Asante Kwa huduma nzuri nilipata mzigo wanguKwa TZS 300,000
Simu utakayopata ni hii:
Xiaomi Redmi 6A
- 2GB 16GB
- 5.45" 18:9 Full Screen
- 13MP Camera
Picha
View attachment 855744
Kwa taratibu za malipo niandikie whatsaap: 0784 496 856
Ahsante kwa mrejesho.Asante Kwa huduma nzuri nilipata mzigo wangu
TZS 83,475Nokia 5320 XpressMusic 3G Original Unlocked 2MP Camera Mobile Bar Phone | eBay
Mkuu bidhaa hiyo itagharimu kiasi gani cha fedha.
1. Fanya tafiti ALIBABA kuhusu upatikanaji wa hizo bidhaaNatakiwa kufanya process gani before kuja kwako?
TAFADHALI nisaidie
bila kodi sio?MI A2 Lilte: TZS 486,540
MI A2: TZS 586,710
Redmi S2: TZS 519,930
nipo Dar.....nitakucheki karibuni inshaallahHio ni ghalama kamili, hadi mzigo unakufikia Dar.
Iwapo upo mkoani basi utaoneza TZS 20,000 kama ghalama ya kukutumia kwa njia ya EMS
Karibu
mpishi, heheheheMwl mwenzangu!!
msaada wako Kaka!!
Sina idea ya any online buying,lakin nahitaji vitu vifuatavyo.
MASHINE ya kukandia ngano.
MASHINE ya kupikia chapati.
Vyombo mbali mbali vya catering like serving dishes,glasses,vijiko
Pia outdoor furnitures!!
Natakiwa kufanya process gani before kuja kwako?
TAFADHALI nisaidie
ahahha ndiwoooo!mpishi, hehehehe
AHSANTE SANA SANA!1. Fanya tafiti ALIBABA kuhusu upatikanaji wa hizo bidhaa
2. Pata CIF price kwa bidhaa husika - Wauzaji huwa wameweka mawasiliano yao ya email na whatsapp/ skype hivyo ni rahisi kuweza ku_chat nao.
3. Baada ya kuwa tayari umepata supplier wa hizo items basi waweza wasiliana nami kwa kukamilisha taratibu za manunuzi, kusafirisha na delivery baada ya mzigo kufika nchini.
Karibu
1. Utanipatia link ya bidhaa husikakama bidhaa imeandikwa this item does not ship to tanzania. nifanyeje iliniipate
suppose unataka kununua sasa, utanunua kwa bei iliyotajwa na auctioneer au bei yako tuu kaa bidder, mana unaeza kuandaa kiasi tajwa hapo juu, mambo yakawa tofautiNdio ukweli upo.
Kama ujuavyo taratibu za mnada, bei ya kuanzia hua chini na hupanda kidogo kidogo
View attachment 890233
Iko kwenye mnada, hivyo hiyo sio bei yake halisi.
HUwezi kununua hadisuppose unataka kununua sasa, utanunua kwa bei iliyotajwa na auctioneer au bei yako tuu kaa bidder,
Hutakiwi kuandaa kiasi kilichopo sasa bali inatakiwa uandike dau la juu kuliko kiais unachokiona, hivyo hadi mda wa mnada unapoisha iwapo hakuna aliyefikia kiwango chako ulichoweka na dau uliloweka limefikia kile kiwango cha choni anachohitaji muuzaji, basi ndipo itatakiwa ulipie bidhaa ukiwa kama mshindi wa mnada husika.mana unaeza kuandaa kiasi tajwa hapo juu, mambo yakawa tofauti
Mpaka hapa sina swali tena. Nashukuru sana 😀HUwezi kununua hadi
1. Muda wa mnada uwe umeisha
2. Dau la wanunuzi lifikie au lizidi kiwango cha juu cha mwisho alichoweka muuzaji.
3. Yaweza kutokea bidder wote hakuna aliyefikia kile kiwango kinachotakiwa hivyo mnada unafungwa pasipo bidhaa kuuzwa, Mfano mzuri ni mnada wa zile KONTENA bandari, hakuna mnunuzi aliyefikia kile kiwango kilichokuwa kimewekwa / kinatakiwa. Hivyo mnada unaahirishwa hadi itakapowekwa tena bidhaa sokoni.
Hutakiwi kuandaa kiasi kilichopo sasa bali inatakiwa uandike dau la juu kuliko kiais unachokiona, hivyo hadi mda wa mnada unapoisha iwapo hakuna aliyefikia kiwango chako ulichoweka na dau uliloweka limefikia kile kiwango cha choni anachohitaji muuzaji, basi ndipo itatakiwa ulipie bidhaa ukiwa kama mshindi wa mnada husika.