Nuh Mziwanda afunguka machungu ya Maisha adai akifa "asije baba, mama wala ndugu" kunizika! Aomba azikwe na Serikali

Nuh Mziwanda afunguka machungu ya Maisha adai akifa "asije baba, mama wala ndugu" kunizika! Aomba azikwe na Serikali

Kuzaa watoto ni sawa na upatu mtanielewa siku moja ,Nuh Mziwanda anapata matatizo ila wazazi waliomzaa hawana msaada kwake kabisa ila wanategemea akikaa sawa awatunze hata hao ndugu zake ni hovyo.

Kiuhalisia ifike muda mtu kujiua iwe ni haki na huru kabisa kwa vile dunia haina maana , sometimes unajikuta huendani na mikazo ya dunia ...Kwa kweli wapitishe tu sheria hiyo hakuna ulazima wa kuendelea kushikilia maumivu hata wewe ulizaliwa bila ya ridhaa yako.

Ndio maana yule jamaa wa P square alisema bora kifo kuliko umaskini ,yuko sahihi kabisa kwa nini uendelee kuteseka simply jitoe uhai tu.​
Acha kutetea ujinga. Huyu kwa mtindo wake wa maisha ni dhahiri yeye ndio ana matatizo wazazi hawawezi kukuacha mkono burebure tu. Inakuwaje umri kama huo unategemea msaada wa wazazi ? Huyu kazoea kulelewa na mishangazi sasa kakosa soko na kapiga ndio anatoa milio.
 
Siyo mama yake tuu, hata baba yake na ndugu zake wote. Huyu anafaa kufukiwa na manispaa kama watakuwa hawajui kwanini ndugu hawamtaki. Vinginevyo atupwe tuu baharini asisumbue marafiki na mashabiki.
Atafanya Jambo la maana kama atajifunga bomu na kujilipua kuliko kufia kitandani 🤷🏻
 
Acha kutetea ujinga. Huyu kwa mtindo wake wa maisha ni dhahiri yeye ndio ana matatizo wazazi hawawezi kukuacha mkono burebure tu. Inakuwaje umri kama huo unategemea msaada wa wazazi ? Huyu kazoea kulelewa na mishangazi sasa kakosa soko na kapiga ndio anatoa milio.
Wazazi ndiyo tatizo ,wasingezaa asingekuwepo..Chanzo cha matatizo ya binadamu ni kuzaa ...Kama una akili utanielewa , matatizo yameumbiwa binadamu so ukizaa tambua hyo mtoto umemleta kweny matatizo.

Bado una fikra za kizamani .😅
 
Wazazi ndiyo tatizo ,wasingezaa asingekuwepo..Chanzo cha matatizo ya binadamu ni kuzaa ...Kama una akili utanielewa , matatizo yameumbiwa binadamu so ukizaa tambua hyo mtoto umemleta kweny matatizo.

Bado una fikra za kizamani .😅
Kwa mujibu wa Katiba mtoto ni miaka 18 kuanzia hapo wewe sio tegemezi kwa wazazi wako. Sasa mtu alishawahi kuwekwa kinyumba na mshangazi hapo wazazi wanahusika vipi. Watoto wa pwani wanakazwa sana kwa tabia kama hizo. Maeneo kama uchagani huwezi kusikia ujinga kama huo.
Hizo zako ndio fikra za kizamani.
 
Elimu inayosumbua vijana wengi ni Elimu ya kujitambua.

Ku-control pombe
Ku-control Bangi
Ku-Control starehe ya wanawake

The sense of who you are -kujitambua ndo kuna key-direction of life

Ana watoto wanne
Amezaa na wanawake wa uswahilini
Hana Fame
Hana pesa


Ushauri

Ajisamehe na akae mbali na watu wanaitwa ndugu (closed Family)

Kwakuwa ana jina na anafahamiana na watu wengi afanye kazi ya kuuza bidhaa mbalimbali .

Namuombea Kijana I pray to him , Lord have mercy

Asijitenge na watu Ila awatenganishe watu na mipango yake.
 
Bongo mufilisi, Bongo choka mbaya mithili ya baba Ubaya.

Kaza roho, Maisha utata, Maisha tamu na shubiriii.

Juzii mtaani Kwetu tumetoka kufukia Mtu futi sita, dogo kamumunya sumu, sababu kuu, mapenzii-Mahaba.

Kaza moyo, Kuishi na Watu kwa hitaji moyo, maana kunamagumbaru, Wanafiki, wachukachuka, mapoyoyo na wenye choyo na roho za kwanini.

Watu wengine huku tunaishi kama makumazani, tunavuka maji ya shingo bila kulowa naniiii......

Kuna jamaa yanguu Huwa ananambia huko tunakoelekea Future is not good, Watu dhaifu sana watajichuja wenyewe, ni kukomaa, kukaza sura, ni kubadilika humuhumu mpaka kieleweke, hakuna fala, hakuna kukata tamaa.

Maisha ni kama sahani lilojaa uchafu umelibeba kichwani.

Kazi kwako.

Ukishindwa Mumunya sumu, Mimi stakuhukumu nitatoa tu rambi rambi.
 
Maisha ndivyo yalivyo, wote wanaweza kukukataa, faraja ikawa ni kwenda kwenye nyumba za ibada tu.
 
Back
Top Bottom