Pre GE2025 Ntobi aomba radhi kwa kauli zake kuhusu Tundu Lissu

Pre GE2025 Ntobi aomba radhi kwa kauli zake kuhusu Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Shinyanga, Ntobi, ameomba radhi kufuatia kauli aliyotoa kuhusu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu. Ntobi ameeleza kuwa kauli hiyo ilisababisha mjadala mkali usio na afya ndani ya chama.
View attachment 3180766
"Ni wazi kwamba nilihamanika tu," alisema Ntobi. "Naomba radhi sana kwa Chama, wanachama, viongozi wa ngazi mbalimbali, Watanzania, na kwa bosi wangu, Tundu Lissu."

Soma, Pia: Alichoandika Mnyika: Maneno ya Ntobi si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda

Ntobi amesisitiza kuwa anawajibika kwa makosa yake na ameonyesha masikitiko makubwa kwa kauli hiyo. “I’m deeply sorry,” alihitimisha.
View attachment 3180765

Tweets zenye baadhi ya kauli za Ntobi kuhusu Tundu Lissu
View attachment 3180767
View attachment 3180770
View attachment 3180773View attachment 3180774View attachment 3180775View attachment 3180776
Kwamba Nyalandu kweli alipigwa chini? Huyu ntobi kuomba kwake radhi ilibidi iwe kwa kujiudhulu
 
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Shinyanga, Ntobi, ameomba radhi kufuatia kauli aliyotoa kuhusu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu. Ntobi ameeleza kuwa kauli hiyo ilisababisha mjadala mkali usio na afya ndani ya chama.
View attachment 3180766
"Ni wazi kwamba nilihamanika tu," alisema Ntobi. "Naomba radhi sana kwa Chama, wanachama, viongozi wa ngazi mbalimbali, Watanzania, na kwa bosi wangu, Tundu Lissu."

Soma, Pia: Alichoandika Mnyika: Maneno ya Ntobi si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda

Ntobi amesisitiza kuwa anawajibika kwa makosa yake na ameonyesha masikitiko makubwa kwa kauli hiyo. “I’m deeply sorry,” alihitimisha.
View attachment 3180765

Tweets zenye baadhi ya kauli za Ntobi kuhusu Tundu Lissu
View attachment 3180767
View attachment 3180770
View attachment 3180773View attachment 3180774View attachment 3180775View attachment 3180776
Mnara wa babeli
 
Huyo jamaa inatakiwa ajiuzulu mara moja inaonyesha hatoshi Kwenye hiyo nafasi
 
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Shinyanga, Ntobi, ameomba radhi kufuatia kauli zake alizotoa kuhusu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu. Ntobi ameeleza kuwa kauli hiyo ilisababisha mjadala mkali usio na afya ndani ya chama.
View attachment 3180766
"Ni wazi kwamba nilihamanika tu," alisema Ntobi. "Naomba radhi sana kwa Chama, wanachama, viongozi wa ngazi mbalimbali, Watanzania, na kwa bosi wangu, Tundu Lissu."

Soma, Pia: Alichoandika Mnyika: Maneno ya Ntobi si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda

Ntobi amesisitiza kuwa anawajibika kwa makosa yake na ameonyesha masikitiko makubwa kwa kauli hiyo. “I’m deeply sorry,” alihitimisha.
View attachment 3180765

Baadhi ya Tweets zenye kauli za Ntobi kuhusu Tundu Lissu akionyesha wazi hakubaliani na Lissu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA
View attachment 3180767
View attachment 3180770
View attachment 3180773View attachment 3180774View attachment 3180775View attachment 3180776
Tunasubiri watuletee mropokaji mwingine 2025. Imeshakaa kwenye redi hiyo mwambieni twawasibiri 2025. Kiti cha ubunge watapata vitatu na madiwani sita 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kafuta kauli yeye, sisi hatufuti vichwani mwetu
 
Ajue maneno yake hayo yatakuwa kumbukumbu kwa siku zijazo. Na hasa kama atapenda kuendelea na uongozi.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Shinyanga, Ntobi, ameomba radhi kufuatia kauli zake alizotoa kuhusu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu. Ntobi ameeleza kuwa kauli hiyo ilisababisha mjadala mkali usio na afya ndani ya chama.
View attachment 3180766
"Ni wazi kwamba nilihamanika tu," alisema Ntobi. "Naomba radhi sana kwa Chama, wanachama, viongozi wa ngazi mbalimbali, Watanzania, na kwa bosi wangu, Tundu Lissu."

Soma, Pia: Alichoandika Mnyika: Maneno ya Ntobi si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda

Ntobi amesisitiza kuwa anawajibika kwa makosa yake na ameonyesha masikitiko makubwa kwa kauli hiyo. “I’m deeply sorry,” alihitimisha.
View attachment 3180765

Baadhi ya Tweets zenye kauli za Ntobi kuhusu Tundu Lissu akionyesha wazi hakubaliani na Lissu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA
View attachment 3180767
View attachment 3180770
View attachment 3180773View attachment 3180774View attachment 3180775View attachment 3180776
Huwezi ukawa na akili timamu ukawa kwenye chama Cha punda kama hawa
 
Ntobi ni msanii tu kama diamond,,,ameshatoa povu alaf anakuja kuomba radhi ya kinafiki.yani utoe kashfa zaidi ya mara mbili then uje kuomba radhi,,,,CHADEMA KUNA WAHUNI WENGI TU NA SASA WAMEANZA KUJULIKANA
 
Mtu anaeomba msamaha kwa shinikizo haombi msamaha wa kweli...nafsi Ina Amin tofauti na anachotaka tuamini..siamini msamaha wake ntobi kbs nikirudia kusoma alichoandika..kashinikizwa TU.. ni Mungu TU ndo anaona ndani yake anachomaanisha."eti kuhamanika TU"...
 
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Shinyanga, Ntobi, ameomba radhi kufuatia kauli zake alizotoa kuhusu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu. Ntobi ameeleza kuwa kauli hiyo ilisababisha mjadala mkali usio na afya ndani ya chama.
View attachment 3180766
"Ni wazi kwamba nilihamanika tu," alisema Ntobi. "Naomba radhi sana kwa Chama, wanachama, viongozi wa ngazi mbalimbali, Watanzania, na kwa bosi wangu, Tundu Lissu."

Soma, Pia: Alichoandika Mnyika: Maneno ya Ntobi si msimamo wa Kamati kuu Wala CHADEMA na mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti huyo yako chini ya Kanda

Ntobi amesisitiza kuwa anawajibika kwa makosa yake na ameonyesha masikitiko makubwa kwa kauli hiyo. “I’m deeply sorry,” alihitimisha.
View attachment 3180765

Baadhi ya Tweets zenye kauli za Ntobi kuhusu Tundu Lissu akionyesha wazi hakubaliani na Lissu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA
View attachment 3180767
View attachment 3180770
View attachment 3180773View attachment 3180774View attachment 3180775View attachment 3180776
Hata iweje huwezi kuandika maneno ya hivi?...huyu mtoto Lofa sana...
 
Kuna kuteleza katika siasa ni kama vile yeye Lissu alivyoteleza wakati anatangaza nia yake ya uutaka uwenyekiti.
Wote wasamehewe!!
 
Back
Top Bottom