Nuh Mziwanda: Kupigwa Raha Jamani, Nazidi Kupata Ufahamu Jinsi Navyopendwa na Shilole

Nuh Mziwanda: Kupigwa Raha Jamani, Nazidi Kupata Ufahamu Jinsi Navyopendwa na Shilole

Malezi ya watoto wa kiume now days yamekuwa magumu sana,sijiu nini kifanyike ili heshima ya mwanaume irudi kama zamani
 
Hivi huyu nikimwita shogah nitakuwa nimekosea?
 
View attachment 235038

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Nuh Mziwanda, ametoa kali ya mwaka kwa kudai kwamba kitendo cha kupigwa mara kwa mara na mpenzi wake, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, kinampa furaha na ufahamu wa namna anavyopendwa.

“Kwanza kupigwa raha, mpenzi wako asipokupiga hakuonei wivu, mimi nafurahi sana na namtaka anipige tu! kila siku akijisikia, ananidhihirishia kuwa ananipenda,” alisema.

Nuh alisema mengi yamesemwa kutokana na kupigwa kwake mara kwa mara, huku akidai kwamba hilo halina tatizo kwake, kwa kuwa halitaharibu mapenzi yao wanayoamini yatafika mbali.
“Sisi tunawezana na Mungu atusaidie tufikie katika hatua ya ndoa tuliyojiwekea,’’ alimaliza.

maoni yangu:

Kuwa mario nayo ni kipaji kweli

Na siku akimwingizia madole aje atuambie alivyopata raha.
 
Nna wasiwasi na uanaume wake huyu kijana. Mwanaume wa kweli hawezi kuongea mambo kama hayo.
 
Dogo mpuuzi kweli huyu na anatutia aibu anapigwa kila siku yeye tu na alivyo boya anaongea eti kupigwa raha tena Shilole akipiga bia zake balaa Nuhu utamuonea huruma anavyo pelekwa puta na kujichora kwake shishi mikonon atalia siku atakayo mwagwa maana kulelewa hua kunaisha

Power of love.
 
ukistaajabu ya ezden utayaona ya nuhu mziwanda
 
Huyu bado mdogo ndio akili zake zinavyomtuma, akiwa mkubwa (mwanaume) sijui ataificha wapi hii aibu.

Huyu ataendelea kuwa mvulana, Akikuwa atakuwa wa kiume...
 
Kanaogopa kuishi kwa wazazi wake atapigwa mpaka akome tunasubiri siku ya kurushiwa mabegi nje

Hivi kweli ana ndugu huyu ambao wapo hai sidhani aisee. Na hilo jina mziwanda ni kabila la WAKWERE hebu waje wamuokoe ndugu yao huku anawaadhiri
 
Huyu dogo ----- anadhalilisha wanaume,anajisifia kupigwa??hovio kabisa
 
Back
Top Bottom