Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ma jikeshupa tupo tumetulia ila nashangaa jikeshupa mwenzangu anahaha au anataka kurudi tena? Msg sent imemuuma hyo[emoji12][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu umenichekesha Sana, jike shupa na dogo nyau
Amuwezi tena dogo kashatoboa.. Naukubali kinyama wimbo wake wa jikeshupaJike shupa imemuuma bibi. Eti habadilishi boxer. Kashachelewa dogo kaopoa wa size yake.
wote majike shupaHv kati ya nuhu na shilole nan jike jamani, naomba kujua
Bila bilaAmekojozwa miaka 15 halafu for nothing[emoji12]
Michael Jackson Alisoma wapi.. Acha kukaririSijui kwa nini hata wasijiendeleze na elimu ya watu wazima, hata kuandika insha ya kiswahili tu tatizo ndio wanataka kutoboa kimataifa? Nukta kila sehemu baada ya nukta herufi ndogo baadhi ya maneno yanaandikwa ndivyo sivyo, wanachosha wakimaliza kuimba waende darasani waache skendo za kipuuzi. Jike shupa dogo nyau.
yanachangamoto toka ulimwengu unawatu wawiliMapenzi hayaaaaaa
Amuwezi tena dogo kashatoboa.. Naukubali kinyama wimbo wake wa jikeshupa
Michael Jackson Alisoma wapi.. Acha kukariri
ila ngoma ni kaliMapenzi hayaaaaaa