Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Tangu apigwe kibuti na mume wake mshangazi Shishi hayuko sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaTangu apigwe kibuti na mume wake mshangazi Shishi hayuko sawa.
Acha kutetea ujinga. Huyu kwa mtindo wake wa maisha ni dhahiri yeye ndio ana matatizo wazazi hawawezi kukuacha mkono burebure tu. Inakuwaje umri kama huo unategemea msaada wa wazazi ? Huyu kazoea kulelewa na mishangazi sasa kakosa soko na kapiga ndio anatoa milio.Kuzaa watoto ni sawa na upatu mtanielewa siku moja ,Nuh Mziwanda anapata matatizo ila wazazi waliomzaa hawana msaada kwake kabisa ila wanategemea akikaa sawa awatunze hata hao ndugu zake ni hovyo.
Kiuhalisia ifike muda mtu kujiua iwe ni haki na huru kabisa kwa vile dunia haina maana , sometimes unajikuta huendani na mikazo ya dunia ...Kwa kweli wapitishe tu sheria hiyo hakuna ulazima wa kuendelea kushikilia maumivu hata wewe ulizaliwa bila ya ridhaa yako.
Ndio maana yule jamaa wa P square alisema bora kifo kuliko umaskini ,yuko sahihi kabisa kwa nini uendelee kuteseka simply jitoe uhai tu.
Atafanya Jambo la maana kama atajifunga bomu na kujilipua kuliko kufia kitandani 🤷🏻Siyo mama yake tuu, hata baba yake na ndugu zake wote. Huyu anafaa kufukiwa na manispaa kama watakuwa hawajui kwanini ndugu hawamtaki. Vinginevyo atupwe tuu baharini asisumbue marafiki na mashabiki.
Wazazi ndiyo tatizo ,wasingezaa asingekuwepo..Chanzo cha matatizo ya binadamu ni kuzaa ...Kama una akili utanielewa , matatizo yameumbiwa binadamu so ukizaa tambua hyo mtoto umemleta kweny matatizo.Acha kutetea ujinga. Huyu kwa mtindo wake wa maisha ni dhahiri yeye ndio ana matatizo wazazi hawawezi kukuacha mkono burebure tu. Inakuwaje umri kama huo unategemea msaada wa wazazi ? Huyu kazoea kulelewa na mishangazi sasa kakosa soko na kapiga ndio anatoa milio.
Kwa mujibu wa Katiba mtoto ni miaka 18 kuanzia hapo wewe sio tegemezi kwa wazazi wako. Sasa mtu alishawahi kuwekwa kinyumba na mshangazi hapo wazazi wanahusika vipi. Watoto wa pwani wanakazwa sana kwa tabia kama hizo. Maeneo kama uchagani huwezi kusikia ujinga kama huo.Wazazi ndiyo tatizo ,wasingezaa asingekuwepo..Chanzo cha matatizo ya binadamu ni kuzaa ...Kama una akili utanielewa , matatizo yameumbiwa binadamu so ukizaa tambua hyo mtoto umemleta kweny matatizo.
Bado una fikra za kizamani .😅