NSSF wabadili sheria yao ya kutoa mafao

Pawepo na mashirika mengine yenye ushindani
Huko sio kwenye biashara ya makampuni ya simu!!na mchawi ni serikali tu,kukomba pesa zote huko kwa matumizi yake,na kutu kingine ni pesa ya wastafu kutumika kwenye vitega uchumi vyenye hasara tu
 
Huu ni utapeli na unyanyasaji kwa watumishi
 
Watukutu siku zote hupata tabu kutokana na tabia zao,kwanini ufukuzwe?
kwa nini uache kazi kama sio umeiba au una kazi nyengine.
 
Tatizo Ester ni covid 19
 
Ukisoma kichwa Cha Mada, unaweza kudhani tayari Kuna mabadiliko.
Kweli uandishi kazi.
Iko hivi, hii sheria ilibadilishwa tokea kipindi cha jiwe,ndipo walipofuta rasmi fao la kujitoa kwa mifuko ya hifadhi za jamii. Badala yake wakaweka utaratibu kwamba kama umeachishwa kazi na ikapita miezi 6 huna ajira unaenda kuomba kulipwa sehemu tu ya mafao yako kwa kipindi fulani tuu basi. Watu walilalamikia sana hii kitu pamoja na kile kikokotoo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…