Nukuu za wachambuzi maarufu Baada ya mechi ya Simba (wakimataifa)

Nukuu za wachambuzi maarufu Baada ya mechi ya Simba (wakimataifa)

Mi nashangaa sana kwanza simba wanayoitaka wao miaka yote imeishia robo fainali ngoja niione hii simba wanayosema wao mbovu itafika wapi
Mpira ni mbinu na kila mwaka unaoongezeka Simba wanajifunza mbinu za kushinda katika mpira wa Afrika. Uzoefu na maumivu ya kushindwa siku za nyuma katika mechi muhimu ukitumiwa vizuri, Simba atafikia malengo yake msimu huu ambayo ni nusu fainali.
 
Vipers ya bila bobosi. Manzoki ......kama ingecheza na ihefu...viper ingekula nyingi
Tangu Simba imeanza kwenda hatua ya robo fainali kimataifa kuna siku ilionekana imekutana na timu ngumu ?
Wabongo wengi Simba akishinda zinapatikana sababu,akifungwa timu mbovu tumeshawazoea.
Kabla ya mechi ya Vipers wengi mlisema Simba anafungwa,kashinda vipers wamegeuka kuwa wabovu.
 
Baada ya mechi ya kibabe Jana kuisha Kwa mnyama kuchukua point 3 za nguvu pale Kwa mkapa hatoki mtu ( isipokuwa Raja Casablanca na Young Africans). Na kujihakikishia mguu ndani vs nje kwenda robo fainali.

MAONI YA WACHAMBUZI BAADA YA MECHI YA SIMBA DHIDI YA VIPERS

Hizi ni nukuu za baadhi wa wachambuzi maarufu hapa bongo .....wanaoufanya mpira usonge mbele ..

Shaffih Dauda - Mchambuzi CLOUDS
"Ni bahati tu Simba SC imeikuta Vipers na yenyewe ikiwa dhaifu, pamoja na ushindi Simba imeonesha kiwango cha chini sana"


View attachment 2541407
Wivu tu[emoji4]
 
Performance ipi hiyo ? Anyway huku ni kwa mabingwa kila timu ni ngumu . Timu vibonde zote zilifuruhushwa na kuelekea kwenye mashindano sawa na uwezo wao.
Simba mlipita Kwa bahati....but robo hamtoboi
 
Back
Top Bottom