Nuhu Mziwanda karogwa au?! Huyu ni Mke au Kangamoko?

Nuhu Mziwanda karogwa au?! Huyu ni Mke au Kangamoko?

Ni shidaaaaaa aiseee ina maana hawezi kupagawisha mashabiki bila kuwakumbatia hivyo au kama anakubalika ni anakubalika tu sio mpaka afanyaje hivyo basi awe wanamfanya kabisaa
 
Na bado akina Madee wanampigia. Dogo ashazoea maisha ya kulelewa, so hachomoki pale hata iweje hadi apate mwingine wa kumlea.
Ova
 
Na bado akina Madee wanampigia. Dogo ashazoea maisha ya kulelewa, so hachomoki pale hata iweje hadi apate mwingine wa kumlea.
Ova
kama ulikuwepo Madee ndio demu wake pia anapiga kisiri...toto si jinga lile
 
Kumbe mkipendwa ndo mnaanza maneno yenu ya shombo ehhee?..mziwanda anawakilisha wanaume wenye mapenzi ya dhati..ila mm simo

Duuu nina hofu na uwakilishi wake! hebu jaribu na wewe tuone! Huu ni Upendo wa kuhamisha Millima kabisa!
 
Duuu nina hofu na uwakilishi wake! hebu jaribu na wewe tuone! Huu ni Upendo wa kuhapisha Millima kabisa!

Mi siwezi..mziwanda ndo kielelezo cha mahaba bongo..we mwanaume akikufwata na kukwambia anakupenda mwambie akachukue kozi ya mahaba kwa mziwanda..akitoka hapo unamfanya utakavyo
 
Mi siwezi..mziwanda ndo kielelezo cha mahaba bongo..we mwanaume akikufwata na kukwambia anakupenda mwambie akachukue kozi ya mahaba kwa mziwanda..akitoka hapo unamfanya utakavyo

Haaa unanilisha sumu nikisema hvyoo atatoka ndukii kama filbert bay ha ha ha..Nuhu CASE STUDY karibuni mchukue course muongeze silaha tuzidi kuwapenda niitie Molembe, Kiroboto,B5-click, Free wa miss chagga! nilimsahau Root pia unahusika huku!
 
Haaa unanilisha sumu nikisema hvyoo atatoka ndukii kama filbert bay ha ha ha..Nuhu CASE STUDY karibuni mchukue course muongeze silaha tuzidi kuwapenda niitie Molembe, Kiroboto,B5-click, Free wa miss chagga! nilimsahau Root pia unahusika huku!

Katika hao labda freeland ndo amefuzu course ..mana kummiliki yule miss lazima uwe na mapnz kama ya mziwanda
 
Kuna kipi cha ajabu hapo jamani. Dah wabongo bana..
 
Katika hao labda freeland ndo amefuzu course ..mana kummiliki yule miss lazima uwe na mapnz kama ya mziwanda

Ha ha ha aje free atuthibitishie ushilole wa miss chaga! Ila B-5 Click ni jembe ntathibitisha vitaimana personally!
 
Back
Top Bottom