Nuh Mziwanda na Shilole waingia kwenye vita vya maneno

una uhakika? muulize lady jay dee kwa gardner amefanywa nn?
GADNER KAUMIA VYA KUTOSHA, KAISHIA KUOKOTA MIZOGA, KAWA MLEVII NA MCHAFU KOGE..... MAUMIVU SI KWA MANENIO HATA MUONEKANO TU,UNAJUA MTU HUYU KAATHIRIKA KISAIKOLOJIA
 
Reactions: nao
Kawimbo kazuri nimekapenda. Nuhu level ya kina kiba na diamond
 
Shishi angekauka tu coz nimepata fununu kuwa sasa anatafutwa 'Madee look like' kwa ajili ya Jike shupa part two.......
 
Hao wote haijulikani nani mboga nani ugali wote michuzi
 
shishi ameumia sana hasahasa ukiangalia nyimbo ya Nuh ni nzuri kuliko ya shishi
 
Na bado
 
Nuhu ni mfano halisi wa wanaume wa draaaa..this buddy should manup anatiatia huruma tu na kumuhusisha mungu kwenye upumbavu wake..sijui kama mungu wake anasupport uzinzi wake yeye na jike shupa lake..namshauri nuh akakaange chips ale.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…