Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Gharama za Dubai kwa 115kg zikoje ?
2,953.54 USD hadi Airport, DAR iwapo mzigo unatoka moja ya hizi shemu: Turkey, UAE, India, Egypt, Georgia, Jordan au Lebanon kwa uzito wa 115KG
- Ambapo baada ya mzigo kufika clearance naweza kufanya mimi au ukapewa documents ukafanya wewe mweneywe.
 
2,953.54 USD hadi Airport, DAR iwapo mzigo unatoka moja ya hizi shemu: Turkey, UAE, India, Egypt, Georgia, Jordan au Lebanon kwa uzito wa 115KG
- Ambapo baada ya mzigo kufika clearance naweza kufanya mimi au ukapewa documents ukafanya wewe mweneywe.
Namaanisha mzigo wa uzito huo kutoka India to Dubai.
 
Habari! Vipi kuhusu ghalama mpaka kunifikia dodma? Je nikinunua hapa Tz ghalama itazidi?
 
Ingia aliexpress tafuta brand zisizo na majina makubwa utapata.
Mkuu nimekua nafwatilia ununuaji wa mitandaon hasa hapa tz, je kuna altenative ya kutumia posta? What if nikijaza jina langu, namba ya simu,jina la mkoa nilipo alafu nikatumia postal code ya mkoa au wilaya badala ya P. O. BOX je nitapata mzigo wangu??
 
P. O. BOX je nitapata mzigo wangu??
Ili kwa hakika upate mzigo wako, ni lazima uwe na Sanduku la posta, Usipo fanya hivyo basi ni kuwa unacheza bahati nasibu ya mnzigo kukufikia au kuto kukufikia

je kuna altenative ya kutumia posta?
Kwa EMS mzigo unaweza kukufikia, ghalama ya EMS ni kubwa ukilinganisha na njia ya kawaida ya posta.
Kwa EMS utaweka hizi taarifa.
- Juna la mpokeaji
- Jina la wilaya
- Jina la mkoa
- namba ya simu inayopataikana muda wote.
NB: Seller akisha tuma mzigo wako kwa ems kuna tracking number atakupa, utaitumia hiyo kuuufuatilia mzigo wako baada ya mzigo wako kufika.
What if nikijaza jina langu, namba ya simu
Jina, namba ya simu na Physical address - Vitatumika hivi iwapo utatumia express shipment, ambapo kampuni husika kama DHL, ARAMEX etl, watakuletea mzigo wako nyumbani aua ofisini kwako.

Iwapo kama bado hujawatayari kuweka order wewe binafsi basi waweza kutumia hii huduma yangu ya BUY4Me na hakika mzigo utakufikai

Karibu sana.
 
Hivi Mkuu unaweza kunisaidia kujua, mzigo wa Tsh 1,300,000 mpaka nautoa bandarini naweza kulipa kodi kiasi gani ?
- HS code a mzigo husika ndio inatupatia kiwango chakodi.
- Kuna mizigo mingine unalipia VAT tu, hivyo inakuwa ni kiais kidogo.
 
- HS code a mzigo husika ndio inatupatia kiwango chakodi.
- Kuna mizigo mingine unalipia VAT tu, hivyo inakuwa ni kiais kidogo.
Mkuu orodha ya hizo HS Codes na gharama ya kodi inayopaswa kulipa, naweza kuiona wapi, au mpaka niende kuulizia TRA ?
 
bei ya iphone6 &) ikiwa china au marekani ni shi ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…