Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

samsung s8 au samsung s9
Bei itatofautiana kutokana na hizi sababu
#1. Je imenunuliwa toka nchi ipi? UK, USA, au China
#2. Njia ya usafirishaji
- Je inakuja kwa njia ya kawaida , posta, ambapo huchukua wiki kadhaa kufika ua
- Inakuja kwa njia ya hara - Ambapo ni siku chache mzigo inakuwa nchini.

Je nini unatakiwa kufanya
- Tafuta simu husika online
- Kisha nipe link yake na
Nitakupa gharama za kufikisha nchini.

Karibu.
 
Bei itatofautiana kutokana na hizi sababu
#1. Je imenunuliwa toka nchi ipi? UK, USA, au China
#2. Njia ya usafirishaji
- Je inakuja kwa njia ya kawaida , posta, ambapo huchukua wiki kadhaa kufika ua
- Inakuja kwa njia ya hara - Ambapo ni siku chache mzigo inakuwa nchini.

Je nini unatakiwa kufanya
- Tafuta simu husika online
- Kisha nipe link yake na
Nitakupa gharama za kufikisha nchini.

Karibu.
Asante mkuu

K vant
 
Huduma yako inaonekana ni nzuri. swali je nitajuaje kuwa haya masoko ni kundi A au B? yaani yanasafirisha au hayasafirisha mzigo?
 
ukifungua ofisi na kampuni itakuwa poa sana. mambo ya kuaminiana si mazuri kwako na kwamteja.
BAADHI YA TOVUTI ZITAKAZOTUMIKA KUNUNUA BIDHAA

Ziko tovuti nyingi, siwezi orodhesha zote, baadhi ninazopendekeza ni kama AMAZON & EBAY ( Bila kujali .com, .in au .uk )


EBAY
EBAY.png


AMAZON
AMAZON.png


UAE (DUBAI & ABUDHABI )

SOUQ
SOUQ.png

ALSHOP
alshop2.png


CHINA
View attachment 496445

ETOTALK_COM.png

Masoko mengine kwa china ni kama ALIEXPRESS, ALIBABA n.k

JE NITAUPATA VIPI MZIGO WANGU BAADA YA KUWA UMEFIKA TANZANIA?

- Utapigiwa simu kukujulishwa kuwa mzigo wako umefika.

- Utaletewa ofisi kwa wale wanaoishi katikati ya jiji ya Dar es salaam, FREE DELIVERY. au

- Utaelekezwa mahala unatakiwa ufike ili uchukua mzigo - Ni city centre kwa walio Dar es salaam, Waweza kuja wewe mwenye au ukamtuma mtu akuchukulie.

- Kwa walio mikoani au nje ya Tanzania utatumiwa kwa njia ya EMS au kwa njia ya basi kwa kadri wewe utakavyo pendekeza njia ipi itumike – Utalipia hii ghalama.

Mifano hai:

1. Mteja Toka nje ya TZ (anaishi DRC) – Bidhaa yake imetoka China, Na alitumia kwa basi kwenda DRC.
MTEJA_DRC_congo.png


2. Mteja ndani ya TZ anaishi Mkoani – Bidhaa yake imetoka UK
mtwala.png
mtwala2.png

Wateja wote nimekutana nao hapa JF na hakuna tuliye onana ana kwa ana, Zaidi ya njia za mawasiliano tajwa hapo juu.

CHANGAMOTO
- Je, wanachoniambia UPS ni sahihi? - JamiiForums
- Hili Halijapata Ufumbuzi kuhusu Ununuzi wa Vitu kwa Njia ya Mtandao (Online Purchase) - JamiiForums

ANGALIZO

1. Usifanye malipo yeyote bila kuwasiliana nami kwanza, Kwa njia mojawapo ya mawasiliano tajwa hapo juu.

2. Haito tokea kupigiwa simu, au kuandikiwa ujumbe mfupi, kuwa fanya malipo kwenda namba Fulani ya simu.

3. Hakuna malipo yeyote yatakayofanyika kwa fedha taslimu kwa kukabidhiana mkononi.

4. Malipo yote ya fedha yatafanyika kwa utaratibu uliowekwa hapo juu.

5. Miongoni mwetu kuna wenye uoga na mawazo ya kuibiwa/ kutapeliwa pindi lijapo swala la fedha na swala zima la manunuzi mtandaoni.

Yaani kutuma fedha kwa mtu usie mfahumu/ kumuona/ asiye na ofisi mahala ulipo.
Na hujibainisha kwa haya maswali Ofisi yako iko wapi? , Uko wapi nataka nikukabidhi fedha mkononi au nataka tuandikishiane!

- ONDOA shaka, kwa kufuata taratibu zilizo ainishwa hapo juu, uko salama, Na bidhaa yako AU huduma utakayolipia utaipata.

- Iwapo UNA SWALI, PENDEKEZO au USHAURI wasiliana namI au andika kwenye hii thread.

KARIBU
Utajuaje Kama soko Fulani lipo kundi A au kundi B?
 
Back
Top Bottom