NUKUU: Kutokana kanuni ya 50/50 wanawake kuajiriwa kumesababisha ukosefu wa ajira nchini

Uko so mean and naive kiasi kwamba umeona Kwa mwanamke kuolewa ndo deal.
Purposes ya mwanamke Duniani ni kujenga familia na sio kuhangangaika kwenye daladala na makazini thus y now days mko na stress za kujitakia na life isha shift mtakoma kudeal na kiumbe mwanaume
 
Ant-Feminist, very very unhealthy 😇
 
Kuolewa ndo kazi yenu kuu mengine mtuachie lakini kuolewa nako kuna masharti tukifuata misingi ya kiimani la kwanza 1.usafi (ubikira wa mwili) na mengineyo ya tabia na siha njema
Kweli mkuu inatakiwa Wanawake waajiliwe kwenye Baadhi ya Sekta ni vizuri wakaajiliwa Ualimu, sekta ya Afya kwa wingi na sehemu zingine wabanwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…