NUKUU: Kutokana kanuni ya 50/50 wanawake kuajiriwa kumesababisha ukosefu wa ajira nchini

NUKUU: Kutokana kanuni ya 50/50 wanawake kuajiriwa kumesababisha ukosefu wa ajira nchini

Kuolewa ndo kazi yenu kuu mengine mtuachie lakini kuolewa nako kuna masharti tukifuata misingi ya kiimani la kwanza 1.usafi (ubikira wa mwili) na mengineyo ya tabia na siha njema
Mbona unajikanyaga sana?!

Huu uwoga mnaoudhihirisha kila kukicha, unazidi kuyaweka bayana madhaifu yenu mliyopambana kuyaficha Kwa kuyavika Uungu kwamba Wanaume ni mbadala wa Mungu hapa duniani, unastaajabisha.
 
Ndio maana mliambiwa "choose wisely" usikurupuke kuingia kwenye ndoa mtu kuwa na pesa haimaanishi ndio anakuwa na moyo wa kutoa pia.mfano Mimi Sina pesa lakini ni mtoaji mzuri japo visijent kidogo
Bado hamna kitu..wote wewe na mtoa mada
Wewe unaposema ukitoa ajira Kwa mwanaume it means mwanamke atamuoa mwanamke na kuwa kama katoa ajira na mwanamke kapata pa kuponea,unsema mwanamke atakuwa kapata ajira mizani itabalnce...ndoa ni ajira Kwa wanawake?serious mkuu? Unajua hata yanayoendlea ndani ya ndoa kwanza?unajua Kuna wanawake wananynyaswa na mahitaji hawapewi na wako kimya sababu hawana nguvu Wala usemi.
Binti ahenyeke kusoma apate elimu yake Kisha atupe vyeti vyake kabatini asubiri mwanaume ampe Hela ya kijora,asubiri Hela ya wanja,Hela ya chupi bado hajala huyo si chizi?
Sio Kila ndoa mwanamke anajaliwa,kama we unamjali hongera
 
Kuolewa ndo kazi yenu kuu mengine mtuachie lakini kuolewa nako kuna masharti tukifuata misingi ya kiimani la kwanza 1.usafi (ubikira wa mwili) na mengineyo ya tabia na siha njema
Hii ni Kwa mujibu wa sheria za ukoo wako?!

Kwamba kwenu ninyi mwanamke thamani yake ipo kwenye uchi wake tu?


Ndio maana mwanzo nikakwambia rudi huko porini jandoni Kwa wavulana wenzio waombe wakwambie ukweli.
 
Naunga mkono hoja,dhana ya 50/50 ni mbaya sana,nature haikuumba 50/50,iliumba 80/20 kabisa,sasa balance imepotea Hadi humu jamii forums,enewei tuendelee kusoma biblia taratibu TU,maana siku inakuja hii Dunia yote itavaa sketi,na ndo itakuwa siku ambayo Mungu anasema,mwanaume atatafutwa Kwa torch na hatopatikana,ila maroboti TU ya Elon musk.
 
Mwenye mada nimemuelewa...
Yaani haya mambo ya gender sijui nini kwenye ajira yaweke fairness kulingana vigezo...juzi kampuni ya maduka cjui na nini ma lc Waikiki walitangaza ajira zaidi ya 600 za wahasibu, macashier, hr etc...eti only to women ..yaani mwanaume haruhusiwi kuapply...Kuna sehemu nyingi tu wanataka only women.... sijawahi ona sehemu inataka wanaume tu...na ikitokea wataonekana wabaguzi...it's not ubaguzi when it's done to men...

Shida inakuja...huyo mwanamke ata earn mshahara let's say 1M 3M hata 5M...atadharau wanaume...mwanaume jobless au mwenye mshahara mdogo kuliko yeye atampa nini....so matokeo yake anakuwa danga la boss, wababa au kuwa na boyfriend nje ya nchi wanakutana mara moja kwa mwaka. Sasa huyo mwanaume anayeambiwa apambane atafute hela wanawake wanataka mwanaume mwenye hela...fursa haumpi...unampa mwanamke tu...mwishowe huyo mwanamke Hana msaada kwa mwanaume wake zaidi ya dharau na visa mwishowe unatengeneza jamii ya wanaume waliokata tamaa ya maisha nakuwa mashoga, wavuta bangi, na kushindwa kuoa kujiendeleza etc...

So katoa mfano mwanaume akipata kazi Kuna mwanamke atafaidika tu...wapo wanawake ambao kazi yao ni kujisnap siku nzima kubandika makucha na mawigi na kutingisha makalio ila wanalipa Kodi, wanakula msosi mzuri sio ugali dagaa, wanavaa nguo za MRP wanasafiria bolt sio daladala nk...unadhani hela zinatokea wapi...si kwa hao wanaume ambao wamepata kazi...na uzuri sio lazma aolewe siku hizi wanawake wananunuliwa mpaka ma range huko na ni michepuko tu...ila mwanamke mwenye kazi anamsaidia nani...hela yake anaitumia kufanya nini isipokuwa tu starehe zake binafsi tena starehe zingine anachangiwa na mabwana zake rundo...

So hoja sio wanawake wanyimwe kazi ila fursa iangalie vigezo sio eti unawapa watu ajira kisa wanawake...
Ubaya ofisi zetu za kibongo boss akishaona chupi...huyo anachanganyikiwa anawaza rushwa ya ngono, anawaza mke wa ofisini, anawaza kuwa baltazar cjui egongo...anasema huyu mwanaume atanipa nini ofisini...
International organization mnaweza apply wengi mkajikuta men 10 girls wawili ndo wenye vigezo hivyo hamna kubebana...

Jamani wanaume wanapitia mengi sana, wanasimangwa sana, wanatukanwa sana...hawaonewi huruma hata na wanaume wenzao...mwanaume yupo radhi amnunulie mwanamke ambae hajamuoa iphone 15 kisa tundu ila kumsaidia hata 10k ya kula mwanaume anaona hasara atanipa nini huyu...

So ndo hivyo
 
Ndio maana mliambiwa "choose wisely" usikurupuke kuingia kwenye ndoa mtu kuwa na pesa haimaanishi ndio anakuwa na moyo wa kutoa pia.mfano Mimi Sina pesa lakini ni mtoaji mzuri japo visijent kidogo
Yeah..hawakukutana na watoaji ndo maana wakaamua kutendea haki elimu zao Leo wako maofisini wanapata riziki Kwa jasho lao.
Mawazo yako ni ya kizamani sana na ya kijima,zama zimebadilika.kama una uchungu wa kukosa ajira usikae ukawaona wanawake wanakuzibia riziki.futa hayo mawazo .ukiweza jiajiri upunguze hayo machungu maana Kuna wengine Wana wazazi wanawategemea,Kuna wengine hawana wazazi hawana pa kwenda wakiacha kazi wasubiri kuolewa wakikosa hata hizo ndoa waende wapi?
Unadhani Kila Binti anakaa kwao unamkuta kibarazani ama chumbani anasubiri mume?
 
nimekujibu hapo Coach salmah
Point ni mbili tu
👉1.usafi - usafi ni neno Pana ndugu bikra ni kitu Namba moja kukupa credit za usafi simaanishi kuoga ni kupaka marashi mazuri

👉Pia Ukifuata zile amri kumi Za Mungu
(hizo zote zimebeba hii title ya usafi)
1.Ucha Mungu amri mbili za mwanzo(ni msafi kiimani na kiroho)
Amri zilizobaki usidhini, usiseme uongo, usiibe, usiue(Kuua kupo kwa aina nyingi Ata Kitendo cha kucheat hapo ni kuwa uaminifu ndani ya ndoa)


👉2.Nimesema kabisa tabia na siha njema(haihitaji maelezo)


Mwisho unauliza thamani ya mwanamke ni uchi "tu "
Soma hiki kifungu kwa makini kutoka kwenye "biblia" na ata pia "Quran"




Hii ni Kwa mujibu wa sheria za ukoo wako?!

Kwamba kwenu ninyi mwanamke thamani yake ipo kwenye uchi wake tu?


Ndio maana mwanzo nikakwambia rudi huko porini jandoni Kwa wavulana wenzio waombe wakwambie ukweli.
 

Attachments

  • Screenshot_20241107_111131.jpg
    Screenshot_20241107_111131.jpg
    108.3 KB · Views: 6
  • Screenshot_20241107_111449.jpg
    Screenshot_20241107_111449.jpg
    76.6 KB · Views: 6
Yeah..hawakukutana na watoaji ndo maana wakaamua kutendea haki elimu zao Leo wako maofisini wanapata riziki Kwa jasho lao.
Mawazo yako ni ya kizamani sana na ya kijima,zama zimebadilika.kama una uchungu wa kukosa ajira usikae ukawaona wanawake wanakuzibia riziki.futa hayo mawazo .ukiweza jiajiri upunguze hayo machungu maana Kuna wengine Wana wazazi wanawategemea,Kuna wengine hawana wazazi hawana pa kwenda wakiacha kazi wasubiri kuolewa wakikosa hata hizo ndoa waende wapi?
Unadhani Kila Binti anakaa kwao unamkuta kibarazani ama chumbani anasubiri mume?
🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20241107_111131.jpg
    Screenshot_20241107_111131.jpg
    108.3 KB · Views: 6
W
Mwenye mada nimemuelewa...
Yaani haya mambo ya gender sijui nini kwenye ajira yaweke fairness kulingana vigezo...juzi kampuni ya maduka cjui na nini ma lc Waikiki walitangaza ajira zaidi ya 600 za wahasibu, macashier, hr etc...eti only to women ..yaani mwanaume haruhusiwi kuapply...Kuna sehemu nyingi tu wanataka only women.... sijawahi ona sehemu inataka wanaume tu...na ikitokea wataonekana wabaguzi...it's not ubaguzi when it's done to men...

Shida inakuja...huyo mwanamke ata earn mshahara let's say 1M 3M hata 5M...atadharau wanaume...mwanaume jobless au mwenye mshahara mdogo kuliko yeye atampa nini....so matokeo yake anakuwa danga la boss, wababa au kuwa na boyfriend nje ya nchi wanakutana mara moja kwa mwaka. Sasa huyo mwanaume anayeambiwa apambane atafute hela wanawake wanataka mwanaume mwenye hela...fursa haumpi...unampa mwanamke tu...mwishowe huyo mwanamke Hana msaada kwa mwanaume wake zaidi ya dharau na visa mwishowe unatengeneza jamii ya wanaume waliokata tamaa ya maisha nakuwa mashoga, wavuta bangi, na kushindwa kuoa kujiendeleza etc...

So katoa mfano mwanaume akipata kazi Kuna mwanamke atafaidika tu...wapo wanawake ambao kazi yao ni kujisnap siku nzima kubandika makucha na mawigi na kutingisha makalio ila wanalipa Kodi, wanakula msosi mzuri sio ugali dagaa, wanavaa nguo za MRP wanasafiria bolt sio daladala nk...unadhani hela zinatokea wapi...si kwa hao wanaume ambao wamepata kazi...na uzuri sio lazma aolewe siku hizi wanawake wananunuliwa mpaka ma range huko na ni michepuko tu...ila mwanamke mwenye kazi anamsaidia nani...hela yake anaitumia kufanya nini isipokuwa tu starehe zake binafsi tena starehe zingine anachangiwa na mabwana zake rundo...

So hoja sio wanawake wanyimwe kazi ila fursa iangalie vigezo sio eti unawapa watu ajira kisa wanawake...
Ubaya ofisi zetu za kibongo boss akishaona chupi...huyo anachanganyikiwa anawaza rushwa ya ngono, anawaza mke wa ofisini, anawaza kuwa baltazar cjui egongo...anasema huyu mwanaume atanipa nini ofisini...
International organization mnaweza apply wengi mkajikuta men 10 girls wawili ndo wenye vigezo hivyo hamna kubebana...

Jamani wanaume wanapitia mengi sana, wanasimangwa sana, wanatukanwa sana...hawaonewi huruma hata na wanaume wenzao...mwanaume yupo radhi amnunulie mwanamke ambae hajamuoa iphone 15 kisa tundu ila kumsaidia hata 10k ya kula mwanaume anaona hasara atanipa nini huyu...

So ndo hivyo
Iko Wazi weng wanapewa kazi Pasi na vigezo
 
Tuisbie hapa.nimegundua huna hoja Wala ufahamu.
Badala unijibu Kwa hoja unaleta mambo ya kidini.
Kuna jambo nimeligusia pale,lakini hujaliona sabbbu una uelewa finyu.na ndo matokeo we uko hapa wanawake wapo maofisini
Naishia hapa na sikujibu Tena!
 
Ukosefu wa ajira umetufanya tuchanganyikiwe hadi tunatafuta sababu chonganishi kwa jamii.
Jamii yenye furaha ni jamii ya wanaume wenye maadili, nguvu ya kiuchumi, wanaowatunza, kuheshimu na kumthamini mwanawake, kinyume chake ndo hii jamii yetu tuliyo nayo ya wanawake wenye nguvu kiuchumi na wanaume wasiojali.
 
Sijaleta udini
Tuisbie hapa.nimegundua huna hoja Wala ufahamu.
Badala unijibu Kwa hoja unaleta mambo ya kidini.
Kuna jambo nimeligusia pale,lakini hujaliona sabbbu una uelewa finyu.na ndo matokeo we uko hapa wanawake wapo maofisini
Naishia hapa na sikujibu Tena!
In
Tuisbie hapa.nimegundua huna hoja Wala ufahamu.
Badala unijibu Kwa hoja unaleta mambo ya kidini.
Kuna jambo nimeligusia pale,lakini hujaliona sabbbu una uelewa finyu.na ndo matokeo we uko hapa wanawake wapo maofisini
Naishia hapa na sikujibu Tena!
Bweteen in your lines of your opinions umesema "mnategemewa na wazazi,na huwezi ukakaa unasubiri ndoa huku hauna uhakika) . Sasa itabidi uchague kimoja kazi au mume (huwezi kutumikia mabwana wawili moja lisiyumbe)

lakini pia heshima ya mwanamke" sio kazi" ni "ndoa" vice versa is true "heshima ya mwanaume ni kazi"


Nikupe imagination kidogo mwanamke akiwa anaendesha gari ya kifahari watu watauliza kaolewa na nani

Lakini mwanaume akiendesha gari ya kifahari watu watahoji anafanya kazi gani (u get my point)



Mama Zetu hawakuwa na hayo mavyeti lakini wameacha legacy kubwa sana.
 
Uko so mean and naive kiasi kwamba umeona Kwa mwanamke kuolewa ndo deal.
Ww tunakupa muda mwanamke kama nyanya tu! Time inavyozidi kwenda anapoteza ubora na majuto yanaanza ww vimba now but kuna siku utatamani ungeolewa na kuzeeka vzr maana utakuwa na kimbwa chako alone na stress zako zote
 
War against men is alive and real
Feminism ni tatizo kubwa
Mwenye mada nimemuelewa...
Yaani haya mambo ya gender sijui nini kwenye ajira yaweke fairness kulingana vigezo...juzi kampuni ya maduka cjui na nini ma lc Waikiki walitangaza ajira zaidi ya 600 za wahasibu, macashier, hr etc...eti only to women ..yaani mwanaume haruhusiwi kuapply...Kuna sehemu nyingi tu wanataka only women.... sijawahi ona sehemu inataka wanaume tu...na ikitokea wataonekana wabaguzi...it's not ubaguzi when it's done to men...

Shida inakuja...huyo mwanamke ata earn mshahara let's say 1M 3M hata 5M...atadharau wanaume...mwanaume jobless au mwenye mshahara mdogo kuliko yeye atampa nini....so matokeo yake anakuwa danga la boss, wababa au kuwa na boyfriend nje ya nchi wanakutana mara moja kwa mwaka. Sasa huyo mwanaume anayeambiwa apambane atafute hela wanawake wanataka mwanaume mwenye hela...fursa haumpi...unampa mwanamke tu...mwishowe huyo mwanamke Hana msaada kwa mwanaume wake zaidi ya dharau na visa mwishowe unatengeneza jamii ya wanaume waliokata tamaa ya maisha nakuwa mashoga, wavuta bangi, na kushindwa kuoa kujiendeleza etc...

So katoa mfano mwanaume akipata kazi Kuna mwanamke atafaidika tu...wapo wanawake ambao kazi yao ni kujisnap siku nzima kubandika makucha na mawigi na kutingisha makalio ila wanalipa Kodi, wanakula msosi mzuri sio ugali dagaa, wanavaa nguo za MRP wanasafiria bolt sio daladala nk...unadhani hela zinatokea wapi...si kwa hao wanaume ambao wamepata kazi...na uzuri sio lazma aolewe siku hizi wanawake wananunuliwa mpaka ma range huko na ni michepuko tu...ila mwanamke mwenye kazi anamsaidia nani...hela yake anaitumia kufanya nini isipokuwa tu starehe zake binafsi tena starehe zingine anachangiwa na mabwana zake rundo...

So hoja sio wanawake wanyimwe kazi ila fursa iangalie vigezo sio eti unawapa watu ajira kisa wanawake...
Ubaya ofisi zetu za kibongo boss akishaona chupi...huyo anachanganyikiwa anawaza rushwa ya ngono, anawaza mke wa ofisini, anawaza kuwa baltazar cjui egongo...anasema huyu mwanaume atanipa nini ofisini...
International organization mnaweza apply wengi mkajikuta men 10 girls wawili ndo wenye vigezo hivyo hamna kubebana...

Jamani wanaume wanapitia mengi sana, wanasimangwa sana, wanatukanwa sana...hawaonewi huruma hata na wanaume wenzao...mwanaume yupo radhi amnunulie mwanamke ambae hajamuoa iphone 15 kisa tundu ila kumsaidia hata 10k ya kula mwanaume anaona hasara atanipa nini huyu...

So ndo hivyo
 
Pengine kosa liko hapa:

Tuliporuhusu mtazamo wa 50 kwa 50 hatukujiandaa vema tuliuingia kwa mihemko sana, kwanza huo mfumo uko kinyume na utamaduni wa Mwafrika, sasa ilitakiwa tubadilishe mfumo wetu kwanza uendane na hiyo 50 kwa 50, mfumo wetu wa kiafrika unampa mwanaume wajibu na majukumu ya kuibeba familia nzima akiwepo mwanamke, sasa tuliporuhusu mfumo wa 50 kwa 50 ili hali mfumo uliopo ni ule ule wa mwanaume kubeba majukumu yote hapo ndio unyonyaji unapoonekana, Mwanamke ana kazi, na mwanaume ana kazi lakini mwenye wajibu wa kutunza mwenzie hapo utakuta ni mwanaume, ikiwa kinyume chake hapana maelewano hapo, wote tuna kipato lakini anayewajibika kuhakikisha mwenzie anavaa, anakula, akiumwa amtibie mambo Kede kede yako juu ya mwanaume, na mwanaume asiye fanya hivyo anadharaulika. Labda tubadilishe mfumo sasa kwamba hiyo 50 kwa 50 iwe sharing of cost Katika mahusiano na iwe sheria sio hiari, kama ilivyo sheria kwa 50 kwa 50.

Kwenye issue ya ajira, ni kweli mwanamke anaajirika zaidi kuliko mwanaume, labda si kwa sababu ya vigezo tu hapana bali na mbinu za kivita zinatumika, inawezekana mwanaume na mwanamke wote wamesoma vizuri lakini kwenye kuajiriwa ni suala tofauti kabisa, na hapa sio mbuzi kula kutokana na urefu wa kamba yake tena bali ni kila mbuzi kula kutokana na huruma ya mwenye mbuzi.

Kwenye mahusiano ndo kabisa wanawake wanausahau sahau huo mfumo wa 50 kwa 50 bali wanatembea na mfumo wa asili ya kiafrika kwamba mwanaume ndiye anahusika na watakomaa hapo ukigusia kuwa mbona na nyie mmeajiriwa wanakuwa mbogo kabisa. Laiti kama wangekuwa wameuelewa huo mfumo , kelele za mwanamke bila kupewa pesa hakai. Kwangu mfumo ndio tatizo tumemuacha mtoto wa kiume na kumkumbatia mtoto wa kike bila kubalance mzani
 
nimekujibu hapo Coach salmah
Point ni mbili tu
👉1.usafi - usafi ni neno Pana ndugu bikra ni kitu Namba moja kukupa credit za usafi simaanishi kuoga ni kupaka marashi mazuri

👉Pia Ukifuata zile amri kumi Za Mungu
(hizo zote zimebeba hii title ya usafi)
1.Ucha Mungu amri mbili za mwanzo(ni msafi kiimani na kiroho)
Amri zilizobaki usidhini, usiseme uongo, usiibe, usiue(Kuua kupo kwa aina nyingi Ata Kitendo cha kucheat hapo ni kuwa uaminifu ndani ya ndoa)


👉2.Nimesema kabisa tabia na siha njema(haihitaji maelezo)


Mwisho unauliza thamani ya mwanamke ni uchi "tu "
Soma hiki kifungu kwa makini kutoka kwenye "biblia" na ata pia "Quran"
Maajabu ni kwamba hizo kanuni zinamuhusu mwanamke pekee huku mwanaume yeye akijichukulia seat ya Muumba eti “Mume ni Mfano wa Bwana….etc.

Kwenye hiyo amri ya @Zinaa ndipo haswa lilipo shimo la giza kiumeni, funny thing is…. wao wanalichukulia kwamba ndio urijali and still mko hapa mnambanika mwanamke?!?


The weakness + whining of our fellow humans of the opposite gender make me think twice about the Eve & Devil + Fruit story, ni kweli Eve ndio alichomoa battery ama wana malalamiko jazz band walimtoa mbuzi wa kafara Kama kawaida Yao?!
 
Anamainisha ukiwanyima vijana wa kiume ajira mzani hautaweza kubalance, Mwanaume mwenye ajira ataoa asiye na ajira hivyo kupunguza msoto wa mabinti mtaani, ina maana ukitoa ajira kwa mwanaume mmoja kuna bint mmoja atapata ajira.

Kinyume chake ukitoa ajira kwa binti mmoja hawezi kuolewa na kijana asiye na ajira, unyantasaji huongezeka kupelekea ndoa kuvunjika, kutengeneza ma single mama wengi na kuharibu maadili ya taifa.

Huo ndo uono wake.
Je, kabla ya 50/50 mambo yalikuaje?
Namba ya single mama ilikuwa vipi?
Je, kwa vijana wa kiume wote waliohitaji kuajiriwa na serikali waliajiriwa? Suala la ajira lilikuaje?
Je, kwa taifa lenye maono ya kesho ni sahihi kutegemea Nguvu kazi jinsia moja, me?
Zipi ni sababu za mmomonyoko wa maadili kwa Mwanamke? How?
Je, mmomonyoko wa maadili unakumba jinsia moja, ke ?
 
Back
Top Bottom