Kwa mujibu wa historia ya Tanzania itakumbukwa miaka 1961 mpaka 1989 idadi ya wanawake wasomi haikuwa kubwa kama miaka 2020's, lakini pia idadi ya wanawake waliokuwa kwenye ajira ama biashara ilikua ni chache ikilinganishwa na leo hii
Mwanamke alitambulika kama mama nyumbani Kitendo cha wanawake hivo kuleta balance of the nature na ndoa zilidumu
(wengi wenu ni mashahidi sitaki kutoa testimony yoyote)
👉Ebu tuje Leo hii ambapo wanawake nao pia wanatoka majumbani kwenda kutafta mkate wa Kila siku
ATHARI ZA MWANAMKE KUAJIRIWA
1.UKOSEFU WA AJIRA KWA VIJANA WENGI WA KIUME
2.Migogoro ya ndoa isiyoisha
👉ikiwemo kugombea mali
👉Wanawake kushindwa majukumu. Yao kama kupika, kufua, kulea watoto hali inayopelekea kutafuta mbadala wa Mabinti wa kazi
👉Watoto kukosa uangalizi kutoka kwa mama zao. Aslimia Mia hivo kulelewa boarding schools
👉Ukosefu wa uaminifu (cheating)
👉Idadi kubwa ya single mother's kutokana viburi vyao vya pesa na kazi hivo kupeleka "single parent system"
👉Feminism increases
(kuna hili kundi la mascretary wa boss)ufuska wanoufanya unatisha.
Naomba kuwasilisha(ruksa
kukosoa kwa hoja)
Mwanamke alitambulika kama mama nyumbani Kitendo cha wanawake hivo kuleta balance of the nature na ndoa zilidumu
(wengi wenu ni mashahidi sitaki kutoa testimony yoyote)
👉Ebu tuje Leo hii ambapo wanawake nao pia wanatoka majumbani kwenda kutafta mkate wa Kila siku
ATHARI ZA MWANAMKE KUAJIRIWA
1.UKOSEFU WA AJIRA KWA VIJANA WENGI WA KIUME
2.Migogoro ya ndoa isiyoisha
👉ikiwemo kugombea mali
👉Wanawake kushindwa majukumu. Yao kama kupika, kufua, kulea watoto hali inayopelekea kutafuta mbadala wa Mabinti wa kazi
👉Watoto kukosa uangalizi kutoka kwa mama zao. Aslimia Mia hivo kulelewa boarding schools
👉Ukosefu wa uaminifu (cheating)
👉Idadi kubwa ya single mother's kutokana viburi vyao vya pesa na kazi hivo kupeleka "single parent system"
👉Feminism increases
(kuna hili kundi la mascretary wa boss)ufuska wanoufanya unatisha.
Naomba kuwasilisha(ruksa
kukosoa kwa hoja)