NUKUU: Kutokana kanuni ya 50/50 wanawake kuajiriwa kumesababisha ukosefu wa ajira nchini

NUKUU: Kutokana kanuni ya 50/50 wanawake kuajiriwa kumesababisha ukosefu wa ajira nchini

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
Kwa mujibu wa historia ya Tanzania itakumbukwa miaka 1961 mpaka 1989 idadi ya wanawake wasomi haikuwa kubwa kama miaka 2020's, lakini pia idadi ya wanawake waliokuwa kwenye ajira ama biashara ilikua ni chache ikilinganishwa na leo hii

Mwanamke alitambulika kama mama nyumbani Kitendo cha wanawake hivo kuleta balance of the nature na ndoa zilidumu
(wengi wenu ni mashahidi sitaki kutoa testimony yoyote)
👉Ebu tuje Leo hii ambapo wanawake nao pia wanatoka majumbani kwenda kutafta mkate wa Kila siku


ATHARI ZA MWANAMKE KUAJIRIWA
1.UKOSEFU WA AJIRA KWA VIJANA WENGI WA KIUME
2.Migogoro ya ndoa isiyoisha
👉ikiwemo kugombea mali
👉Wanawake kushindwa majukumu. Yao kama kupika, kufua, kulea watoto hali inayopelekea kutafuta mbadala wa Mabinti wa kazi
👉Watoto kukosa uangalizi kutoka kwa mama zao. Aslimia Mia hivo kulelewa boarding schools
👉Ukosefu wa uaminifu (cheating)
👉Idadi kubwa ya single mother's kutokana viburi vyao vya pesa na kazi hivo kupeleka "single parent system"
👉Feminism increases


(kuna hili kundi la mascretary wa boss)ufuska wanoufanya unatisha.


Naomba kuwasilisha(ruksa
kukosoa kwa hoja)
 
Kuajiriwa Kwa wanawake kinasababisha vipi ukosefu wa ajira Kwa wengine?
Kichwa na content haviendani kabisa
Mwanamke asie na kazi unadhani haingii kwenye mgogoro wa kugombea Mali pale anapotengana?
Kila mwanamke mwenye kazi ana kiburi hakuna mwenye adabu?
Wapo wanawake wanafanya kazi na wanahudumia familia zao vizuri tu

Utakuta umesoma na degree yako hapo basi unaamini vijana wa kiume wanakosa ajira sababu ya nafasi zinashikiliwa na wanawake...aibu kama msomi!

Badili fikra zako aisee
 
Kwa mujibu wa historia ya Tanzania itakumbukwa miaka 1961 mpaka 1989 idadi ya wanawake wasomi haikuwa kubwa kama miaka 2020's, lakini pia idadi ya wanawake waliokuwa kwenye ajira ama biashara ilikua ni chache ikilinganishwa na leo hii

Mwanamke alitambulika kama mama nyumbani Kitendo cha wanawake hivo kuleta balance of the nature na ndoa zilidumu
(wengi wenu ni mashahidi sitaki kutoa testimony yoyote)
👉Ebu tuje Leo hii ambapo wanawake nao pia wanatoka majumbani kwenda kutafta mkate wa Kila siku


ATHARI ZA MWANAMKE KUAJIRIWA
1.UKOSEFU WA AJIRA KWA VIJANA WENGI WA KIUME
2.Migogoro ya ndoa isiyoisha
👉ikiwemo kugombea mali
👉Wanawake kushindwa majukumu. Yao kama kupika, kufua, kulea watoto hali inayopelekea kutafuta mbadala wa Mabinti wa kazi
👉Watoto kukosa uangalizi kutoka kwa mama zao. Aslimia Mia hivo kulelewa boarding schools
👉Ukosefu wa uaminifu (cheating)
👉Idadi kubwa ya single mother's kutokana viburi vyao vya pesa na kazi hivo kupeleka "single parent system"
👉Feminism increases


(kuna hili kundi la mascretary wa boss)ufuska wanoufanya unatisha.


Naomba kuwasilisha(ruksa
kukosoa kwa hoja)

Ukosefu wa ajira unasababishwa na uchumi mdogo wa nchi hamna sababu ingine yoyote, na kila mtu anataka kuajiriwa so wote tunataka serikali tu ndio iunde ajira mpya, sector binafsi ipo narrow sana inashindwa kumeza watu, na wasomi wanaotakiwa kuanzisha ajira kwa kuanzisha viwanda wapo pia kwenye foleni na mamastaz yao na maphd, wanaomba serikali iwaajiri. Kuna nchi nyingi sana zina hiyo 50/50 na watu wote wanaoajirika wana kazi
 
Naunga mkono hoja.

Ajira zimewafanya akina mama kuwa aggressive sana na hela, maana kadili wanavyokuwa na kipato huwafanya wahitaji kipato zaidi, matokeo yake hujikuta wanakuwa wadangaji maofisini ili either waonewe huruma na kulipwa zaidi au kuwa wadangaji kwa watu wenye titles maofisi ili wapate kuhongwa zaidi.

Ajira nyingi wazifanyazo akina mama ni nyepesi nyepesi ambazo hazina mishahara mikubwa, imepelekea wengi wao kutafuta namna ya kupata kipato zaidi
 
Kwa mujibu wa historia ya Tanzania itakumbukwa miaka 1961 mpaka 1989 idadi ya wanawake wasomi haikuwa kubwa kama miaka 2020's, lakini pia idadi ya wanawake waliokuwa kwenye ajira ama biashara ilikua ni chache ikilinganishwa na leo hii

Mwanamke alitambulika kama mama nyumbani Kitendo cha wanawake hivo kuleta balance of the nature na ndoa zilidumu
(wengi wenu ni mashahidi sitaki kutoa testimony yoyote)
👉Ebu tuje Leo hii ambapo wanawake nao pia wanatoka majumbani kwenda kutafta mkate wa Kila siku


ATHARI ZA MWANAMKE KUAJIRIWA
1.UKOSEFU WA AJIRA KWA VIJANA WENGI WA KIUME
2.Migogoro ya ndoa isiyoisha
👉ikiwemo kugombea mali
👉Wanawake kushindwa majukumu. Yao kama kupika, kufua, kulea watoto hali inayopelekea kutafuta mbadala wa Mabinti wa kazi
👉Watoto kukosa uangalizi kutoka kwa mama zao. Aslimia Mia hivo kulelewa boarding schools
👉Ukosefu wa uaminifu (cheating)
👉Idadi kubwa ya single mother's kutokana viburi vyao vya pesa na kazi hivo kupeleka "single parent system"
👉Feminism increases


(kuna hili kundi la mascretary wa boss)ufuska wanoufanya unatisha.


Naomba kuwasilisha(ruksa
kukosoa kwa hoja)
Kweli mkuu mimi ningeshauli kwenye ajira vijana wa kiume wapewe kipaumbele hii ni nzuri kwa ukuaji wa familia, Serikali inatakiwa itoe ajira za ualimu na Nesi wanawake wawe wengiii yani wawe %80.
 
Kwa mujibu wa historia ya Tanzania itakumbukwa miaka 1961 mpaka 1989 idadi ya wanawake wasomi haikuwa kubwa kama miaka 2020's, lakini pia idadi ya wanawake waliokuwa kwenye ajira ama biashara ilikua ni chache ikilinganishwa na leo hii

Mwanamke alitambulika kama mama nyumbani Kitendo cha wanawake hivo kuleta balance of the nature na ndoa zilidumu
(wengi wenu ni mashahidi sitaki kutoa testimony yoyote)
👉Ebu tuje Leo hii ambapo wanawake nao pia wanatoka majumbani kwenda kutafta mkate wa Kila siku


ATHARI ZA MWANAMKE KUAJIRIWA
1.UKOSEFU WA AJIRA KWA VIJANA WENGI WA KIUME
2.Migogoro ya ndoa isiyoisha
👉ikiwemo kugombea mali
👉Wanawake kushindwa majukumu. Yao kama kupika, kufua, kulea watoto hali inayopelekea kutafuta mbadala wa Mabinti wa kazi
👉Watoto kukosa uangalizi kutoka kwa mama zao. Aslimia Mia hivo kulelewa boarding schools
👉Ukosefu wa uaminifu (cheating)
👉Idadi kubwa ya single mother's kutokana viburi vyao vya pesa na kazi hivo kupeleka "single parent system"
👉Feminism increases


(kuna hili kundi la mascretary wa boss)ufuska wanoufanya unatisha.


Naomba kuwasilisha(ruksa
kukosoa kwa hoja)
Rudi jandoni kawaambie hao wavulana wenzio wakwambie ukweli, shauri yako!
 
Kuajiriwa Kwa wanawake kinasababisha vipi ukosefu wa ajira Kwa wengine?
Kichwa na content haviendani kabisa
Mwanamke asie na kazi unadhani haingii kwenye mgogoro wa kugombea Mali pale anapotengana?
Kila mwanamke mwenye kazi ana kiburi hakuna mwenye adabu?
Wapo wanawake wanafanya kazi na wanahudumia familia zao vizuri tu

Utakuta umesoma na degree yako hapo basi unaamini vijana wa kiume wanakosa ajira sababu ya nafasi zinashikiliwa na wanawake...aibu kama msomi!

Badili fikra zako aisee
Anamainisha ukiwanyima vijana wa kiume ajira mzani hautaweza kubalance, Mwanaume mwenye ajira ataoa asiye na ajira hivyo kupunguza msoto wa mabinti mtaani, ina maana ukitoa ajira kwa mwanaume mmoja kuna bint mmoja atapata ajira.

Kinyume chake ukitoa ajira kwa binti mmoja hawezi kuolewa na kijana asiye na ajira, unyantasaji huongezeka kupelekea ndoa kuvunjika, kutengeneza ma single mama wengi na kuharibu maadili ya taifa.

Huo ndo uono wake.
 
Anamainisha ukiwanyima vijana wa kiume ajira mzani hautaweza kubalance, Mwanaume mwenye ajira ataoa asiye na ajira hivyo kupunguza msoto wa mabinti mtaani, ina maana ukitoa ajira kwa mwanaume mmoja kuna bint mmoja atapata ajira.

Kinyume chake ukitoa ajira kwa binti mmoja hawezi kuolewa na kijana asiye na ajira, unyantasaji huongezeka kupelekea ndoa kuvunjika, kutengeneza ma single mama wengi na kuharibu maadili ya taifa.

Huo ndo uono wake.
Ndiyo mkuu sahihi kabisa
 
Naunga mkono hoja.

Ajira zimewafanya akina mama kuwa aggressive sana na hela, maana kadili wanavyokuwa na kipato huwafanya wahitaji kipato zaidi, matokeo yake hujikuta wanakuwa wadangaji maofisini ili either waonewe huruma na kulipwa zaidi au kuwa wadangaji kwa watu wenye titles maofisi ili wapate kuhongwa zaidi.

Ajira nyingi wazifanyazo akina mama ni nyepesi nyepesi ambazo hazina mishahara mikubwa, imepelekea wengi wao kutafuta namna ya kupata kipato zaidi
Mbona unajikanyaga sana?!

Huu uwoga mnaoudhihirisha kila kukicha, unazidi kuyaweka bayana madhaifu yenu mliyopambana kuyaficha Kwa kuyavika Uungu kwamba Wanaume ni mbadala wa Mungu hapa duniani, unastaajabisha.
 
Anamainisha ukiwanyima vijana wa kiume ajira mzani hautaweza kubalance, Mwanaume mwenye ajira ataoa asiye na ajira hivyo kupunguza msoto wa mabinti mtaani, ina maana ukitoa ajira kwa mwanaume mmoja kuna bint mmoja atapata ajira.

Kinyume chake ukitoa ajira kwa binti mmoja hawezi kuolewa na kijana asiye na ajira, unyantasaji huongezeka kupelekea ndoa kuvunjika, kutengeneza ma single mama wengi na kuharibu maadili ya taifa.

Huo ndo uono wake.
Jamani si mlikubaliana hamuoi mwanamke asiye na kipato msaidizane maisha?
 
Anamainisha ukiwanyima vijana wa kiume ajira mzani hautaweza kubalance, Mwanaume mwenye ajira ataoa asiye na ajira hivyo kupunguza msoto wa mabinti mtaani, ina maana ukitoa ajira kwa mwanaume mmoja kuna bint mmoja atapata ajira.

Kinyume chake ukitoa ajira kwa binti mmoja hawezi kuolewa na kijana asiye na ajira, unyantasaji huongezeka kupelekea ndoa kuvunjika, kutengeneza ma single mama wengi na kuharibu maadili ya taifa.

Huo ndo uono wake.
Bado hamna kitu..wote wewe na mtoa mada
Wewe unaposema ukitoa ajira Kwa mwanaume it means mwanamke atamuoa mwanamke na kuwa kama katoa ajira na mwanamke kapata pa kuponea,unsema mwanamke atakuwa kapata ajira mizani itabalnce...ndoa ni ajira Kwa wanawake?serious mkuu? Unajua hata yanayoendlea ndani ya ndoa kwanza?unajua Kuna wanawake wananynyaswa na mahitaji hawapewi na wako kimya sababu hawana nguvu Wala usemi.
Binti ahenyeke kusoma apate elimu yake Kisha atupe vyeti vyake kabatini asubiri mwanaume ampe Hela ya kijora,asubiri Hela ya wanja,Hela ya chupi bado hajala huyo si chizi?
Sio Kila ndoa mwanamke anajaliwa,kama we unamjali hongera
 
Back
Top Bottom