Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wabadilishe matumizi iwe hospitali basi,sababu kubwa ni kwamba tunahitaji intern airport na miundo mbinu saidizi ie barabara njia nne, barabara mkato kisesa airport etc. hotel hiyo itakuwa na maana. hivi sasa miradi yote imesimamaLabda hapo ndo nimekosea ila kiukweli dhamira yangu ilikuwa ni kwamba NSSF imetupiga kwenye upembuzi yakinifu! Huwezi kuamini ila mpaka 2026 hii hoteli haitokuwa imemalizika.
Mradi huu umeanza lini na kila hatua zake zinasongea kwa kiasi gani Mkuu!? Hoja zangu ni mbili tu, Mosi ni Je NSSF walijiandaa kuanza mradi, kuendelea na mradi pamoja na kumaliza mradi? Lakini pia hoja ya pili ni je unaweza kuanzisha mradi ambao haujui ni nani atakuja kuuendesha!? Walikwenda Afrika ya Kusini kujifunza kuhusu miradi ya Umma ambayo inaendeshwa na watu binafsi lakini baada ya kuanza mradi! Sasa hata kama ni kweli maendeleo, je unaweza kuazisha huduma na hufahamu ni nani atakuwa anatoa huduma hiyo?Mleta mada sijakuelewa unalaumu mradi kujengwa Mwanza ama!? Umetoa maelezo ttzo ni muendeshaji sasa hzo Hotel haikupaswa kujengwa Mwanza zinatoka wap!? Au ndio unataka utupange ety wangejenga Arusha, Mbeya ilhali hayo ni majiji madogo kwa Mwanza!? Kitu kingne unachopaswa kujua ni kwamba hata kama mradi kama huu ukifeli Mwanza sio kosa Leo.
Kwa sababu kama umefeli Mwanza bas ungejengwa Dar ila kama wangejiroga wajenge Arusha, Mbeya au Dodoma bas wangeangukia pua zaid ya Mwanza.
Ni kweli kabsa wala hujakosea! Ila pia CCM wakienda kuchukua mikopo hawachukui mikopo kwa jina la CCM bali Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na hata kwenye marejesho pia pesa zitarejeshwa kutoka mfuko wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio Mfuko wa CCM. Sijawalaumu Wadada wa TARURA ila viongozi baadhi wa TARURA hupokea maagizo kutoka kwa CCM.MLETA UZI WALAUMU CCM huko..ndiyo mipango yao ilivyo...!..Ni ajabu kuwalaumu akina dada watoza ushuru.
Umeongea hoja nzuri Mkuu!wabadilishe matumizi iwe hospitali basi,sababu kubwa ni kwamba tunahitaji intern airport na miundo mbinu saidizi ie barabara njia nne, barabara mkato kisesa airport etc. hotel hiyo itakuwa na maana. hivi sasa miradi yote imesimama
N kwsabb pia serkal haijaamua kuipromote Mwanza kupitia serenget na vivutio vya Kanda ya ziwa kiukwel sku zote mwanz n km ipo yenyew kbsa n km haipendwi inakutan na chuki kutok kw viongoz weng na baadh ya ukanda fulan n jiji la pili tok miak ming lakn miundombinu inachekesha km asngekua jpm unaezkudhn n wilaya fulan barabar n mtihn atleast jpm alijitaid kujenga barabar na baadh ya majengo ya serkal lakn km sio maendeleo ya watu binfas na watu kupend kuhamia pale ingekua wilaya fulan majiji ya Dom arush na dar yanaendelea kwasabb ya support kubw ya serkal kuweka nguvu na kuvutia sekta binafsi ila mwnz ipo yenyew yenyew plus kuchukukiwa na viongoz plus ukandaUkweli ni kwamba mwanza hina uhitaji wa Hoteli kubwa namna hii! Tumekurupuka!
Mkurugenzi wa NSSF ni mchaga. Kwa kweli miradi ya Mwanza ni kichefuchefu Mwanza Airport,Barabara njia 4 hamna kitu. Ahadi zote hatuoni. Hata wabunge wetu ni mapambo tu.huo
Mzee umewaz km mim wala hawez kkubal mwnz ikaendelea nashngaa wanavosem vivutio et n sa nane wakt inshu ilikua kwa ajil ya serenget na hifadh za karbu ya Kanda ya ziwa wanatafut sabb mradi uonekne Haun maan ili wawekazaji wakubw wasje mwanz ili isiendelee wafanye promotion wapange mji wajenge barabara na uwanja wa ndege uone km sio cape town wanauonea wivu mji wa mwanza kwamba Uta take over...Mkurugenzi wa NSSF ni mchaga. Kwa kweli miradi ya Mwanza ni kichefuchefu Mwanza Airport,Barabara njia 4 hamna kitu. Ahadi zote hatuoni. Hata wabunge wetu ni mapambo tu.
Kwanza huo mradi ulikua unasubil airport ikamilke promotion ifanyike kwa vivutio vya Kanda ya ziwa then ungepat muwekazj bt hawatak kumaliz airport wanajzungusha tu ili mji usiendelee mwanz ikipt utalii kidog tu watu watapteana ukanda fulanHuu mradi ni 🐘 Nimeona sasa hivi wanajenga ngazi za nje, yani mpaka hoteli inapakwa rangi hawakujua kutakuwa na uhitaji wa External Stairs.
Mkuu nisamehe kama umetazama mtazamo wangu kuwa ni wa kukandia Mwanza! Hapana nimezungumzia Uongozi wa NSSF Mwanza umefanya jambo ambalo hawana uhakika nao! Suala la kuanzisha mradi ukiwa haufahamu ni nani anatakwenda kuendesha ni suala kubwa sana kwa sababu ni pesa za umma ndo zimekwenda kujenga. Lakini nikaenda mbali kwa kusema kuwa ili Mwanza ipate kuwa sehemu rafiki kwa watalii na wageni basi waweke vyema miundombinu ya barabara na ooamoja na viwanja vya ndege.Mbon chuki imekujaa kijan Kwan izo five star za arusha wanalal wamasai?? Mbon mwanz inawatesa san afu mnabaht San wasukum n wapole na hawan izo mishe za kupaparukia ishu za mjin Kwan nyie insgekua promotion ya utalii nan angewajua??.. Kwann mnchuki na kujion watu fulan special iyo serenget inayowawek mjin ipo arusha!? Kilimanjaro na manyara zipo arush... Wala hawajakosea n promotion ya utalii tu kupitia serenget ziwa Victoria hifadhi za karbu za Kanda ya ziwa na mwanz yenyew inaezkn San Sema saiv serkal imekocentatrtae na arush Dom na dar ila vingenevyo inaezkn achen chuki na mwanz n mji wa kitanzania mzur San ungekua na upendeleo km miji mingne hap nchin ingekua cape town for real bas tu
Tukisema kuwa tulaumu kabila tutakuwa tunakosea kwa sababu kila mtu ana hulka yake na tabia tofauti. Mkurugenzi wa NSSF Mwanza anaweza kuwa na tabia hio ila wengine wasiwe hivyo.H
Mzee umewaz km mim wala hawez kkubal mwnz ikaendelea nashngaa wanavosem vivutio et n sa nane wakt inshu ilikua kwa ajil ya serenget na hifadh za karbu ya Kanda ya ziwa wanatafut sabb mradi uonekne Haun maan ili wawekazaji wakubw wasje mwanz ili isiendelee wafanye promotion wapange mji wajenge barabara na uwanja wa ndege uone km sio cape town wanauonea wivu mji wa mwanza kwamba Uta take over...
Ni kweli kabsa. Ni moja ya sehemu ambazo zitakwenda kuipiga boost zaidiz Mwanza na miradi yake ya maendeleo.Us
Kwanza huo mradi ulikua unasubil airport ikamilke promotion ifanyike kwa vivutio vya Kanda ya ziwa then ungepat muwekazj bt hawatak kumaliz airport wanajzungusha tu ili mji usiendelee mwanz ikipt utalii kidog tu watu watapteana ukanda fulan
Ni kweli MkuuUnaongea ivo kwa Nia nzuri au kwa chuki na wasukum coz lengo lilikua n serenget hifadhi za chato geita na ziwa Victoria na vingne wakipromote vzur hifadhi ya serenget na inshu ya uwanja wa ndege ukikamik km sio chuki pia za uyo mkurugenzi wa NSSF ambye n wa kaskazin nadhn inshu n simple waambie serenget ipo karbu na mza na ndo itakua point ya utalii kwn wataliii wanavoend serenget kutok arush vivutio vipo arush mjin??