Mkuu nataka hizi simu niangalizie kwnye masoko ya india aliexpress nimezikosa oppo realme 2 ya 2gb ram,rom 16 na 3gb ram,rom 32gb.Wiki tatu (3)
Hakuna toleo la 2GB/ 16GBMkuu nataka hizi simu niangalizie kwnye masoko ya india aliexpress nimezikosa oppo realme 2 ya 2gb ram,rom 16 na 3gb ram,rom 32gb.
Kwa hiyo inakuaje mkuu na je kwa bei hiyo mpaka naipata ni kiasi gani?Hakuna toleo la 2GB/ 16GB
View attachment 930579
3GB/ 32GB upatikanaji wake bado ni shida, Japokuwa hii model imetoka miez miwili iliyopita.
Tujipe muda.
Mkuu ulipata hyo display?Hizi bidha naweza kuzipata kwa shilingi ngapi mpaka mkoni kwangu:
1.display ya samsung galaxy J7 ya 2016
Xiaomi redmi 6 pro 32 gb
3.xiaomi redmi 6 pro 64 gb
Msaada please.
Je bajeti yako ni TZS ngapi??Nahitaji tablet mkuu
Tarehe 29/10/2018 nilitoa pesa kwa ajili ya kulipia mzigo wangu. Jana tarehe 14/11 nilienda PPF tower nikachua mzigo wangu uko sealed. Nashukuru sana Mwl, sasa nina kila sababu ya kukuamini. Keep the ball rolling.TZS 202,725
Muda: Ndani ya siku 21
Njia ya malipo: Mobile Banking
KARIBU
Hongera mdau.Tarehe 29/10/2018 nilitoa pesa kwa ajili ya kulipia mzigo wangu. Jana tarehe 14/11 nilienda PPF tower nikachua mzigo wangu uko sealed. Nashukuru sana Mwl, sasa nina kila sababu ya kukuamini. Keep the ball rolling.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] hiyo korosho muulize mkuu wa nchiMkuu nahitaji kununua korosho zisizobanguliwa kilo 5 tu za mbegu. Utaratibu ukoje?
Ghalama kamili inategemeaPro-Aqua PA03 mit viel Zubehör in Top Zustand | eBay
KAKA HI HADI MKONONI BEI
Nahitaji laptop used dell. Bajeti dola 100. Nakulipa kwa PayPal. Niko Dar. Inawezekana?Ghalama kamili inategemea
1. Freight cost - hii inatokana na uzito wa mzigo, kwenye link husika hakuna taarifa za uzito wa mzigo
2. VAT / kodi - Baada ya mzigo kufika nchini; Mamlaka husika ndio itatujia kiasi cha kulipia
Mzigo utakuwa na route mbili
Route #1. Toka kwa muuzaji hadi ofisini Kelsterbach, Frankfurt, ndipo usafirishwe kuja Tanzania
- Ghalama ya manunuzi ni US $788- Muuzaji anasafirisha ndani ya German tu, hivyo nitaupokelea KelsterbachView attachment 934718
Route #2. Safari ya mzigo toka Kelsterbach kuja tanzania; Freight cost itatokana na uzito wa mzigo.
Bajeti dola 100
HaiwezekaniNiko Dar. Inawezekana?
Mkuu nataka kuweka link ili uniangalizie bei nashindwaNjia za malipo ninazo pokea/ tumia ni
1. Skrill na worldremit kwa walio nje ya nchi
2. Mobile banking kwa walio nchini
3. Bank deposit iwapo muamala ni zaidi ya Dola 1,000