utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,849
- 2,508
[emoji19][emoji19][emoji19][emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Source tafadhali. Usije ukamlisha maneno Mzee wa watuSG wa zamani wa CCM, CS wa zamani ambaye ni Mbunge wa Bunge la Tanzania kwa sasa ndugu Bashiru Oktoba 2018 alisema "Madalali wa mali za umma kamwe hawawezi kupendezwa na hoja za kutaka uwazi kwenye masuala yahusuyo MASLAHI MAPANA kwa TAIFA."
NB: Isomeke madalali wa mali za umma hapo juu.
Hatemeshwi na mtu ubunge, sasa akiwa hana income, madeni atalipa vipi?Niamini, hata huo Ubunge aliompa hawezi hata kumnyang'anya!
Zingatia; Kuwa CS hata ndani ya wiki moja tayari hiyo ni habari nyingine.
Mwendazake nilimsifia sana mwanzoni. Duh, alipovuwa ngozi ya kondoo na kuonesha vazi lake halisi nikamuona hafai kabisa.Sijui uko upande gani kipindi cha magu ulikuwa ukisema wasafi hawa leo .mama tena msafi kifupi ww uko na serikali hata ikiamua iwe ya mashoga
Huyu ni ndg yetu lakini ktk imani, umesahau?!.leo amejitokeza, alishahamisha zile pesa kwenye akaunti zake? Au wababe wamemnyang'anya?
Maana nyeti nilizonazo aliulizwa "uta face the music au utatupa tuzirudishe zinapostahiki"?, naona mpaka sauti kama kweli leo imetoka, ni maji ya shingo.
Nahisi kamalizana nao "kistaarabu". Pesa ni mchezo? Tanzania wahuni wengi.
Hii italeta makasirikoSG wa zamani wa CCM, CS wa zamani ambaye ni Mbunge wa Bunge la Tanzania kwa sasa ndugu Bashiru Oktoba 2018 alisema "Madalali wa mali za umma kamwe hawawezi kupendezwa na hoja za kutaka uwazi kwenye masuala yahusuyo MASLAHI MAPANA kwa TAIFA."
NB: Isomeke madalali wa mali za umma hapo juu.
Uliza swali kwa sababu hilo ni jibu.Samia ni dalali?
Bila shaka ww ni mke wa mhuni mmoja hivi ndo maana kipindi hiki umekuwa na sautileo amejitokeza, alishahamisha zile pesa kwenye akaunti zake? Au wababe wamemnyang'anya?
Maana nyeti nilizonazo aliulizwa "uta face the music au utatupa tuzirudishe zinapostahiki"?, naona mpaka sauti kama kweli leo imetoka, ni maji ya shingo.
Nahisi kamalizana nao "kistaarabu". Pesa ni mchezo? Tanzania wahuni wengi.
Maskini kaprofesa kamekua kadogo kama sisimizi. Ama kweli ukiniliwa Kuwa Myenyekevu. Ukijikweza utashushwa na kufedheheka sana...SG wa zamani wa CCM, CS wa zamani ambaye ni Mbunge wa Bunge la Tanzania kwa sasa ndugu Bashiru Oktoba 2018 alisema "Madalali wa mali za umma kamwe hawawezi kupendezwa na hoja za kutaka uwazi kwenye masuala yahusuyo MASLAHI MAPANA kwa TAIFA."
NB: Isomeke madalali wa mali za umma hapo juu.
Samia ni nani?Samia ni dalali?
Huyo jina tu, nyoka huyo hana undugu na wakuzaliwa nae tumbo moja itakuwa wengine?Huyu ni ndg yetu lakini ktk imani, umesahau?!.
Soma map yako vizuri acha hisia.Samia ni dalali?
Hatemeshwi na mtu ubunge, sasa akiwa hana income, madeni atalipa vipi?
Hivi wewe unaijuwa pangani au unaisikia tu?
Ulishaona wapi Tanzania hii Katibu Mkuu wa CCM akaenda kuwa mbunge? Aisee, yale ni matusi.
Katibu Mkuu wa CCM Tanzania ana power kuliko Makamo wa Rais au Waziri Mkuu, anaweza kuwaita hao ofisini kwake na wakavunja kazi zao zote wakenda mbio kumsikiliza.
Mwendazake nilimsifia sana mwanzoni. Duh, alipovuwa ngozi ya kondoo na kuonesha vazi lake halisi nikamuona hafai kabisa.
Alipotea stepu sana kulewa Madaraka mapema.
Almanusura nikutag huu uzi. Kumbe ushafika fastaHatemeshwi na mtu ubunge, sasa akiwa hana income, madeni atalipa vipi?
Hivi wewe unaijuwa pangani au unaisikia tu?
Ulishaona wapi Tanzania hii Katibu Mkuu wa CCM akaenda kuwa mbunge? Aisee, yale ni matusi.
Katibu Mkuu wa CCM Tanzania ana power kuliko Makamo wa Rais au Waziri Mkuu, anaweza kuwaita hao ofisini kwake na wakavunja kazi zao zote wakenda mbio kumsikiliza.
Mwendazake nilimsifia sana mwanzoni. Duh, alipovuwa ngozi ya kondoo na kuonesha vazi lake halisi nikamuona hafai kabisa.
Alipotea stepu sana kulewa Madaraka mapema.
Hayo maneno yalisemwa tarehe 12 October 2018 Mh Bashiru. Msituchanganye... Bashiru kajikalia kimya Mzee wa watu.SG wa zamani wa CCM, CS wa zamani ambaye ni Mbunge wa Bunge la Tanzania kwa sasa ndugu Bashiru Oktoba 2018 alisema "Madalali wa mali za umma kamwe hawawezi kupendezwa na hoja za kutaka uwazi kwenye masuala yahusuyo MASLAHI MAPANA kwa TAIFA."
NB: Isomeke madalali wa mali za umma hapo juu.
SG wa zamani wa CCM, CS wa zamani ambaye ni Mbunge wa Bunge la Tanzania kwa sasa ndugu Bashiru Oktoba 2018 alisema "Madalali wa mali za umma kamwe hawawezi kupendezwa na hoja za kutaka uwazi kwenye masuala yahusuyo MASLAHI MAPANA kwa TAIFA."
NB: Isomeke madalali wa mali za umma hapo juu.
Samia chaguo la Mwenyezi Mungu.Samia ni dalali?
Hatemeshwi na mtu ubunge, sasa akiwa hana income, madeni atalipa vipi?
Hivi wewe unaijuwa pangani au unaisikia tu?
Ulishaona wapi Tanzania hii Katibu Mkuu wa CCM akaenda kuwa mbunge? Aisee, yale ni matusi.
Katibu Mkuu wa CCM Tanzania ana power kuliko Makamo wa Rais au Waziri Mkuu, anaweza kuwaita hao ofisini kwake na wakavunja kazi zao zote wakenda mbio kumsikiliza.
Mwendazake nilimsifia sana mwanzoni. Duh, alipovuwa ngozi ya kondoo na kuonesha vazi lake halisi nikamuona hafai kabisa.
Alipotea stepu sana kulewa Madaraka mapema.
Tunafahamu inawachoma sana.
Na bado.
Mnafiki tu huyu, mbona ripoti ya Wezi wa Mali za CCM hakuweka hadharani.SG wa zamani wa CCM, CS wa zamani ambaye ni Mbunge wa Bunge la Tanzania kwa sasa ndugu Bashiru Oktoba 2018 alisema "Madalali wa mali za umma kamwe hawawezi kupendezwa na hoja za kutaka uwazi kwenye masuala yahusuyo MASLAHI MAPANA kwa TAIFA."
NB: Isomeke madalali wa mali za umma hapo juu.
Samia chaguo la Mwenyezi Mungu.
Yule mama katuokowa sana Tanzania kiuchumi. Mungu ampe umri mrefu wajomba zake walimsikiliza 2020 wakamuenzi.
AlhamduliLlah Mzee Mwinyalienda. Kumpa ushauri mwendazake akamuelewa, akamtuma mama nchi za Kiarabu.
Na alipokwenda huki wajomba sijuwi Ammi zake hawakumuangusha.
Arab Contractors waliliopwa hukohuko juu kwa juu dakika hiyo hiyo, Waturuki nao ndiyo hayo hayo.
AlhamduliLlah wskaanza tena kazi, miradi ilishasimama hiyo.
Waulize waliopo front wakwambie nini kilitokea 2019/20. Kwenye hiyo miradi.
Oesa zote zinazokopwa zilienda kwenye kampeni, ikawa jamaa hawalipwi wanazungushwa, wakaanza kujiondoa mdogo mdogo.
Jamani serikali zina mengi sana nyuma ya pazia, msione watu wanajimwambafai halafu wanapewa kavu za uso mkaona ni kawaida tu. Ujuwe hapo mtu kishapigwa roba la nguvu, hana ujanja.