GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mzee wangu Kocha 'Jeans Hiyo Hiyo' usikasirike hapo ulipowekwa kwa sasa kwani umewekwa Kimtego ila muda wowote unarejea Kikosini.
Mshambuliaji tunayekupenda na Kukubali kuliko wote walioko Kikosini ila hupangwi kwa Chuki ya Kocha na Kiongozi Mwandamizi Klabuni usihofu huenda kwa matokeo mabaya ya kuanzia leo Mahaba Region au ya Morogoro na Mtibwa Sugar FC au yale ya CAFCL au ya African Super League yakamuondoa ( akafurumushwa ) na Kocha 'Jeans Hiyo Hiyo' akirejeshwa utaendelea kutupa Raha kwa Magoli yako na kutupigisha Saluti Kiushangiliaji.
Msimu ujao Kambi iwe Tanzania tu
Mshambuliaji tunayekupenda na Kukubali kuliko wote walioko Kikosini ila hupangwi kwa Chuki ya Kocha na Kiongozi Mwandamizi Klabuni usihofu huenda kwa matokeo mabaya ya kuanzia leo Mahaba Region au ya Morogoro na Mtibwa Sugar FC au yale ya CAFCL au ya African Super League yakamuondoa ( akafurumushwa ) na Kocha 'Jeans Hiyo Hiyo' akirejeshwa utaendelea kutupa Raha kwa Magoli yako na kutupigisha Saluti Kiushangiliaji.
Msimu ujao Kambi iwe Tanzania tu