white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Huko sio kwenye biashara ya makampuni ya simu!!na mchawi ni serikali tu,kukomba pesa zote huko kwa matumizi yake,na kutu kingine ni pesa ya wastafu kutumika kwenye vitega uchumi vyenye hasara tuPawepo na mashirika mengine yenye ushindani
Huu ni utapeli na unyanyasaji kwa watumishiKwanini mtu anayeacha kazi kwa hiari na alikuwa mwanachama halali wa Nssf hawezi kupewa hela zake mpaka afikishe miaka 55 Yaan umri wa kustaafu?
Mbona kama hii sheria inafavor zaidi upande wa NSSF na sio mwanachama. Kwanini mtu anayefukuzwa au kuachishwa kazi na muajiri ndiyo anapaswa kupewa?
Kwahiyo tuseme kuwa mtu hana haki ya kuacha kazi na akastahili kupewa fedha yake akaendelea na maisha mengine?
Inakuwaje hela mlizokata kwneye mshahara wangu mnipangie namna ya kuzichukua? Kwann nisichukue wakati wowote?
HowWala hata usigombane nao, Watu wanatumia short cut kupata mpunga wao mapema Kabisa. Ni rahisi sana
Kwahiyo kila mtu ana uhakika wa kufikia uzee!Nonsense.Hayo ni mafao ya uzeeni, sasa unaacha kazi na miaka 40 unakuwa mzee? Subiri uzeeke ndio upewe
Hata ukihamia hiari hawatoi pesa hadi ipite miezi 18 baada ya kuisha ile miezi 6 ya malipo ya 33.3%HAPANA, wewe jiandikishe Tu Kwenye fao la hiari, then mafao yako yatahamishiwa huko, utakaa kama miezi miwili au mitatu utawaambia najitoa kwenye fao la hiari naomba michango yangu. Full stop, sikwambii Tena
Yaa ni mwendo wa bangili tuNi kweli, lakini si salama. Likibumbuluka inakula kwa wote waliohusika
duuhHata ukihamia hiari hawatoi pesa hadi ipite miezi 18 baada ya kuisha ile miezi 6 ya malipo ya 33.3%
Na mimi nilipoona nikasema ha;pa hapa ngoja nisome kumbe ni yale yaleUkisoma kichwa Cha Mada, unaweza kudhani tayari Kuna mabadiliko.
Kweli uandishi kazi.
Tatizo Ester ni covid 19Hii sheria wakati inajadiliwa bungeni Mhe Easter Bulaya na wengine wachache walipambana vikali kuipinga lakini bahati mbaya wafanyakazi huku mitaani wakawa hawana time, wako bize kumsifia jiwe wakati huo. Kuja kushtuka tayari keusi kekundu watu wanakumbuka shuka kumekucha... hatutaki kabisa kufuatilia miswaada yenye athari kama hii ikiletwa bungeni.
Iko hivi, hii sheria ilibadilishwa tokea kipindi cha jiwe,ndipo walipofuta rasmi fao la kujitoa kwa mifuko ya hifadhi za jamii. Badala yake wakaweka utaratibu kwamba kama umeachishwa kazi na ikapita miezi 6 huna ajira unaenda kuomba kulipwa sehemu tu ya mafao yako kwa kipindi fulani tuu basi. Watu walilalamikia sana hii kitu pamoja na kile kikokotoo...Ukisoma kichwa Cha Mada, unaweza kudhani tayari Kuna mabadiliko.
Kweli uandishi kazi.
Wakati huo wala hakuwa covid 19 mbonaa?Tatizo Ester ni covid 19
Boss!! Nakuja PMWala hata usigombane nao, Watu wanatumia short cut kupata mpunga wao mapema Kabisa. Ni rahisi sana