Pre GE2025 Ntobi avuliwa Uenyekiti Mkoa wa Shinyanga kutokana na utovu wa maadili na nidhamu dhidi ya Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nyinyi Ma CCM ndio mmetufikisha hapa tulipo, nchi imejaa Kila kitu lakini ni nchi masikini kuliko.
gentleman,
ni muhimu ukawa mtulivu wa fikra,
naona unaweweseka na masuala ya taasisi nyingine kabisa isiyohusika dhidi ya hoja tofauti mno mezani.

Chukua point hiyo ya muhimu sana,
kwamba anaefuata ni mropokaji Tundu Lisu kuchukuliwa hatua za kinidhamu 🐒
 
Safi sana , Yeriko Nyerere nakuonya pia japo hukua umefikia atua ya Ntobi.

MARTIN Maranja , Boni yai ,kukaa kimia kwao sio kwamba ni wajinga , jitafakari mara moja na omba msamaha
 
Kwa kosa lipi? Kweli maccm ni mashirikina
 
21/1 atarudishwa na waliomfukuza watamfata lissu Chauma
 
Vizuri sana, ila Ntobi alipaswa kufutwa uanachama kabisa kwa upumbavu wake
 
Hiyo Kanda ya Serengeti kiongozi lazima ni Pro Lisu.

Kumsimamisha chawa wa Mwenyekiti kwa kauli alizotoa akimkampenia boss wake ni fukuto.
 
Wamamtoa kafara ili kumuwinda Lisu.

Akili inafanyakazi
 
Hiyo Kanda ya Serengeti kiongozi lazima ni Pro Lisu.

Kumsimamisha chawa wa Mwenyekiti kwa kauli alizotoa akimkampenia boss wake ni fukuto.
Siyo kiongozi tu kanda ya Serengeti na ya Victoria wote ni Pro Lissu Mbowe hana chake huko. Hayo mabilioni yake watu watayabunya lakini kura kwa Lissu.
 
Utakuwa una shida kichwani. Lisu hajawahi kumtukana mtu yeyote. Matusi ya Ntobi yameorodheshwa, kama Lisu amewahi kutukana, ebu orodhesha matusi ya yaliyowahi kutolewa na Lisu.
 
Na Kamati Kuu ya Chadema ikumfuta Lissu uwanachama kwa makosa hayo hayo msije humu kuloloma kaonewa. Msumeno unakata kwa kwenda mbele na kurudi nyuma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…