Nimekuwa nafuatilia hii mifuko, ki ukweli naona mfuko ulio ekeza miradi kuliko yote ni NSSF ila naona ndio mfuko wenye Mafao ya mwisho kidogo kuliko mingine.
Naomba mwongozo kwa anayefahamika Remark; lkumbukwe kuwa hapo zamani wafanya kazi wote wa sector binafsi walitakiwa kujiunga NSSF ni hivi karibuni tu wafanya kazi wameruhusiwa kujiunga kwenye mifuko wanayoipenda.
Pia na hayo mafao mpaka uyapate, jasho itakutoka.
Kwanza lazima 'usubiri' ipite miezi sita baada ya kuacha kazi.
Halafu ukianza kudai mafao yako, hapo ndio utajuta kuwafahamu NSSF...
Nimekuwa nafuatilia hii mifuko, ki ukweli naona mfuko ulio ekeza miradi kuliko yote ni NSSF ila naona ndio mfuko wenye Mafao ya mwisho kidogo kuliko mingine.
Naomba mwongozo kwa anayefahamika Remark; lkumbukwe kuwa hapo zamani wafanya kazi wote wa sector binafsi walitakiwa kujiunga NSSF ni hivi karibuni tu wafanya kazi wameruhusiwa kujiunga kwenye mifuko wanayoipenda.
Hilo ndilo la msingi.Kwa hiyo waajiriwa wapya waikalie mbali NSSF?
Hilo ndilo la msingi.
Utakua umebugi sana kama wewe ni muajiriwa mpya then ukafungua file na kujaza form za NSSF!
Unless uwe umeacha kazi!Ina maana ukiingia hutoki?
Ukiingia ofisi za NSSF ni km umeingia ofisi za BAKWATA!
Huwa nawashangaa waajiriwa wapya wanaojiunga na NSSF
We mdini kila jukwaa upo tu, Na ukiingia ofisi za TRA vipi.
Hata PSPF ni wazuri,Asanteni kwa kutufungua maskio kumbe LAPF ndio habari ya mujini
Hata PSPF ni wazuri,
Ila NSSF usijaribu!