Nduli anaweza pata kura 1 kati ya kura 1200 halafu akatangazwa kuwa yeye ndiye mshindiNduli Freeman Mbowe hamtaki Heche na yoyote anaekemea na kuichukia rushwa.
Hiyo ndiyo Chadema ya MboweView attachment 3184923
Ntobi, mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga na Kijana mtiifu wa Mbowe ameendelea kushambulia wasiomuunga mkono Mbowe.
Safari hii anasema kuwa John Heche hawezi kuwa hata mwenyekiti wa mtaa.
Heche ambaye amewai kuwa mwenyekiti wa bavicha taifa, diwani na mbunge. Kwa sasa vijana wa Mbowe wanatuambia hana sifa za kuwa hata mwenyewe wa mtaa.
Ntobo ana Matusi sana 🐼View attachment 3184923
Ntobi, mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga na Kijana mtiifu wa Mbowe ameendelea kushambulia wasiomuunga mkono Mbowe.
Safari hii anasema kuwa John Heche hawezi kuwa hata mwenyekiti wa mtaa.
Heche ambaye amewai kuwa mwenyekiti wa bavicha taifa, diwani na mbunge. Kwa sasa vijana wa Mbowe wanatuambia hana sifa za kuwa hata mwenyewe wa mtaa.
Ni shida sanaChadema ya Mbowe ukitaja neno rushwa wanasema unaharibu chama.
migambo wanaruka na kukanyagana sio?View attachment 3184923
Ntobi, mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga na Kijana mtiifu wa Mbowe ameendelea kushambulia wasiomuunga mkono Mbowe.
Safari hii anasema kuwa John Heche hawezi kuwa hata mwenyekiti wa mtaa.
Heche ambaye amewai kuwa mwenyekiti wa bavicha taifa, diwani na mbunge. Kwa sasa vijana wa Mbowe wanatuambia hana sifa za kuwa hata mwenyewe wa mtaa.
Never trust a politician, uishangae lolote hapo.View attachment 3184923
Ntobi, mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga na Kijana mtiifu wa Mbowe ameendelea kushambulia wasiomuunga mkono Mbowe.
Safari hii anasema kuwa John Heche hawezi kuwa hata mwenyekiti wa mtaa.
Heche ambaye amewai kuwa mwenyekiti wa bavicha taifa, diwani na mbunge. Kwa sasa vijana wa Mbowe wanatuambia hana sifa za kuwa hata mwenyekiti wa mtaa.
Tunaposema kuwa hiki chama ni SACCOS ndio muwe mnaelewa na bado mtaona mengi sanaHuyo Ntobi anaidharau Sana. Eti wajumbe wa Mkutano Mkuu tumeahatamba na Wenje. Leo CHADEMA wanamuona mwana CCM Wenje wa maana kuliko Heche.