Captain mopao
Senior Member
- Feb 25, 2021
- 133
- 384
Habari ndugu jamaa na marafiki.
Nilikuwa mfanyakazi katika taasisi binafsi hapa mkoani nimefanya kwa muda wa miaka miwili, ingawa ndoto zangu zilikuwa ni kujiajiri ktk biashara kwa hiyo niliweka target ya kufanya kazi kwa muda ili nipate mtaji wa kuanzia business.
Mwez wa pili mwaka huu nikaona ni wakati sahihi wa kufanya kile nilichokuwa nime plan, kwa pesa niliyokuwa nimeikusanya nikajumlisha pesa zangu za NSSSF nikaona zitanitosha kabisa.
Moja kwa moja nikaenda NSSSF kufungua madai nikaambiwa yanipasa nilete barua kutoka kwa mwajiri wangu, nikawasilisha barua yangu hapo mapokezi akapokea dada mmoja akaisoma kisha akaniambia nenda kwenye notice body kasome vigezo vya kufungua madai kisha jipime kama unastahili.
Nikasogea mpaka kwenye ubao wa matangazo sheria zilioandikwa pale ilibidi nilie tu ndugu zangu, kwanza natakiwa kuwa niliachishwa kazi au kustaafu sio mimi kuacha kazi pia nitapewa asilimia thelathini ya mshahara, yaani sheria nyingine hata nimezisahau nikarudi kwa yule dada nikamwambia inakuaje akasema jipime we mwenyewe umekidhi vigezo.
Jasho likaanza kunitoka yaani plan zangu zote ni zero nikaondoka kinyonge.
Pesa yangu inanitoa jasho kutafuta halafu hawa ndugu wanazila kiulaini kbsa mliotunga hizi sheria.
Mkumbuke kuna jehanamu ndugu zangu
Nilikuwa mfanyakazi katika taasisi binafsi hapa mkoani nimefanya kwa muda wa miaka miwili, ingawa ndoto zangu zilikuwa ni kujiajiri ktk biashara kwa hiyo niliweka target ya kufanya kazi kwa muda ili nipate mtaji wa kuanzia business.
Mwez wa pili mwaka huu nikaona ni wakati sahihi wa kufanya kile nilichokuwa nime plan, kwa pesa niliyokuwa nimeikusanya nikajumlisha pesa zangu za NSSSF nikaona zitanitosha kabisa.
Moja kwa moja nikaenda NSSSF kufungua madai nikaambiwa yanipasa nilete barua kutoka kwa mwajiri wangu, nikawasilisha barua yangu hapo mapokezi akapokea dada mmoja akaisoma kisha akaniambia nenda kwenye notice body kasome vigezo vya kufungua madai kisha jipime kama unastahili.
Nikasogea mpaka kwenye ubao wa matangazo sheria zilioandikwa pale ilibidi nilie tu ndugu zangu, kwanza natakiwa kuwa niliachishwa kazi au kustaafu sio mimi kuacha kazi pia nitapewa asilimia thelathini ya mshahara, yaani sheria nyingine hata nimezisahau nikarudi kwa yule dada nikamwambia inakuaje akasema jipime we mwenyewe umekidhi vigezo.
Jasho likaanza kunitoka yaani plan zangu zote ni zero nikaondoka kinyonge.
Pesa yangu inanitoa jasho kutafuta halafu hawa ndugu wanazila kiulaini kbsa mliotunga hizi sheria.
Mkumbuke kuna jehanamu ndugu zangu