Nuhu Mziwanda aamua kuokoka na kumrudia Mungu

kuna siku nililsikia anasema anatokea kwenye familia ya kikristo sanaa tan baba na mama ni wazee wa kabisa gafla nikasikia kabadilisha dini ili apewe mke uko Zanzibar majuzi katoka kufanyiwa operation cjui ni ya nini kafanya jambo jema kumrudia muumba wake uyo mke akitaka amafate mumewe
 
Wakianza kufulia wanakimbilia kwa Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…