Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Shinyanga, Ntobi, ameomba radhi kufuatia kauli zake alizotoa kuhusu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu. Ntobi ameeleza kuwa kauli hiyo ilisababisha mjadala mkali usio na afya ndani ya chama.
"Ni wazi kwamba nilihamanika tu," alisema Ntobi. "Naomba radhi sana kwa Chama, wanachama, viongozi wa ngazi mbalimbali, Watanzania, na kwa bosi wangu, Tundu Lissu."
Soma, Pia: Alichoandika Mnyika: Maneno ya Ntobi si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda
Ntobi amesisitiza kuwa anawajibika kwa makosa yake na ameonyesha masikitiko makubwa kwa kauli hiyo. “I’m deeply sorry,” alihitimisha.
Baadhi ya Tweets zenye kauli za Ntobi kuhusu Tundu Lissu akionyesha wazi hakubaliani na Lissu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA
"Ni wazi kwamba nilihamanika tu," alisema Ntobi. "Naomba radhi sana kwa Chama, wanachama, viongozi wa ngazi mbalimbali, Watanzania, na kwa bosi wangu, Tundu Lissu."
Soma, Pia: Alichoandika Mnyika: Maneno ya Ntobi si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda
Ntobi amesisitiza kuwa anawajibika kwa makosa yake na ameonyesha masikitiko makubwa kwa kauli hiyo. “I’m deeply sorry,” alihitimisha.
Baadhi ya Tweets zenye kauli za Ntobi kuhusu Tundu Lissu akionyesha wazi hakubaliani na Lissu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA