Ntakukumbuka Mzee Kilomoni, elimu ndogo ila akili za kutosha. Mo bado hajaweka pesa zetu

Ntakukumbuka Mzee Kilomoni, elimu ndogo ila akili za kutosha. Mo bado hajaweka pesa zetu

Mchakato wa club transformation ulisema hivyo? Kwanini asiweke hyo pesa then board of directors na management ndio waamue kuwekeza kwenye bonds au vitu vingine vyenye masilahi? Yeye mo anajipangiaje pesa ya uwekezaji aliyopaswa kuitoa?
Mzee hili aliliongea kabla ya mchakato na kipindi mchakato unaendelea so makubaliano yaliyopo kwenye mkataba yapo hivyo. Pili Mo katumia pesa yake nyingi pale simba hakuna mtanzania yeyote ambae yuko radhi kutumia pesa kiasi anachotumia Mo, wewe ulipo hapo unaishi kwa shemeji yako huna hata uwezo wa kujilisha halafu unampigia kelele Mo, simba na yanga wakijitoa Mo na GSM zinarudi zilipotoka
 
Timu ina udhamini wa billions kutoka meridian bet, zamani walikuepo sports pesa, je pesa zilienda wapi?
Unajua timu ilipofika hatua ya mtoano mwaka jana ilivuna bilioni ngap?

Je unajua get collections ya mwaka jana tulipata kiasi gani? Je unajua kua Mo anajitangaza yeye na biashara zake kupitia simba? Unajua thamani ya kukaa kwenye jezi? Bas acha...
Furaha ya shabiki ni ushindi na mpira mzuri kwenye pitch.

Najua wewe ni shabiki wa utopolo lialia ila kuna wenzako ambao kidogo dish limeyumba wako simba wanakuwa na akili kama zako. Watu wanaweka pesa usajili unaonekana, pre season inaonekana, camp inaonekana, mishahara kwa wachezaji etc halafu mtu oya oya anasema hatutaki fulani awepo au kuna wewe anauliza 20B hazijawekwa.

Yaani unataka kuniambia kwenye hizo pesa zinazokusanywa anachukua MO Pekee?
La mwisho hebu tupe hicho kiasi cha pesa timu inatakiwa/ilitakiwa kupata with credible figures kutoka kwa hao wadhamini waliopita na kiasi cha fedha ambacho walikipata kutoka maeneo mbalimbali.
 
Hivi ww ndo wa kuhoji B 20 ipo wapi... kwanini usihoji timu inajiendeshaje ili ujue source yake?
 
Hivi ww ndo wa kuhoji B 20 ipo wapi... kwanini usihoji timu inajiendeshaje ili ujue source yake?
Sisi mashabiki halisi wa simba tunataka bilioni 20 zetu! Hatutaki maelezo ya timu kujiendesha, wala nini!

Na mkikataa kutuonesha bilioni 20 zetu, tunaandamana mpaka kwa Mzee Kilomoni ili kumshinikiza kuirudisha timu mikononi mwa mashabiki.

Mashabiki tumechoshwa na janja janja za mwekezaji.
 
Sisi mashabiki halisi wa simba tunataka bilioni 20 zetu! Hatutaki maelezo ya timu kujiendesha, wala nini!

Na mkikataa kutuonesha bilioni 20 zetu, tunaandamana mpaka kwa Mzee Kilomoni ili kumshinikiza kuirudisha timu mikononi mwa mashabiki.

Mashabiki tumechoshwa na janja janja za mwekezaji.
Kila goti litapigwa kwa Club kubwa Simba,naona watopolo mnaitamani sana Simba,karibuni msijekufa kwa sonona huko Yanga
 
Sisi mashabiki halisi wa simba tunataka bilioni 20 zetu! Hatutaki maelezo ya timu kujiendesha, wala nini!

Na mkikataa kutuonesha bilioni 20 zetu, tunaandamana mpaka kwa Mzee Kilomoni ili kumshinikiza kuirudisha timu mikononi mwa mashabiki.

Mashabiki tumechoshwa na janja janja za mwekezaji.
Kabisa mkuu, hongera.
 
Mzee kilomoni ulihoji, wakatengeneza zengwe, ila ulisimama kidete kutetea timu na masilahi yake.

Wapo vijana wanajiita wasomi wa vyuo vikuu, hawataki kuhoji, kuuliza wala kufukiri... tunataka kujua asilimia 49% za mwekezaji, pesa ipo wapi?

Kwanini wanakua wakali ukihoji? Kwanini huyu 'kanjibahi' anakua mkali ukihoji pesa? Jamani kwa namna hii tunatofautiana vipi na chief Magungo wa Msovero?
Uchawi pesa.
Akili fupi tu unalilia kuhoji 49% lakini hautaki kuhoji kwa nini mtu huyo huyo anatoa pesa za kuendeshea timu.
Huyo mzee alikuwepo siku zote,alifanya nini la maana timu ilipokwama kifedha ?
 
Uchawi pesa.
Akili fupi tu unalilia kuhoji 49% lakini hautaki kuhoji kwa nini mtu huyo huyo anatoa pesa za kuendeshea timu.
Huyo mzee alikuwepo siku zote,alifanya nini la maana timu ilipokwama kifedha ?
Mo dewj anavuna faida pale simba, angalia jezi ya simba ina nembo zake ngapi? Mo dej kumuhusisha na simba kwa namna yoyote kwake ni faida sana. Kwanini akwepa jukumu lake la msingi? Hyo pesa ataiweka lini?
 
Mzee kilomoni ulihoji, wakatengeneza zengwe, ila ulisimama kidete kutetea timu na masilahi yake.

Wapo vijana wanajiita wasomi wa vyuo vikuu, hawataki kuhoji, kuuliza wala kufukiri... tunataka kujua asilimia 49% za mwekezaji, pesa ipo wapi?

Kwanini wanakua wakali ukihoji? Kwanini huyu 'kanjibahi' anakua mkali ukihoji pesa? Jamani kwa namna hii tunatofautiana vipi na chief Magungo wa Msovero?
Inakusaidia nn kam timu inafanya vzr na mmasajili shida nn Babu tajiri akiweka pesa sehemu tulia babu mbn hata ulaya tunaona Liverpool ikiuzwa ila hkn kelele kwa shabiki
 
Mungu ambariki Mzee Kilomoni! Hakika alipigania sana maslahi ya timu yetu ya simba! Ona mpaka sasa hata hatujui zile bilioni 20 za mwekezaji wetu zilipo!

Ukihoji, unaonekana mbaya! Unaishia tu kutukanwa matusi ya kila aina na vibaraka wa mwekezaji! Hili jambo halikubliki hata kidogo!

Mzee Kilomoni, rudi Klabuni uje uokoe jahazi kabla halijazama. Hata kwa kupitia mapinduzi, bado tutakuunga mkono.
Aliye kuelea lzm atakuwa amesoma Cuba nimekuwekea Sana tate
 
Inakusaidia nn kam timu inafanya vzr na mmasajili shida nn Babu tajiri akiweka pesa sehemu tulia babu mbn hata ulaya tunaona Liverpool ikiuzwa ila hkn kelele kwa shabiki
Braza timu inaibiwa mchana kweupe na muhindi, kama ni ushindi simba haijaanza kushinda leo. Mo dewj amezaliwa kaikuta simba... ina maana huko nyuma simba ilikua haishindi?
 
Mo dewj anavuna faida pale simba, angalia jezi ya simba ina nembo zake ngapi? Mo dej kumuhusisha na simba kwa namna yoyote kwake ni faida sana. Kwanini akwepa jukumu lake la msingi? Hyo pesa ataiweka lini?
Unaweza kusema amevuna kiasi gani mpaka sasa ?
 
Back
Top Bottom