white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Huko sio kwenye biashara ya makampuni ya simu!!na mchawi ni serikali tu,kukomba pesa zote huko kwa matumizi yake,na kutu kingine ni pesa ya wastafu kutumika kwenye vitega uchumi vyenye hasara tuPawepo na mashirika mengine yenye ushindani