbaya zaidi ukiacha au kuachishwa kazi utafuatilia michango yako mpaka soli ya kiatu iishe. Najuta kujiunga na mfuko wa NSSF.

Ogopa sana NSSF...!!
 
Sahv sio miezi 6 tena ni wiki moja tu .uthibitisho ni mmm mwenyeww

Halafu ukitembelea ofisi zao hawajali kabisa muda wako, wanakuangalia kama sio mteja. Huu mfuko kwakweli nishida kwani mimi nimeshawachangia miaka kumi sasa, nikiangalia salio langu nakta magape kama 14 na zaidi, nikiwauliza wananiambia nimwone mwajiri, nikirudi kwa mwajiri nae ananiambia analipa michango kwamujibu wa sheria za nchi kwahiyo tatizo lipo NSSF. Mbaya zaidi ukiacha au kuachishwa kazi utafuatilia michango yako mpaka soli ya kiatu iishe. Najuta kujiunga na mfuko wa NSSF.

Kimbia mbali kabisa na NSSF...!!
 
Huo ni uongo kabisa.ni mwezi mmoja tuu.

Halafu ukitembelea ofisi zao hawajali kabisa muda wako, wanakuangalia kama sio mteja. Huu mfuko kwakweli nishida kwani mimi nimeshawachangia miaka kumi sasa, nikiangalia salio langu nakta magape kama 14 na zaidi, nikiwauliza wananiambia nimwone mwajiri, nikirudi kwa mwajiri nae ananiambia analipa michango kwamujibu wa sheria za nchi kwahiyo tatizo lipo NSSF. Mbaya zaidi ukiacha au kuachishwa kazi utafuatilia michango yako mpaka soli ya kiatu iishe. Najuta kujiunga na mfuko wa NSSF.

Kuna jamaa mwingine (hapo juu) nae kadai kuwa ni wiki moja tu, hapa tena tunaambiwa mwezi mmoja..??

Ogopa sana NSSF...!!
 
1. Computation ya mafao ya wastaafu kwa mifuko ya GEPF, PPF, NSSF, fomula ni moja

2. Computation ya mafao ya wastaafu kwa mifuko ya LAPF, PSPF kwa waliojiunga kabla ya tarehe 01/07/2014 fomula yao ni tofauti, kwa waliojiunga kuanzia 02/07/2014 fomula ni moja sawa na namba moja hapo juu.

3. Fomula ya kukokotoa mafao ni moja kwa mifuko yote na inasimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii - SSRA

Sasa kama formula ya mafao itakuwa moja into the future ya nini kuwa na mashirika mengi hivi? kwa nini yasiunganishwe na kuwa max mawili makubwa ili kuokoa gharama za management/operations/overheads na ku-translate hizo gharam akatika kuboresha zaidi mafao? Ya nini kuwa na mifuko 6 na yote ni ya serikali?
 
tatizo la mifuko yetu híi haiwajibiki kwa wanachama inawajibika kwa wanasiasa hasa watawala mfano mkurugenzi mkuu ni mteule wa rais badala kuchaguliwa na wanachama haya ndio yanapelekea pesa zetu kutolewa bila hata mikataba kupelekwa kujenga UDOM na serikali kusuasua kulipa pesa ilizokopa,matokeo yake tunalipwa mafao kidogo
 
Ukiingia ofisi za NSSF ni km umeingia ofisi za BAKWATA!
Hakika inasikitisha hivi majuzi nimeenda moja ya ofisi zao katika Mkoa wa Kigoma nilichokiona ni kwamba hakuna cha mteja ni mfalme ila ubabaishaji uliopitiliza.Wakati niko lango la kuingia nikaulizwa na mlinzi nimeenda kufanya nini ofisi ile,nikamjibu pale hapakuwa mahala sahihi kuelewa shida yangu.Alipiga simu kwa Mlinzi mwingine aliyomo ndani naye akasema muda wa kazi umeisha name saa yangu ilikuwa inasoma saa 8 mchana.niliomba kuongea naye kwa simu nikapewa na katika maelezo yake aliniambia yeye ni mtekelezaji wa maagizo ya uongozi ambao umeagiza ifikapo saa 7 mchana shughuli za utoaji huduma huwa zinasitishwa.Ilinitia uchungu kwani mimi naamini Nssf bila michango yetu haiwezi kuwepo.
 
Hakika inasikitisha hivi majuzi nimeenda moja ya ofisi zao katika Mkoa wa Kigoma nilichokiona ni kwamba hakuna cha mteja ni mfalme ila ubabaishaji uliopitiliza.Wakati niko lango la kuingia nikaulizwa na mlinzi nimeenda kufanya nini ofisi ile,nikamjibu pale hapakuwa mahala sahihi kuelewa shida yangu.Alipiga simu kwa Mlinzi mwingine aliyomo ndani naye akasema muda wa kazi umeisha name saa yangu ilikuwa inasoma saa 8 mchana.niliomba kuongea naye kwa simu nikapewa na katika maelezo yake aliniambia yeye ni mtekelezaji wa maagizo ya uongozi ambao umeagiza ifikapo saa 7 mchana shughuli za utoaji huduma huwa zinasitishwa.Ilinitia uchungu kwani mimi naamini Nssf bila michango yetu haiwezi kuwepo.

Nssf ni majanga
 
tatizo la mifuko yetu híi haiwajibiki kwa wanachama inawajibika kwa wanasiasa hasa watawala mfano mkurugenzi mkuu ni mteule wa rais badala kuchaguliwa na wanachama haya ndio yanapelekea pesa zetu kutolewa bila hata mikataba kupelekwa kujenga UDOM na serikali kusuasua kulipa pesa ilizokopa,matokeo yake tunalipwa mafao kidogo

Well said mkuu, mimi sielewi kwa nini wanachama wasiwe share holders ili wawe na sauti katika mfuko wao (NSSF) - kama hilo lingefanyika wanachama wangekuwa na uwezo wa kuwajibisha wahusika ili wasijingize kwenye baadhi ya miradi ambayo return of investment ni almost nil!!!

Wakuhulizwa maswali magumu wanakuja juu, wako huru mno and that is not healthy - hayo ni maoni yangu.
 
Well said mkuu, mimi sielewi kwa nini wanachama wasiwe share holders ili wawe na sauti katika mfuko wao (NSSF) - kama hilo lingefanyika wanachama wangekuwa na uwezo wa kuwajibisha wahusika ili wasijingize kwenye baadhi ya miradi ambayo return of investment ni almost nil!!!

Wakuhulizwa maswali magumu wanakuja juu, wako huru mno and that is not healthy - hayo ni maoni yangu.

Wazo zuri sana
 
Wana scheme ya mikopo kupitia kazini,ni laaaaana kwa shirika kama hili kudharirisha wafanyakazi wanaounganisha nguvu kupitia Saccoss,this is the Hell of a Company.

siwezi iamini NSSF katika maisha yangu
never ever
 
Wana scheme ya mikopo kupitia kazini,ni laaaaana kwa shirika kama hili kudharirisha wafanyakazi wanaounganisha nguvu kupitia Saccoss,this is the Hell of a Company.

siwezi iamini NSSF katika maisha yangu
never ever

Pole mkuu
 
Back
Top Bottom