Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Asante, Hii ina maana ya kwamba Seller hawezi ku-reverse chochote tena sio!
Mzigo upo mikononi mwetu, sio kwa muuzaji.
1659176446512.png
 
Inaonekana kuagiza kupitia kwako ni gharama kubwa sana.

Kwanza hapa hapa bongo mpya inauzwa Tshs 560,000, so uoni inakuwa vigumu kuwaste 281,143?.
Rejea utangulizi, post #1
emoji778.png
UTANGULIZI


Je Kuna bidhaa unataka kununua toka nje ya nchi kwa sababu hapa Tanzania umetafuta na umekosa kuipata?

Je kuna huduma unahitaji kulipiwa mtandaoni?

Kama jibu ni NDIO basi hii thread inakuhusu.

Thread hii ni maalumu kwa wanaohitaji kununua bidhaa yeyote toka nje ya nchi. Bidhaa ambazo
  1. Hazipatikani hapa nchini au
  2. Hata ukipata gharama yake huwa ni kubwa mara mbili zaidi, ukilinganisha na gharama ya Kununua nje + Gharama ya usafirishaji + Kodi
==
Hivyo huwa tunaagiza nje ya nchi kama last option baada ya kushindikana kupata hapa nchini.
 
Kutokea AMZON
1659178172573.png

Code:
https://www.amazon.com/2021-Apple-24-inch-8%E2%80%91core-256GB/dp/B09326G4R1/ref=sr_1_1?crid=2VOCO74KOCCT0&keywords=24-inch+iMac+Apple+M1+Chip+with+8%E2%80%91Core+CPU+and+7%E2%80%91Core+GPU+-+Blue&qid=1659177898&sprefix=24-inch+imac+apple+m1+chip+with+8+core+cpu+and+7+core+gpu+-+blue%2Caps%2C669&sr=8-1
===
Utalipia kwa awamu tatu
#1. Manunuzi US $1632
#2. Kusafirisha USA to TZ inategemea uzito wa package ambapo 1kg ni US $27
#3. Clearance/ VAT hapa nchini
 
Hivyo huwa tunaagiza nje ya nchi kama last option baada ya kushindikana kupata hapa nchini.
Ila mkuu niwe mkweli, pamoja na hiyo option unayoisema, nimefuatilia uagizaji wako nje ya hapa JF asilimia kubwa garama zako zipo kwa aina ya bidhaa upo juu kwa kiasi.
 
Back
Top Bottom