Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Apple iPhone XS Max Fully Unlocked 64GB Space Gray (Renewed) https://www.amazon.com/dp/
B07K8RNW7H/ref=cm_sw_r_cp_api_i_lRj-CbGSZT1G0
TZS. ‭3,362,320
1119182

Njia ya malipo: Bank Deposit
Muda: ndani ya siku 14 itakuwa hapa nchini

Karibu
 
Nahitaji kuagizia bidhaa alliexpress kwa kutumia BOX naomba kujua box la offfice hapa dodoma kwa sasa nipo DOM
 
Nagiza ndungu yangu nimekwama kujua box la post office za dodoma hapa
 
wewe unapatikana wapi?
Tumia muda
- Kusoma neno kwa neno posti ya kwanza na ya pili.
- Hii itakusaidia kuweza kuelewa nini hasa kinafanyika kwenye hii thread.
- Iwapo utakuwa na swali zaidi juu ya taratibu za kufanya order, utauliza

Karibu
 
Thread hii ni maalumu kwa wanaohitaji kununua bidhaa yeyote toka nje ya nchi. Bidhaa ambazo
  1. Hazipatikani hapa nchini au
  2. Hata ukipata gharama yake huwa ni kubwa mara mbili zaidi, ukilinganisha na gharama ya Kununua nje + Gharama ya usafirishaji + Kodi
kuna sehem nimeona 500k hapa nchini

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Ni vyema ukanunua hapa nchini.
 
Mkuu Xiaomi redmi note 7 naweza ipata kwa bei gani ? Mpaka mkononi
 
Back
Top Bottom