Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Hizi ni nukuu ninazozipenda kutoka humuhumu JF:
"Miafrika ndivyo tulivyo" Nyani Ngabu
"Tanzania kila kitu kinawezekana isipokuwa maendeleo" Common Citizen
"Watanzania ni watu wa kulalamika tu hata akikuta choo cha nyumba yake kisafi atalalamika kwanini leo choo kisafi"
"Tanzania ina kila kitu isipokuwa watanzania"
"Tatizo Tanzania kila mtu mjuaji"
Ongeza nukuu ulizozipenda pia kutoka humu JF. Samahani wadau ambao nimeweka nukuu zenu bila kuweka majina yenu ni vile nimesahau kidogo
"Miafrika ndivyo tulivyo" Nyani Ngabu
"Tanzania kila kitu kinawezekana isipokuwa maendeleo" Common Citizen
"Watanzania ni watu wa kulalamika tu hata akikuta choo cha nyumba yake kisafi atalalamika kwanini leo choo kisafi"
"Tanzania ina kila kitu isipokuwa watanzania"
"Tatizo Tanzania kila mtu mjuaji"
Ongeza nukuu ulizozipenda pia kutoka humu JF. Samahani wadau ambao nimeweka nukuu zenu bila kuweka majina yenu ni vile nimesahau kidogo
Last edited by a moderator: