Hawanhaw
Hawaelewi kuwa mwaka wa Kwanza tu kwisha wa kushika madaraka mwendazake, akajimwambafai kwa Samia Suluhu, mama kwani hata aliaga? Kimya kimya akarudi kwao, ashukuriwe Mwinyi na Mkapa waliomrudisha. Kikwete alienda akaambiwa wazi wazi, mimi sikuiomba hii kazi, wewe ndiye ulinishauri, nikakwambia hili jibaba la kisukuma siwezi kufanya nalo kazi. Tafuteni mwengine, tupo wengi.
Kikwete mwana diplomasia hesabu za haraka haraka akaona hapa ni Mwinyi tu, Mwinyi timu Unguja, kufika kuanza kuongea na mama, kuyasikia aliyoambiwa akampigia simu haraka Mkapa. Mkapa hakuweza kumuangusha boss wake wa zamani, akaenda Unguja huku anaumwa. Akabeba yeye jukumu la kuongea na Magu, akarudi siku hiyo hiyo, akaonesha ubabe, hakuenda Ikuku, akamwita Magu nyumbani kwake, akamwita na Kikwete awepo. Mkapa nasikia kama kawa, akalamba vitu vyake. Magu kugika. Akaambiwa. Muombe msamaha Samia na arufi harska. Na udimuingiluentena na kauli zako za ukali usimletee tena. Akataka kubisha asimuombe msamaha amteue mwengine
Mkapa kishapiga vitu vyake, akamoa kavu "kuna mawili, ni yeye au muungano utakufa, na sisi hatukubali muungano ufe, kama huwezi kumuomba ni bora uavhie wewe madaraka" . Chaguwa moja hapa hapa.
Ikabidi akubali yaishe.
Hapo ndipo chuki za dhahiri kwa Kikwete zikaanza. Maana yeye alimwambia Kikwete peke yake, sasa. Kaona vibaya Kikwete kayafikisha mpaka kwa Mwinyi na Mkapa.
Jamaa alikuwa Mjinga sana yule. Ndiyo toka diku hiyo akaomba msamaha kwa simu, Mzee Mwinyi akarudi na Samia Suluhu, wakaenda wote, Mkapa, Mwinyi, Kikwete na Samia Suluhu Ikulu. Ndiyo jqmaanlikwonba msamaha mbele ya wazee na. Likasema ni mambo ya utani tu, hayatska tokea yena, Tanzania ni bora kuliko yeye.
Ndiyomlikaws. Linajiosha kwa safari zote za nje akawa anamwambia mama aende.
Aibu sana kisukuma kumuomba msamaha mwanamke.