Nukuu za wachambuzi maarufu Baada ya mechi ya Simba (wakimataifa)

Nukuu za wachambuzi maarufu Baada ya mechi ya Simba (wakimataifa)

Sijui watu wanataka Simba wacheze mpira gani. Watu wamejiuliza game plan ya Simba jana ilikuwaje? Yule kipa wa Vipers karibia avunjike kiuno kwa saves alizokuwa anafanya.

Mchezaji ambaye naweza sema alicheza chini ya kiwango ni Saidoo na Kanoute. Kanoute hana kawaida ya kucheza chini ya kiwango kwa hiyo itakuwa aliamka tu vibaya. Kimekuwa kilio changu cha muda mrefu kuwa Saidoo asianze game ila kilio changu bado hakijasikika. 90% ya movement zake anapoteza mipira au anaanguka. Inawezekanaje mchezaji mwenye mwili kama wake anakuwa dhaifu dhaifu vile. Anajichekeshachekesha tu hovyo.

Phiri alikuwa tishio sana kipindi cha kwanza ila viungo waliacha kumlisha mipira kwa hiyo alipotea kidogo kipindi fulani. Nilitabiri angetolewa na kweli ikawa hivyo ingawa aliyestahili kutoka mapema ni Saidoo.

Ukiacha hayo muhimu ni point 3. Hii ni timu ya tatu Simba inaifunga nje ndani msimu huu bila kuruhusu goli kutoka kwao.
Usiseme hawajaruhusu goli, sema kutokuwepo na VAR.. Ingelikuwepo lile lilikua ni goli
 
Baada ya kutuletea hizo quotes ikawaje? Msimamo wa kundi umebadirika?
Inaweza saidia baadaye .....Baada ya wachezaji kuwa motivated & encouraged with that quotes
 
Usiseme hawajaruhusu goli, sema kutokuwepo na VAR.. Ingelikuwepo lile lilikua ni goli
Na walivyonawa mkono nayo ingekuwa penati. Na wangefungwa 2 mapema, wangeachia zaidi. INGE na Scenarios zipo nyingi kijana.
 
Usiseme hawajaruhusu goli, sema kutokuwepo na VAR.. Ingelikuwepo lile lilikua ni goli
hata kabla mfungaji hajapewa pasi, kibendera kilishakuwa juu na filimbi ilishalia

1678264951436.png
 
Baada ya mechi ya kibabe Jana kuisha Kwa mnyama kuchukua point 3 za nguvu pale Kwa mkapa hatoki mtu ( isipokuwa Raja Casablanca na Young Africans). Na kujihakikishia mguu ndani vs nje kwenda robo fainali.

MAONI YA WACHAMBUZI BAADA YA MECHI YA SIMBA DHIDI YA VIPERS

Hizi ni nukuu za baadhi wa wachambuzi maarufu hapa bongo .....wanaoufanya mpira usonge mbele ..

Shaffih Dauda - Mchambuzi CLOUDS
"Ni bahati tu Simba SC imeikuta Vipers na yenyewe ikiwa dhaifu, pamoja na ushindi Simba imeonesha kiwango cha chini sana"


View attachment 2541407
Nipeni takwimu za mechi basi
 
Sijui watu wanataka Simba wacheze mpira gani. Watu wamejiuliza game plan ya Simba jana ilikuwaje? Yule kipa wa Vipers karibia avunjike kiuno kwa saves alizokuwa anafanya.

Mchezaji ambaye naweza sema alicheza chini ya kiwango ni Saidoo na Kanoute. Kanoute hana kawaida ya kucheza chini ya kiwango kwa hiyo itakuwa aliamka tu vibaya. Kimekuwa kilio changu cha muda mrefu kuwa Saidoo asianze game ila kilio changu bado hakijasikika. 90% ya movement zake anapoteza mipira au anaanguka. Inawezekanaje mchezaji mwenye mwili kama wake anakuwa dhaifu dhaifu vile. Anajichekeshachekesha tu hovyo.

Phiri alikuwa tishio sana kipindi cha kwanza ila viungo waliacha kumlisha mipira kwa hiyo alipotea kidogo kipindi fulani. Nilitabiri angetolewa na kweli ikawa hivyo ingawa aliyestahili kutoka mapema ni Saidoo.

Ukiacha hayo muhimu ni point 3. Hii ni timu ya tatu Simba inaifunga nje ndani msimu huu bila kuruhusu goli kutoka kwao.
Mi nashangaa sana kwanza simba wanayoitaka wao miaka yote imeishia robo fainali ngoja niione hii simba wanayosema wao mbovu itafika wapi
 
Sijui watu wanataka Simba wacheze mpira gani. Watu wamejiuliza game plan ya Simba jana ilikuwaje? Yule kipa wa Vipers karibia avunjike kiuno kwa saves alizokuwa anafanya.

Mchezaji ambaye naweza sema alicheza chini ya kiwango ni Saidoo na Kanoute. Kanoute hana kawaida ya kucheza chini ya kiwango kwa hiyo itakuwa aliamka tu vibaya. Kimekuwa kilio changu cha muda mrefu kuwa Saidoo asianze game ila kilio changu bado hakijasikika. 90% ya movement zake anapoteza mipira au anaanguka. Inawezekanaje mchezaji mwenye mwili kama wake anakuwa dhaifu dhaifu vile. Anajichekeshachekesha tu hovyo.

Phiri alikuwa tishio sana kipindi cha kwanza ila viungo waliacha kumlisha mipira kwa hiyo alipotea kidogo kipindi fulani. Nilitabiri angetolewa na kweli ikawa hivyo ingawa aliyestahili kutoka mapema ni Saidoo.

Ukiacha hayo muhimu ni point 3. Hii ni timu ya tatu Simba inaifunga nje ndani msimu huu bila kuruhusu goli kutoka kwao.
Tatizo kubwa linalosumbua vichwa vya watu ni kuiona kila timu inayofungwa na Simba haijui mpira, ni dhaifu. Wanasahau kuwa hizo timu zao wanazodhani ziko vizuri huwa zinapigwa tu zikicheza na hizo timu.
Anyway acha tufurahie uwakilishi wa timu mbili kwenye mashindano tofauti.
 
Unajua tofauti ya mchambuzi na shabiki .....( professionally)
kwa bahati mbaya kabisa hatuna wachambuzi wa soka, tuna watu wa masimulizi, wanaoendeshwa na hisia, bendera fuata upepo na siyo taaluma sababu hawataki kujishughulisha kujiendeleza kwenye hiyo taaluma.
 
Na walivyonawa mkono nayo ingekuwa penati. Na wangefungwa 2 mapema, wangeachia zaidi. INGE na Scenarios zipo nyingi kijana.
Usisumbuke na hawa VAR wa mchongo. Mtu yoyote anayefuatilia mwenendo wa soka anajua kuwa ile ilikuwa offside labda aamue kujifanya mjinga ili aanzishe ubishi wa kijiweni.
 
Nikiwa kama mshabik wa Simba 🦁🦁🦁
Bado hatuna aggressive strikers pia Kwa mechi ya Jana kocha wa vipers angesema chama apewe beki mmoja wa kutembea nae hakuna ambacho kingefanyika.

Bado tunachezea sana nafasi hatuna mtu mwenye uchu wa mabao pale mbele...

Wachezaji Bado wana Tatizo la football ⚽ psychology hili nalo lifanyiwe kazi....

Zile nafasi za kufunga ambazo sisi tulizikosa timu kama Raja lazima akuadhibu....

Sijamwona mshambuliaji tishio pale Simba 🦁🦁

Yaan asikwambie mtu timu zetu Zima safar sana watz Tunaupenda mpira sana....

Nitumie nafasi hii kuwapongeza Timu yangu SIMBA 🦁🦁

Simba 🦁 guvu moya🤓
 
Back
Top Bottom