Pre GE2025 Ntobi avuliwa Uenyekiti Mkoa wa Shinyanga kutokana na utovu wa maadili na nidhamu dhidi ya Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
ni hatu nzuri na muhimu mno, kwa taasisi imara kusimamia nidhamu kwa viongozi waaandamizi wake,

Na bilashaka anaefuata ni Tundu Antipas Mughwai Lisu kuchukuliwa hatua sawa na hizo, maana aina ya uropokaji na tuhuma alizonazo zinafanana kila kitu na huyo muungwana,

ili iwe fundisho kwa wasaliti na waropokaji wengine kama hao πŸ’
 
Haahaa Kwa hiyo kura ya mbowe imepungua? Kiukweli jamaa ni mweupe kichwani Hana kitu, Sijui wslimpaje uongozi.
 
ni hatu nzuri na muhimu mno,

Na bilashaka anaefuata ni Tundu Antipas Mughwai Lisu kuchukuliwa hatua sawa na hizo, maana aina ya uropokaji na tuhuma alizonazo zinafanana kila kitu na huyo muungwana πŸ’
Sijawahi kumsikia lissu akimtukana mbowe kamwe , kama una ushahidi weka hapa, Ntobi alikuwa anaenda live kumtweza lissu kumuita mropokaji, msanii, nk
 
Hio ni hatua mbaya, acha kuwa kipofu timing ni mbaya
 
Sijawahi kumsikia lissu akimtukana mbowe kamwe , kama una ushahidi weka hapa, Ntobi alikuwa anaenda live kumtweza lissu kumuita mropokaji, msanii, nk
utamsikiaje na hutaki kuskia?

kwahiyo kibaraka anaenda behind the scenes sio live right?

kwamba kibaraka kuwaita wengine wala rushwa, au wengine wametumwa kugombea umakamu wenyekit kumkabili yeye n.k, huo sio uropokaji gentleman?πŸ’
 
Mkiulizwa nyie CCM , Lissu kamtukana vipi Mbowe hamsemi.
 
Hio ni hatua mbaya, acha kuwa kipofu timing ni mbaya
kwahiyo unakiuka katiba sheria, kanuni na katiba ya chama kwasasabu ya timing?

yaani timing inakufanya usichukuliwe hatua, right?
Basi hiyo taasisi itakua dhaifu sana na inawaogopa wanachama wake πŸ’
 
kwahiyo unakiuka katiba sheria, kanuni na katiba ya chama kwasasabu ya timing?

yaani timing inakufanya usichukuliwe hatua, right?
Basi hiyo taasisi itakua dhaifu sana na inawaogopa wanachama wake πŸ’
Mbona nyie CCM hamkuchukulia hatua Nchimbi na wenzake 2015 mkasubiri mpaka uchaguzi uishe?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…