Ntafuta mke mwema asizidi miaka 33

Ntafuta mke mwema asizidi miaka 33

Kujishugulisha kumenikosesha mume
Njoo nikutunuku Mume wako nipo Wewe unapishana nae kwenye cordo za JF Ila tu sharti ni 1 usije na huyo mtoto uliembeba mgongoni mrudishe kwa Baba yake halafu Wewe uje Wewe km Wewe maana kuzilea sperm za Wanaume wengine ni kujishughulisha kwingine na Mimi sitaki kujishughulisha namna hio
 
Njoo nikutunuku Mume wako nipo Wewe unapishana nae kwenye cordo za JF Ila tu sharti ni 1 usije na huyo mtoto uliembeba mgongoni mrudishe kwa Baba yake halafu Wewe uje Wewe km Wewe maana kuzilea sperm za Wanaume wengine ni kujishughulisha kwingine na Mimi sitaki kujishughulisha namna hio
Kwa nn sasa hutaki mtoto wakati atakuita baba
 
30 unatafuta mke mtandaoni, Tanzania, mjasiriamali, tena upo korogwe,,,aaaanh ndugu yangu. Jambo la kheri kutafuta mke mwema. Ila unampata kwa characters zako chache tu ulizozitaja, huku tutakukatisha tamaa.
Tatizo hujui korogwe ipi punguza kukurupuka
 
Mngoni 😊..... Utakaempata atafaidi sana wangoni nasikia viuno panga boi, unaambiwa baba askofu alijifunza miuno huko.

Kila laheri bro.
 
Back
Top Bottom