Vitaimana
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 3,535
- 1,562
Hicho kizazi kijacho sijui watoto watakuwaje
watoto watakuwa ni vichefuchefu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho kizazi kijacho sijui watoto watakuwaje
Yani kumbe na we ushajihifadhi sehemu..balaa gani hili
Na bado akina Madee wanampigia. Dogo ashazoea maisha ya kulelewa, so hachomoki pale hata iweje hadi apate mwingine wa kumlea.
Ova
bado aisee napiga ramli kwanza! naogopa kuchezewa cheusi chekundu!
Basi njoo kwangu..mi namahaba huyo nuh mziwanda anasubiri..ntachora tatoo ya jina lako hadi machoni
nakuja nitulize nafsi daddie! sasa nimuache niliyenae au wewe unakuwa deputy? au unafanya kama madee? dogo anashikilia pembe yee anakamua tu!
Moja ya balehe mbaya kutokeza Tz ni hii ya dogo Mziwanda
Haa! Kumbe meddy anammega kisela?
Kuna kipi cha ajabu hapo jamani. Dah wabongo bana..
we utakuwa kicheche. hebu nitajie msanii mkubwa duniani anayeweza kufanywa live ujinga kama huo. Nani unaushahidi?, beyonce, taylor swift, anjelika kidjoe, celine dione, tshala mwana, janet jackson? nipe mfano kama siyo kanga moko.